rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
rasimu iliyopitishwa sio ya wananchi bali ni ya ccm ambao waliondoa vipengele vya rasimu ya warioba wakaweka vya kwaoKuvurunda..?huo ni mtizamo wako,hawakuvurunda,imebaki hiyo rasimu hatua moja mbele,,kupigiwa kura na wananchi..
😀 Hatachukua round mtamfanyaje nyie nyumbu?. Mama yuko in a right track sasa miruzi yenu ilianza kumpoteza maboya. Tena anatakiwa akaze zaidi na zaidi.
Unajifariji?Daah! Huyu mama namhurumia Sana. Kaingizwa chaka akaingia mzima mzima. Hatochukua round. Muda utaongea.
Huyu kamkashifu mh.Rais akajibie mahakamaniKuhoji katiba na kumkashifu rais wapi na wapi ila wanachosahau CHADEMA rais alikuwa mwenyekiti mwenza wa bunge la katiba lililovurunda
Huyo katoa kashfa kwa Rais anatakiwa ashikishwe adabuYaani tunataka kweli kurudi kule kule?
----
Update: 1
JamiiForums imezungumza na RPC Mkoa wa Njombe na amethibitisha kuwa Mwenyekiti CHADEMA Mkoa wa Njombe Rose Mayemba amekamatwa kwa Mahojiano zaidi baada ya kuweka ujumbe kwenye mtandao wa kijamii uliomhusisha Rais. RPC amesema kuwa kosa lake lina dhamana na ataachiwa nje ya dhamana.
Update: 2
Rose Mayemba amepata dhamana baada ya kutoa maelezo kwa muda wa saa mbili na kutakiwa kuripoti Ofisi ya RCO Njombe siku ya Jumatatu saa 2:00.
Ujumbe unaodaiwa kumuingiza matatani Rose Mayemba
View attachment 1845997
Amekashifiwa wapi ?Mmm hapana Rais ana wajibu kukemea viashiria uvunjifu amani....siosawa kumkashifu nasimama na Rais kwa hili
Mataga ukikua utajua umuhimu wa katiba mpyaaibu kubwa sana katika jamii kwa mwanamke kujifuza na kufanya uhuni, harakati zisizo za msingi kwa mwanamke ni uhuni.
Mizizi ya yule jamaa still ingalipoHuu WOGA wa watawala sasa is TOO MUCH...
Iweje wanaogopa hata vivuli vyao wenyewe? Hiyo tweet ina kashfa gani kwa Rais? Look, This is too much. FEAR OF NOTHING...!!!!
Na WOGA huu una maana kubwa sana kwa PEOPLE'S POWER kuelekea kupata ushindi dhidi ya utawala huu chini ya CCM hii iliyokwisha kuchakaa ...
CHADEMA shikilieni hapo hapo. Ushindi uko mikononi mwenu. Mama huyu ndio kiashiria cha alama ya mwisho cha utawala wa siasa za CCM Tanzania...!!
Rose Mayemba ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Njombe anahojiwa na RCO wa Mkoa huo kwa tuhuma nzito za kumkashifu Rais wa Tanzania kwa kutweet mambo ya Katiba mpya mtandaoni
View attachment 1845947
Tweet yenyewe hii hapa
View attachment 1845948
Mungu ibariki Tanzania
dhiki za huyo mama zimeletwa na ccm , umasikini si jambo la kujivuniaView attachment 1846159
View attachment 1846160
Mama anafanya mambo ya maendeleo binti uanaharakati twitter- pumba na mchele
Aende tu hakuna shida tutaona.Sababu mnaijua wenyewe..mnapenda confrontational politics...na mama mnamlazimisha kwenda huko ....na ataenda