moto wa maji
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 4,151
- 2,979
Shemeji yenu huyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mpaka leo hujawania hicho kiti cha umiss TZOk nice, wenye upotable wao, so wapi picha je?
Eti manka unafeli wapiOk nice, wenye upotable wao, so wapi picha je?
𝕨𝕒𝕟𝕒 𝕟𝕫𝕖𝕟𝕘𝕠 𝕥𝕦𝕟𝕒𝕠 𝕜𝕒𝕒 𝕙𝕒𝕡𝕒 𝕞𝕚𝕥𝕒𝕒 𝕪𝕒 𝕤𝕦𝕣𝕧𝕖𝕪 𝕥𝕦𝕟𝕒 𝕤𝕖𝕞𝕒𝕘𝕒 𝕊𝕌ℝ𝕍𝔼𝕐 𝕂𝕌ℕ𝔸 ℙ𝕀𝕊𝕀 𝕂𝔸𝕃𝕀𝕀𝕀𝕀 ℍ𝔸𝕋𝔸ℝ𝕀𝕀𝕀𝕀𝕀𝕀𝕀......... 𝔸ℍ𝔸ℍ𝔸𝔸ℍ𝔸ℍ𝔸 𝕒𝕟𝕒𝕤𝕠𝕞𝕒 𝕓𝕒𝕔𝕙𝕖𝕝𝕠𝕣 𝕠𝕗 𝕤𝕔𝕚𝕖𝕟𝕔𝕖 𝕚𝕟 𝕀𝕟𝕗𝕠𝕣𝕞𝕒𝕥𝕚𝕠𝕟 𝕤𝕪𝕤𝕪𝕥𝕖𝕞 𝕞𝕒𝕟𝕒𝕘𝕖𝕞𝕖𝕟𝕥 .......Dah huyo manzi kama utani ani, yuko zake pale ardhi anapiga ICT na mdogo wangu afu best friends kinoma, dogo ananionyesha picha zao anasema anacontest taji la urembo nikawa nachukulia masihara, dah siamin kwa kweli! Hongera zake sana!
𝔸𝕒𝕙𝕒𝕙𝕒𝕙𝕙𝕒 ℙ𝕀𝕊𝕀 𝕂𝔸𝕃𝕀 𝕐𝔸 𝕋𝔸𝕀𝔽𝔸 𝕀ℕ𝔸𝕊𝕆𝕄𝔸 𝔸ℝ𝔻ℍ𝕀 𝕌ℕ𝕀𝕍𝔼ℝ𝕊𝕀𝕋𝕐 𝕜𝕠𝕫𝕚 𝕪𝕒 𝔹𝔸ℂℍ𝔼𝕃𝕆ℝ 𝕆𝔽 𝕊ℂ𝕀𝔼ℕℂ𝔼 𝕀ℕ 𝕀ℕ𝔽𝕆ℝ𝕄𝔸𝕋𝕀𝕆ℕ 𝕊𝕐𝕊𝕋𝔼𝕄 𝕄𝔸ℕ𝔸𝔾𝔼𝕄𝔼ℕ𝕋 𝕙𝕒𝕙𝕒𝕙𝕒𝕙𝕒𝕙𝕙𝕒𝕒𝕒 𝕙𝕙𝕒𝕙𝕒𝕙𝕒𝕙𝕒𝕙𝕒𝕙𝕒𝕙𝕒𝕙𝕒 𝕒𝕞𝕒 𝕜𝕨𝕖𝕝𝕚 𝕜𝕦𝕞𝕓𝕖 𝕋𝕌ℕ𝔸𝕀𝕊ℍ𝕀 ℕ𝔸 𝔻ℍ𝔸ℍ𝔸𝔹𝕌 𝕂𝔸ℝ𝕀𝔹𝕌 𝕐𝔼𝕋𝕌𝕌𝕌 ℕ𝔾𝕆𝕁𝔸 𝔸𝕂𝕀𝕁𝔸 ℕ𝕀𝕋𝕌ℙ𝕀𝔼 ℕ𝔻𝕆𝕎𝔸ℕ𝕆 ℕ𝔸𝕎𝔼ℤ𝔸 𝕁𝕀ℂℍ𝕌𝕂𝕌𝕃𝕀𝔸 𝕁𝕀𝕂𝕆.
Why bossEti manka unafeli wapi
𝕒𝕙𝕒𝕙𝕒𝕒 𝕨𝕖𝕨𝕖 𝕤𝕚 𝕟𝕚 𝕜𝕒𝕜𝕒 𝕞𝕥𝕦 𝕨𝕒 𝕣𝕒𝕗𝕚𝕜𝕚 𝕪𝕒𝕜𝕖 ???? 𝕂𝕦𝕕𝕒𝕕𝕖𝕜𝕚 𝕖𝕒𝕟𝕒 𝕨𝕒𝕟𝕒𝕛𝕚𝕝𝕚𝕒 𝕥𝕦𝕦𝕦𝕦 𝕙𝕒𝕡𝕠 𝕞𝕒𝕒𝕟𝕒 𝕕𝕒𝕙 𝕙𝕒𝕥𝕒𝕣𝕚 𝕤𝕒𝕟𝕒...𝑻𝒆𝒉 𝒕𝒆𝒉 𝒕𝒆𝒉 𝒕𝒆𝒉, 𝒖𝒄𝒉𝒖𝒌𝒖𝒆 𝒋𝒊𝒌𝒐? 𝑳𝒂𝒃𝒅𝒂 𝒖𝒅𝒂𝒕𝒆 𝒏𝒂𝒆 𝒌𝒘𝒂 𝒎𝒖𝒅𝒂 𝒕𝒖, 𝒉𝒖𝒚𝒐 𝒂𝒎𝒆𝒔𝒉𝒂𝒌𝒖𝒘𝒂 𝒑𝒊𝒔𝒊 𝒚𝒂 𝒘𝒂𝒏𝒂!
