Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Hapana,Unajua anaingiza shilingi ngapi kwa kuigiza hivyo?
Yaani nyie mnaishi kwa kufuata ushuuda wa uongo.
Makanisa ya kisasa yamekua ni deal la biashara unakuta eneo lina umasikini wa kutupa lakini makanisa yapo zaidi ya 70
Yaan mi namuonea huruma asee[emoji22]huyu dada sijui amekumbwa na nini jamani, watu wamekazana kusema anavuta unga lakini hakuna mwenye ushahid, i wish kujua nini hasa tatizo lake, mana tatizo lilianzia miguuni kuna kipindi alikuwa hawezi hata kuvaa viatu anapanda jukwaani kuimba peku peku miguu inakuwa kama inavidonda alafu imevimba, sasahivi naona hata mwili wake wote hauko sawa
Sana mwe!Dunia ina mengi sana!
Fact japo wapo Ila si kwa idadi ya wanawake!Kina dada sana sana walirogwa, ni vigumu kumuona mwanamue akijivingirisha chini eti katolewa mapepo.
Je, wewe binafsi unamfahamu Rose? Umeshawahi kuonana naye live miaka kumi iliyopita? Je umeshawahi kukutana naye live mwaka huu ama mwaka jana?Unajua anaingiza shilingi ngapi kwa kuigiza hivyo?
Yaani nyie mnaishi kwa kufuata ushuuda wa uongo.
Makanisa ya kisasa yamekua ni deal la biashara unakuta eneo lina umasikini wa kutupa lakini makanisa yapo zaidi ya 70
Tupo wengi tunao umizwa na hali yake tatizo hasaidiki na haeleweki unaweza kumuamini kwa dakika mbili ukiwa nae ana kwa ana ukimpa kisogo, ndio basi tena anatakiwa apate ushauri wa kimatibabu kwa afya yake.! Kisha mtu anayehusika na saikolojia., kisha apate menejiment nzuri ya kazi zake..Kweli mkuu....tatizo letu ni kunyoosha vidole moja kwa moja... ...
Hata huo unga kuna waliotiwa kwenye hilo janga bila kupenda ... kwa kupitia watu wao wa karibu... .... ushindani na uadui upo kila kada ...
Rose ana kipindi kigumu sana...inaonyesha anajitahidi lakini hana msaada .... ....I wish angetokea mtu ... kumsogeza toka hapo alipo!
Sababu ya Rose kuokoka ni alikuwa mgonjwa sana!
Sasa.... ...
DaahAmekuwa chokoraa huko Korogocho anawaburidisha walevi chakari wa chang'aa, naona akielekea kuwa omba omba.
Ndio maana nasema baada ya hilo igizo Rose alilipwa kiasi gani ..!?Kuna sehem hapo anafunika mapaja kwa kuvuta sket[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu unaweza jua alilipwa kiasi ganiMasahihisho:MUIMBAJI WA TANZANIA ROSE MUHANDO AFANYA MAIGIZO YA KUTOLEWA MAPEPO KENYA.
Nakazia bromziki wa injili ulishamshinda....hana thamani kwa sasa hapa tz na game yake ilishapita.....tumewakabidhi wakenya mmalizane naye.