acha apambane na hali yake.... btw nimegundua kila msanii mtz anapoona mziki unaanza kumshinda anakimbilia kenya. Mister Nice anaendeleaje na maisha huko kenya?Keshamaliziwa na Ng'ang'a nafikiri hadi chuma kalala ndani.
Hakika hii ni sanaa mkuu.Sanaa tupu hizi,akitoka hapo anavuta chake akaendelee kula unga wake...
Walokole ni watu wanafiki no. 1 dunia hii.....
Mimi ni mnafiki ila walokole wamenipita mbali sana!
Kweli mkuu....tatizo letu ni kunyoosha vidole moja kwa moja... ...huyu dada sijui amekumbwa na nini jamani, watu wamekazana kusema anavuta unga lakini hakuna mwenye ushahid, i wish kujua nini hasa tatizo lake, mana tatizo lilianzia miguuni kuna kipindi alikuwa hawezi hata kuvaa viatu anapanda jukwaani kuimba peku peku miguu inakuwa kama inavidonda alafu imevimba, sasahivi naona hata mwili wake wote hauko sawa
Mimi niliambiwa kitambo kabla mambo hayajavuja kwenye media, kipindi hicho yupo kwenye chat kwamba anatumia madawa na unataka kuacha ila shida dawa za methadone sheria ukachomee kituon, yeye akawa hataki anaona aibu. Mwisho wa siku ndio uteja huo!! Wewe hujui kwamba mateja huvimba miguu?? Na mwisho wa siku mwili mzima!!huyu dada sijui amekumbwa na nini jamani, watu wamekazana kusema anavuta unga lakini hakuna mwenye ushahid, i wish kujua nini hasa tatizo lake, mana tatizo lilianzia miguuni kuna kipindi alikuwa hawezi hata kuvaa viatu anapanda jukwaani kuimba peku peku miguu inakuwa kama inavidonda alafu imevimba, sasahivi naona hata mwili wake wote hauko sawa
Rose pia amekuwa conwoman kwa kushirikiana na pastor Ng'ang'a kuwahadaa wamama wanaoamini dini kwa roho yao yote....hii biashara imenoga sana Afrika kote.
Amekuwa chokoraa huko Korogocho anawaburidisha walevi chakari wa chang'aa, naona akielekea kuwa omba omba.acha apambane na hali yake.... btw nimegundua kila msanii mtz anapoona mziki unaanza kumshinda anakimbilia kenya. Mister Nice anaendeleaje na maisha huko kenya?
Kina dada sana sana walirogwa, ni vigumu kumuona mwanamue akijivingirisha chini eti katolewa mapepo.Wafrika vichwani sijui kuna nini?
Kama sababu ni kuona aibu...shida anayo...Mimi niliambiwa kitambo kabla mambo hayajavuja kwenye media, kipindi hicho yupo kwenye chat kwamba anatumia madawa na unataka kuacha ila shida dawa za methadone sheria ukachomee kituon, yeye akawa hataki anaona aibu. Mwisho wa siku ndio uteja huo!! Wewe hujui kwamba mateja huvimba miguu?? Na mwisho wa siku mwili mzima!!
Sio kwamba hamna huo utaalamu ila kuna kile ambacho wanakiitaga kwa kimombo 'conflict of interest'. Sawa tu na ile ya Tundu Lissu alipopigwa risasi. [emoji125][emoji125][emoji125]HAPA NCHINI KWETU HAKUNA MTAALAMU WA KUYATOA?
HahahahaaaaaaaaaaAmekuwa chokoraa huko Korogocho anawaburidisha walevi chakari wa chang'aa, naona akielekea kuwa omba omba.
Mi nafikili ni life condition ya vyuma kukaza ,,hivi una habari kua njaa huanza kutegua miguu kwanza?
Ndio nini sasa hapa umeeleza? Solomon Mukubwa na mama yake wa kambo sijui wa kufikia sio WaTz so what has it got to do na nilichoondika hapo!Kurogana ni kawaida tz .Si hata Solomon mkubwa alirogwa na mamake wa kambo?