Rose Mhando: Meneja wangu anataka kuniua

Ana watoto 3 wote wa kike.

Ila nadhani kama hayatuhusu kabisa.

Tufatilie ya kwetu.
 
Watu wa Dodoma hasa viunga vya Kikuyu mnamjua vzr sana huyu mwadada Rose Mhando.

Yuko yukoje tafadhari ?

Ana familia?

Nani humgegeda kikonki konki ?
Habari za kimbeya hizi !!
Rose mwenyewe amenukuliwa akisema watoto wake wako university na hawezi kuwalipia karo.

Habari za mme si hoja. Ma single mother ni wengi tu.
 
Watu wa Dodoma hasa viunga vya Kikuyu mnamjua vzr sana huyu mwadada Rose Mhando.

Yuko yukoje tafadhari ?

Ana familia?

Nani humgegeda kikonki konki ?
Tuanze na wewe kwanza...
Uko ukoje?
Una familia?
Nani anakugegeda kikonki konki?
 
Write your reply...naskia eti ...naskia eti ngoja ninyamaze tu Nina ulezi dah nimekumbuka kumbe jogoo alelei vifaranga oky ngoja nikwambie nimeskia eti kwamba rose muhando kwanza rose muhando yupi huyo ?
 
Mi sitakiii hahahaa
Hakika hii ni sanaa mkuu.

Ukiangalia kwa makini hiyo clip, Rose anapoanguka anarekebisha gauni kiaina kwa mkono mmoja...pepo gani linajali mkao wa gauni!?

Walokole Mungu anawaona!
 
moyo unaniuma kumuona dada rose katika hali hiyo

najua kila mmoja anasema lake mwingine sijui anavuta bangi oooh mara karogwa lakini ukweli anaujua Mungu na yeye mwenyewe

mtu apitiapo jaribu wengi humsema ovyo wengine utasikia ana laana huyo na wengi kamuasi Mungu huyo hii ni kawaida sana maana hata ayubu yalimkuta

wengi humu hufurahia kumuona yuko hivyo na wengine humsema ovyo kwa sababu za kimuhemko tu ya kiimani/dini tofauti na dada rose

dada rose i appreciate you so much i believe God will make you standing again coz you did his task that he sent you to do he will wipe your tears don't worry God loves you than they know....amen

my heart is full of anguish about you......but don't worry let them say their nonsense God will shut up their mouths
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…