Pre GE2025 Rose Mayemba ajitosa kuwania Ujumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, nitampigia kampeni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu angekuwa CCM angekuwa mbali sana
 
Ila CDM ni vyuma safi kwa kweli!
CCM usoni hata kuomba kura picha zao wanaogopa kuzituma mitandaoni
 
Umeshiriki kuengua jina lake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…