ℍ𝕒𝕙𝕒𝕙𝕒𝕙𝕒 𝕜𝕠𝕞𝕒𝕒 𝕓𝕒𝕓𝕒 𝕦𝕛𝕖 𝕦𝕨𝕖 𝕤𝕙𝕖𝕞𝕖𝕛𝕚 𝕨𝕒 𝕥𝕒𝕚𝕗𝕒 😹😹😹𝕒𝕙𝕒𝕙𝕒𝕒 𝕨𝕖𝕨𝕖 𝕤𝕚 𝕟𝕚 𝕜𝕒𝕜𝕒 𝕞𝕥𝕦 𝕨𝕒 𝕣𝕒𝕗𝕚𝕜𝕚 𝕪𝕒𝕜𝕖 ???? 𝕂𝕦𝕕𝕒𝕕𝕖𝕜𝕚 𝕖𝕒𝕟𝕒 𝕨𝕒𝕟𝕒𝕛𝕚𝕝𝕚𝕒 𝕥𝕦𝕦𝕦𝕦 𝕙𝕒𝕡𝕠 𝕞𝕒𝕒𝕟𝕒 𝕕𝕒𝕙 𝕙𝕒𝕥𝕒𝕣𝕚 𝕤𝕒𝕟𝕒...
Sijakuona ukiwania umissWhy boss
Wapi na wapi Mambo hayo mieSijakuona ukiwania umiss
Umeshaenda moshi kunywa mbegeWapi na wapi Mambo hayo mie
The irony. Hii ndiyo comment ya mwisho! Yaani kama alama ya kufunga sentensi. 🤣Kimsingi miss Tanzania iliisha 2005 hao wengine wote hakuna kitu....
Mashindano ya taji la Miss Tanzania kwa mwaka 2020 yamefika tamati leo tarehe 5/12/2020 na Mshindi wake kutangazwa kutokana na maoni ya majaji na wapiga kura. Jina lake anaitwa Rose Manfere na namba yake ya ushiriki ilikuwa ni namba 14. Huyu ndiye ataiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Miss world huko Brazil. Kwenye historia ya mataji ya Miss Tanzania, Ukitoa lile la Miss Tanganyika aliloshinda mzungu mmoja wa kikoloni, huyu anakuwa ni Miss wa 24 tangu mwaka 1964. Baadhi ya picha zake.
View attachment 1642771View attachment 1642772
Orodha ya Mamiss waliomtangulia huku ikiambatana na mwaka waliochukua mataji:
Jina Mwaka Theresa Shayo 1967 Aina Maeda 1994 Emily Adolf
1995 Shose Sinare 1996 Saida Kessy 1997 Basila Mwanukuzi 1998 Hoyce Temu 1999 Jacqueline Ntuyabaliwe 2000 Happiness Magese 2001 Sylvia Bahame 2003 Faraja Kotta 2004 Nancy Sumari 2005 Wema Sepetu 2006 Richa Adhia 2007 Nasrin Karim 2009 Miriam Gerald 2009 Genevieve Emmanuel 2010 Salha Israel 2011 Brigitee Alfred 2012 Happiness Watimanywa 2013 Lilian Kamazima 2014 Diana Edward 2016 Queen Elizabeth Makune 2018 Rose Manfere 2020
Video inayoonesha Rose akitangazwa ushindi wa Taji la Miss Tanzania 2020.
Super genious, upo akilini mwangu, hawa wanagaiwa tu na infact "ni maembe yote yameoza kwenye kapu na umeambiwa lazma uende na embe moja" so unachukua lolote ilimradiKimsingi miss Tanzania iliisha 2005 hao wengine wote hakuna kitu....
Lundenga aliondoka na hili shindano, kipindi ch kina aina maenda yaani kupenya tu huko moani ilikuwa mbinde, sasa walipokuja kuleta rushwa ya ngono na kupitisha pisi zishazaa, ndipo yaliharibika maana naskia huko miss world wanapima hadi bikra, kama haipo huingii top 10Hivi hili shindano bado lipo?
Mbona halisikiki?
Sikuwaza kabisa kama kuna hilo shindano mpaka nilipoona hii thread hapa JF.
Kuna kitu hakipo sawa.
Kuna ukanda umehusika hapoKwaiyo Rose manfere kamzidi Ile pisi ya chuga mzee?