kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Wadau wa muziki wa Injili salaam.
Nimeona sehemu ya mahojiano ya msanii wa muziki wa Injili katika kituo kimoja cha Television na kama kawaida kuna wimbo wake mmoja ulichezwa. Katika video yake nimeona kidogo kama wachezaji wanaingiza staili ya ngololo ya Diamond.
Kwa mshangao wangu,kukawa na kikolezo katika wimbo cha maneno "wololo!"Wakiimba kama "ngololo!" Ya Diamond. Kwa vyoyote vile LAZIMA kuna mmoja wao kati ya Rose Mhando na Diamond mmoja kakopi kwa mwenzake!Ningesema huenda producer wao alikuwa mmoja lakini Rose ametengeneza SA wakati Diamond kafanya Kenya kama sikosei.
Hii imekaaje kutuletea ngololo kwenye gospel?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Nimeona sehemu ya mahojiano ya msanii wa muziki wa Injili katika kituo kimoja cha Television na kama kawaida kuna wimbo wake mmoja ulichezwa. Katika video yake nimeona kidogo kama wachezaji wanaingiza staili ya ngololo ya Diamond.
Kwa mshangao wangu,kukawa na kikolezo katika wimbo cha maneno "wololo!"Wakiimba kama "ngololo!" Ya Diamond. Kwa vyoyote vile LAZIMA kuna mmoja wao kati ya Rose Mhando na Diamond mmoja kakopi kwa mwenzake!Ningesema huenda producer wao alikuwa mmoja lakini Rose ametengeneza SA wakati Diamond kafanya Kenya kama sikosei.
Hii imekaaje kutuletea ngololo kwenye gospel?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums