chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,969
Dah, pole kwake, Huyu dada kabla ya kuimba na kuwa maarufu alikuwa na troubled life tu, alipokuwa maarufu na hela pia akawa anakorofishana na wachungaji wake, akaja akaporomoka, akawa anatapeli anakimbia na hela za matamasha hadi kutumia madawa..nadhani ni mtu wa trouble tu