residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Kazi njema sana hii, kwa kweli anafaa kuwa mchungaji.Anafaa kuwa mchungaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi njema sana hii, kwa kweli anafaa kuwa mchungaji.Anafaa kuwa mchungaji
Angalia hata wale akina silinde,kafulila,n.kChadema sijui wanatoaga wapi hivi vichwa adimu!
Chadema ni shida, ngoja nikatoe posa sasa ,mtoto anabalaa sio la Dunia hiiNimesikiliza wanasiasa wengi sana hapa Tanzania na Africa huyu binti ni tunu na hazina ya Taifa.
Rose Mayemba nimempenda bure huyu dada.
View attachment 3237575
Rose MayembaHuyu anapaswa kuwa CCM tu mahali ambapo kumejaa akili kubwa. Anajiamini sana katika kuzungumza japo anazungumza mambo ambayo ndio kiu ya Rais Samia na CCM kuhakikisha kuwa Watanzania wanaishi maisha bora na yenye heshima na keki ya Taifa inagawiwa kwa Usawa.. Ndio maana leo tunaona Elimu bure tena Elimu yenye ubora na viwango vya kimataifa,ajira kwa vijana ili vijana wapate kulitumikia Taifa lao na kutoa Mchango wao kwa Taifa.
Huyu Dada ni lazima aingie ndani ya CCM kujiunga na Jeshi la Wazalendo.
Itakua effect za Dokta Slaa,labda wengi wamepita mikononi mwakeHivi kwanini hawa chadema wanaongea kama wachungaji?
Rose ana akili timamu hawezi kujiunga na genge la mafisadi na wauajiHuyu anapaswa kuwa CCM tu mahali ambapo kumejaa akili kubwa. Anajiamini sana katika kuzungumza japo anazungumza mambo ambayo ndio kiu ya Rais Samia na CCM kuhakikisha kuwa Watanzania wanaishi maisha bora na yenye heshima na keki ya Taifa inagawiwa kwa Usawa.. Ndio maana leo tunaona Elimu bure tena Elimu yenye ubora na viwango vya kimataifa,ajira kwa vijana ili vijana wapate kulitumikia Taifa lao na kutoa Mchango wao kwa Taifa.
Huyu Dada ni lazima aingie ndani ya CCM kujiunga na Jeshi la Wazalendo.
Sasa mbona wewe huna akili TimamuRose ana akili timamu hawezi kujiunga na genge la mafisadi na wauaji
Nina akili ndiyo maana nimetambua kuwa wewe ni chawaSasa mbona wewe huna akili Timamu
Umeshakwenda MirembeNina akili ndiyo maana nimetambua kuwa wewe ni chawa
Nenda wewe ingalao upate kujitambua maana hapo ulipo hujitambui kabisaUmeshakwenda Mirembe
pembe uko sahihi mwambie senga aachane na ccmHuyu dada ni balaa duniani
Anepata Team Nzuri, mchezaji hawezi kuwa imara kama yuko Timu mbovu.Nimesikiliza wanasiasa wengi sana hapa Tanzania na Africa huyu binti ni tunu na hazina ya Taifa.
Rose Mayemba nimempenda bure huyu dada.
View attachment 3237575
Jembe sana Rose Mayemba.Nimesikiliza wanasiasa wengi sana hapa Tanzania na Africa huyu binti ni tunu na hazina ya Taifa.
Rose Mayemba nimempenda bure huyu dada.
View attachment 3237575
Watu wazuri wanajichuja.......ni kama Maji lazima yatoke juu kwenda chiniChadema sijui wanatoaga wapi hivi vichwa adimu!
Chadema sijui wanatoaga wapi hivi vichwa adimu!
NDO AKUTANE NA AKILI YAKO YA KUBUBUJIKWA NA MACHOZI PAMOJA NA ASANTE MAMA HATA UKINYWA MAJIHuyu anapaswa kuwa CCM tu mahali ambapo kumejaa akili kubwa. Anajiamini sana katika kuzungumza japo anazungumza mambo ambayo ndio kiu ya Rais Samia na CCM kuhakikisha kuwa Watanzania wanaishi maisha bora na yenye heshima na keki ya Taifa inagawiwa kwa Usawa.. Ndio maana leo tunaona Elimu bure tena Elimu yenye ubora na viwango vya kimataifa,ajira kwa vijana ili vijana wapate kulitumikia Taifa lao na kutoa Mchango wao kwa Taifa.
Huyu Dada ni lazima aingie ndani ya CCM kujiunga na Jeshi la Wazalendo.
🤣🤣🤣NDO AKUTANE NA AKILI YAKO YA KUBUBUJIKWA NA MACHOZI PAMOJA NA ASANTE MAMA HATA UKINYWA MAJI
ACHA ABAKI HUKO, MTAMHARIBU HUYU ACHA ABAKI KWA WATU WENYE AKILI HUKO HUKO, ANGALAU TANZANIA TUBAKI NA CHAMA KIMOJA KINACHOPUMUA.
Huyu anapaswa kuwa CCM tu mahali ambapo kumejaa akili kubwa. Anajiamini sana katika kuzungumza japo anazungumza mambo ambayo ndio kiu ya Rais Samia na CCM kuhakikisha kuwa Watanzania wanaishi maisha bora na yenye heshima na keki ya Taifa inagawiwa kwa Usawa.. Ndio maana leo tunaona Elimu bure tena Elimu yenye ubora na viwango vya kimataifa,ajira kwa vijana ili vijana wapate kulitumikia Taifa lao na kutoa Mchango wao kwa Taifa.
Huyu Dada ni lazima aingie ndani ya CCM kujiunga na Jeshi la Wazalendo.