Rosa Ree: Nipo tight sina rambo, na-enjoy nikila tango

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Wasanii wetu bhana siku hizi wana mbinu nyingi sana za kujitafutia soko la kudanga kwa kupitia sanaa zao wanazofanya.

Kauli hii imethibitika vilivyo baada ya rapper wa kike anayesumbua hapa nchini Rosa Ree kuachia wimbo wake wa One Way.


Katika huu wimbo asilimia kubwa Rosa Ree anasifia maumbile yake ya ndani kwamba yanavutia sana tofauti na wanawake wengine.

Mfano kuna kipande ameimba hivi " Nipo tight sina rambo, nainjoi nikila tango" huu ni mfano tu wa mashairi katika wimbo wake wa One Way humo ndani kaimba matusi matupu na haswa ukiangalia video yake ndio kabisaaaa.


 
Huna inye huna mastar ya kutamba rosa ree ndio mjusi gani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…