255Gene
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 888
- 1,090
Itakuwa hajamsikiliza Fifi huyu..Frida amani na song lake pullup, jibebe
Mtoto natural mrembo( beauty with brain)
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa hajamsikiliza Fifi huyu..Frida amani na song lake pullup, jibebe
Mtoto natural mrembo( beauty with brain)
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanangu ila Altezza ukiifunga mziki mnene...na mtoto mkareee maisha yanaenda murua...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hilo songs mda wote nalimung'unyaa tu mdomoni, daah Tom boy kajua kuninyoosha haswaaah. "Sukuma Ndinga" kwa sauti ya mnyanwezi wa kikee
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yaan wee sawa bhan me burudan tyuuhWameanza kuokoteza wasanii Uchwara
Kwini darin
Zuchu
Rosa Lee
Mtu anakuja na kubana pua, Wcb ni label kubwa africa..Kwa wasanii gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Et eeeeh ngja bas nkafany pract nkaone inakuaje,Mwanangu ila Altezza ukiifunga mziki mnene...na mtoto mkareee maisha yanaenda murua...
Tifa Flowzeast africa sijona mtoto wa kike anae mpita rosa ktk kurap kama yupo meingine nipatie jina lake nikalinganishe
Mbona na wewe umejiunga mwaka jana tu hapoHii ni post ya member ambae amejiunga jf week hii
Hii sio insta au fb aisee,leta facts nzito.
Mi namshangaa ye mwenyewe kajoin mwaka janaMleta mada kasema tetesi boss, na wanachama wapya tunatakiwa kuwakaribisha vizuri, kwani hata sisi huko nyuma tulikuwa wageni humu.
Inasemekana etiii WCB Wasafi wanampango wa kumnyakuwa Rapper wa Kike Rosa Ree, Ngoma waliofanya na rayvanny ni kuanza kuandaa mashabiki kwa ujio huo mpya ndani ya WCB Wasafi
Ngoma yake mpya iliyokaa number moja trending kwa siku kadhaa youtube akiwa na rayvanny nimekuwekea hapa chini:
Haya twende na facts sasa....Wameanza kuokoteza wasanii Uchwara
Kwini darin
Zuchu
Rosa Lee
Mtu anakuja na kubana pua, Wcb ni label kubwa africa..Kwa wasanii gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Rosa kwa uwezo wake ule akipata management kama vile wcb basi ujue level zake ni kina show mardjoz,yemi hukoeast africa sijona mtoto wa kike anae mpita rosa ktk kurap kama yupo meingine nipatie jina lake nikalinganishe
kaimba wimbo gani nimetafuta hilo jina sijaliona
hakikaRosa kwa uwezo wake ule akipata management kama vile wcb basi ujue level zake ni kina show mardjoz,yemi huko
Hivi ndivyo vigezo vya label kubwa?Haya twende na facts sasa....
Nitajie list ya wasanii wanaogonzwa kwa subscribers hapa bongo ukimtoa harmonize....
Tutajie label kubwa basi mkuu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla sitakujibu anza kunitajia kwanza label kubwa hapa bongo ?Hivi ndivyo vigezo vya label kubwa?
taja subscriber za hao wasanii niliowataja hapo
Na nitajie Wcb ina wasanii wangapi waliosing chini ya label..
Sent using Jamii Forums mobile app
Chemicaleast africa sijona mtoto wa kike anae mpita rosa ktk kurap kama yupo meingine nipatie jina lake nikalinganishe
namfahamu na ila kwa msoni yangu kw roza nahisi bado anakaa