Ronaldoooooo......

Mkuu kwanini wote wamikimbia tuzo wachezaji wa Barcelona?

Hakuna hata mwakilishi wamesusa
Wachezaji wako busy kujiandaa na mechi ya marudiano na Athletic Bilibao kombe la mfalme,kwahiyo hakuna mda wa kwenda huko kwenye hizo sherehe viongozi ndo wameenda kuwawakilisha,sio kwamba wamekimbia kumbuka ilibidi waende Messi,Neymar,Suarez na Pique.
 
Simchukii lakini sipendi achukue wakati Ronald bado yupo anatamba asubiri Ronald astaafu.......

Huyu ni hasimu wangu kwenye mpira lazima niseme ukweli.......
Ndo hivyo Messi anazo 5,Rinaldo 4 Ronaldo kabakiza jina tu kama nyoka wa mtoni,umri unaenda hiyo ndo tuzo ya mwisho messi bado anazo kama 2 hivi kabla hajamwachia mikoba Neymar
 
Mashabiki wa Man U mnahaha kweli na Messi mwenye matuzo kibao na Ballon D'or 5,ya kwenu EPL yamewashinda mmeanza kumvaa Messi na Barca yake.
 


Hapo Ronaldo alijibu swali: tarajieni na Mwaka huu pia nitaendelea kuwa Bora inshallah... Dah Ronaldo anatisha... Griezmann moyoni akisema I hate you i hate you ila ndio hivyo tena humuwezi njoo Manchester United ukuze kiwango
 
The Best of the Best...

Andunje wapi pale na sindano za farasi!
 
Tazama suti ilivyotulia kwenye mwili. Yaani suti inampenda Cr7 sio Cr7 anaipenda suti, Yule mdori wa panyalona akivaa suti utafikiri imevalishwa skeleton za maabara.
 
Eti mechi ngumu yaani A.Bilbao wamekuwa wagumu mara hii? Je mngekuwa na ratiba kama ya R
Madrid si hata kula ingekuwa ishu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…