Rose Mhando: Meneja wangu anataka kuniua

Unajua anaingiza shilingi ngapi kwa kuigiza hivyo?
Yaani nyie mnaishi kwa kufuata ushuuda wa uongo.
Makanisa ya kisasa yamekua ni deal la biashara unakuta eneo lina umasikini wa kutupa lakini makanisa yapo zaidi ya 70
Hapana,
Sisi wengine tunajua kuwa,
Hili ni pepo na
Hili ni igizo,
Hili ni pepo.
 
Yaan mi namuonea huruma asee[emoji22]
 
Unajua anaingiza shilingi ngapi kwa kuigiza hivyo?
Yaani nyie mnaishi kwa kufuata ushuuda wa uongo.
Makanisa ya kisasa yamekua ni deal la biashara unakuta eneo lina umasikini wa kutupa lakini makanisa yapo zaidi ya 70
Je, wewe binafsi unamfahamu Rose? Umeshawahi kuonana naye live miaka kumi iliyopita? Je umeshawahi kukutana naye live mwaka huu ama mwaka jana?

Kuna mateso makubwa sana ya kisaikolojia jamii yako ikiamua kukutenga kwa namna yoyote ile.! Bora uwe hauna jina kubwa lakini ukiwa na jina kubwa utaomba ardhi ipasuke utumbikie upotee
Rose ametumika na waliomtumia wamemchoka ama wamempumzisha kwa muda ili apate nguvu warudi tena kumtumia,
Unajua mateso aliyopitia Rehema chalamila Ray C.
Ulimsikia Judith Wambura aliposema alitamani kujiua..?
Omba kuwa na jina la kawaida tu utafurahia maisha yako kwa amani lakini ukiwa maarufu kuna gharama kubwa sana inaambatana na umaarufu wako.
 
Tupo wengi tunao umizwa na hali yake tatizo hasaidiki na haeleweki unaweza kumuamini kwa dakika mbili ukiwa nae ana kwa ana ukimpa kisogo, ndio basi tena anatakiwa apate ushauri wa kimatibabu kwa afya yake.! Kisha mtu anayehusika na saikolojia., kisha apate menejiment nzuri ya kazi zake..
Ndani yake bado kuna kazi njema sana lakini mwili wake ndio umeshaharibiwa.
 
Kuna sehem hapo anafunika mapaja kwa kuvuta sket[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahahaha...wajinga ndio waliwao


Nataka kujua baada ya hilo Igizo la Futuhi Rose alilipwa kiasi gani ..
 
Lakini pia je kile anacholazimishwa kupuliziwa mdomoni ni kitu gani?, je kina madhara gani kwa afya..?

Je kweli jamii ya waimbaji wa muziki wa injili kenya wameshindwa kumsaidia Rose? Au kuwa hawamfahamu?
 
Msanii nguli wa muziki wa injili nchini Tanzania Bi Rose Muhando ameibuka katika kanisa moja nchini Kenya akiwa amechomwa moto mikono na sehemu mbalimbali za mwili wake huku uso wake ukiwa na majeraha kiasi cha kuonekana mithili ya kinyago ikiaminika ni sababu za ushirikina kwani alitoweka nyumbani kwake miezi mitatu ambapo alikutwa akizurura mitaani na barabarani akiwa hajielewi.

Fuatilia link hii ujionee


Mungu wetu ni muaminifu, ukimtumikia kwa uaminifu kamwe hatakuacha ibilisi akuchezee....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…