Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Kwa kifungu kipi cha Katiba?Nguzo kuu ya chama ni mbowe na mrema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kifungu kipi cha Katiba?Nguzo kuu ya chama ni mbowe na mrema
Huyu angekuwa CCM angekuwa mbali sanaMwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Njombe, Rose Mayemba amejitokeza kugombea nafasi ya Ujumbe wa Kamati Kuu ya Chama.
View attachment 3193087
Hakuna asiyefahamu uwezo wa Dada huyu kwenye uongozi, na inashangaza kwanini hadi leo hakuwa Mjumbe wa Kamati Kuu.
Namtakia Kila la heri.
Labda kwa faida ya WanaJF na wengine kote Duniani, ni kwamba Kamati Kuu ya CHADEMA ndio nguzo kuu ya Chama, hapa ndipo ulipo msingi wa Maamuzi ya Chama, Wajumbe wa Kamati Kuu ndio wanaobeba Uhai wa Chama, Hii siyo nafasi ndogo.
Unaowataja hawajachukua fomuWajumbe wa kamati kuu wawe vichwa, sio aina ya Ntobi au yericko nyerere
Ndiyo maana nilisema anafaa kuwa MakamuSijakuelewa, maana yeye ndio kachukua fomu kuomba ujumbe wa kamati kuu, sasa hapa mfumo dume uko wapi?
Aibu sn kuwa na watu wajinga hivi na ndiyo wapo karibu na MwenyekitiWajumbe wa kamati kuu wawe vichwa, sio aina ya Ntobi au yericko nyerere
Mkuu, naona ametoa jibu, bado wewe tuNadhani tumsubiri atakapojinadi
Mimi mbona nishatoa kitambo tu!Mkuu, naona ametoa jibu, bado wewe tuView attachment 3194628
Anagombea ujumbe wa Kamati KuuHuyu anafaa kuchukua nafasi ya FAM
Sio TAL
Ameolewa?
Sawa mkuu nawatakia uchaguzi mwema ulio huru na wa hakiMimi mbona nishatoa kitambo tu!
Mh mjumbe...[emoji1]Ameolewa?
Naunga mkono hoja mh mjumbe...😂Mh mjumbe...[emoji1]
Umeshiriki kuengua jina lake.Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Njombe, Rose Mayemba amejitokeza kugombea nafasi ya Ujumbe wa Kamati Kuu ya Chama.
Hakuna asiyefahamu uwezo wa Dada huyu kwenye uongozi, na inashangaza kwanini hadi leo hakuwa Mjumbe wa Kamati Kuu.
Namtakia Kila la heri.
Labda kwa faida ya WanaJF na wengine kote Duniani, ni kwamba Kamati Kuu ya CHADEMA ndio nguzo kuu ya Chama, hapa ndipo ulipo msingi wa Maamuzi ya Chama, Wajumbe wa Kamati Kuu ndio wanaobeba Uhai wa Chama, Hii siyo nafasi ndogo.
Ukiona washaanza uoga ujue kuna kitu upande wao hakipo Sawa.Wajumbe wengi wanaomsupport Lissu wamekatwa
ova
Hapana, ila anayo nafasi ya kukata rufaaUmeshiriki kuengua jina lake.