Rose Mhando: Meneja wangu anataka kuniua

Amepata mapepo alifanya abomination akahamia kwenye uislamu akalitukana jina la Bwana wa Majeshi. Leo amepigwa majini 10. Sisi hatuwezi kitu ni Mungu tu wa kumponya

MTU teja ale unga kwa starehe zake unasingizia mapepo!! Wangapi wamebadili dili hawajapatwa na hayo mapepo, au wale wanaodondokaga wote washafanya abomination nadhani unamsaidia kula unga wallahi!!
 
Aliacha amepokea pesa za watu akaenda Chato kwenye kampeni za mr. Pombe, sasa yanamrudia. Na yule mtoto Amani aliyemdhihaki je? Aliacha kuimba nyimbo za kusifu akaingia kwenye taarabu za masimango. karma hiyo.
 
Ni kweli dada yetu ROSE ni mgonjwa na anahitaji maombezi ya hali ya juu saaana.
Lakini pia CCM ni laana, msanii ukijihusisha na CCM unakuwa umejimaliza bila kujua.Tangu siku aliposema kwa kinywa chake kwamba amejiunga na ccm basi from that day ROSE akawa ame loose control.Sooo saaaad.
Jambo la muhimu ni KUMUOMBEA tuuuu, MUNGU atamsamehe na atamponya.
 
Mtu yoyote huvuna alichopanda ukipanda mihogo usitegemee utavuna miwa!! Wanapoanza kuimba lengo kubwa wawe maarufu na nyimbo zao zisikike kila kona ya dunia sasa hayo mateso wamejichagulia wenyewe acha wapambane nayo!!
 


😂😂😂😀😀nakuunga mkono😅😅😅nimecheka sana.. mlokole akipata upenyo unakuta anakupa mistari freshhhy kbs
 
Halafu yule mchungaji noma kamsukuma
 
mwanamke mzima unawatotot wakubwa..unabahatika kuzikamata pesa unaanza kujiingiza kwenye midawa ya kulevya..hayo nd malipo yake.. hiv mtu mzima km Rose unaanzaje kufanya maupuuzi haya jaman... sijui alivuka stages za ujana? 😤
 
Huyo wampeleke sober house tatizo wachungaji feki wameshamfanya chumio!! Wapige hela
 
Mtu yoyote huvuna alichopanda ukipanda mihogo usitegemee utavuna miwa!! Wanapoanza kuimba lengo kubwa wawe maarufu na nyimbo zao zisikike kila kona ya dunia sasa hayo mateso wamejichagulia wenyewe acha wapambane nayo!!
Uko sahihi, kabisa! Mwanzo watu wengi wanapotafuta umaarufu huwa hawajui yanayoambatana na umaarufu. Wanakuja kushtukia yamewapata wasiyo yataraji..
Unafikiri uchafu wa Amber ruty nani angehangaika nao kama asingekuwa amejipatia umaarufu?
Unafikiri princess Dyna. Nani angekimbizana naye mpaka kifo chake kama asingekuwa maarufu?

Vijana wetu wengi leo hawajui nini kitakachofuata baadae.! Umaarufu ni mzuri ukiwa na watu madhubuti nyuma yako (team). Wanaojua unakula nini, unavaa nini , unaenda wapi kukutana na nani, na kwa dhumuni gani, unamuhusiano na nani na kwa dhumuni gani..
Sabbu yoyote katika hayo hapo juu linaweza kukubomoa au kukujenga. Zaidi..

Utawala ama management kwa mtu maarufu ni muhimu sana. Lakini vijana wetu wachache sana wanaotambua hilo..
Hongera kwa Diamond platnumz
 
Hiyo ni sehemu tuu ya mapito.
Tumuombee.
P
Tumwombee nini sasa,mbona yule abayeomba kuombewa hatuoni tija ya kuombewa kwake,maombi bila ufunuo ni kipoteza muda,Rozi nyimbo zake za mwanzo alianza kulaumu waliomzalisha na kumkimbia,sio aliyemzalisha ni waliomzalisha
 
Msama sio ama wakt ule anaKubebesha bwimbwi hakuwa mbaya tatz lako ulikuwa unauonja, hukukaa nao mbali kama diamond mwenzako hakuugusa kbsa wamuona leo anakula nchi
Unataka kutema grukozi ndio tatizo
 
Tupo jukwaa la siasa!! Au hizi ni siasa za dini??? Anyways wachungaji wa Kenya ni mabingwa wakutengeneza matukio ili kupata umashuhuri,huwa wanashindana na waganga wa jadi kutengeneza shuhuda feki. Rose inasemekana madawa ya kulevya yamemwaribu na sote tunajua ukijiingiza mule nini hutokea.
 
Inawezekana kama pepo mwenyewe ndo wewe au yeye
 
sijui hawa waimbaji wa kike wa kibongo baada ya kupata umaarufu huwa wanakumbwa na pepo gani
Huwa wanajisahau na kujikuta wanaipenda zaidi dunia na fahari zake..huyu mama si alikuwa anatumia prado huyu
 
mziki wa injili ulishamshinda....hana thamani kwa sasa hapa tz na game yake ilishapita.....tumewakabidhi wakenya mmalizane naye.
Ndugu wewe ni muimbaji wa muziki wa Injili? Kama ndio iulize nafsi yako kwa neema ya Mungu endapo ulichoandika ni sahihi.
Kama sio nikujilishe kwenye "Gospel music"

Kuna vitu vikuu vitatu.!
● karama/kipaji ambacho Mungu huweka ndani ya mtu. It does not mattter huyo mtu anapita kwenye tatizo lipi. Kamwe hiyo karama haiwezi kuondolewa ndani yake.
● Ujuzi, Elimu wengi wanajifunza kuimba kupitia shule za muziki hii inaweza kuondoka wakati wowote. Ukichoka
■■
NEEMA YA MUNGU "spiritual connection"
Kwenye Muziki wa injili Mungu huweka kitu pekee cha kukuunganisha naye katika ujumbe wako, bila hiki muziki wako ni kelele, jiulize Tanzania kuna wanamuziki wangapi wa Gospel kwanini basi Anga la muziki wa injili lisisikike majina tofauti tofauti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…