AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,659
- 2,827
Sisi huku tunawajua maisha yao coz tunaishi nao....ujinga woote huo waufanye kwa raha zao kisha eti tusaidiane kutatua ...??Wakenya wanastahili pongezi katika hili wamwomyesha utu sana, si rose tu waliemsapoti lakini pia tuliwaona wakimsapoti munalove, wakati akiwa na matatizo, watanzania tujifunze sio kutoa mipasho tu watu wakipitia magumu...
Hongereni Kenya, MK 254 umeniwahi nilikwambia nitaleta thread ya kuwapongeza kwa kujali utu japo maeneo mengine nyie manyang'au mnazingua sana.
Hawa watu hawana huruma na watu wao hata kidogo. Ndio maana pia hawana huruma na majirani zao. Pengine inachangiwa na hali ngumu ya maisha wanayoishi inayowafanya wawe wakatili.
Kwao hawana zaidi ya kukwamishana, angalia hata wasanii wao wakubwa, wote wamefaulu baada ya soko la Kenya kuwapokea, ila wangeendelea Bongo wangesota kupita maelezo. Jamaa wana roho ngumu sana...
Yeah kisa cha munalove kilinifanya niamini mna roho mbaya kweli.Wakenya wanastahili pongezi katika hili wamwomyesha utu sana, si rose tu waliemsapoti lakini pia tuliwaona wakimsapoti munalove, wakati akiwa na matatizo, watanzania tujifunze sio kutoa mipasho tu watu wakipitia magumu...
Hongereni Kenya, MK 254 umeniwahi nilikwambia nitaleta thread ya kuwapongeza kwa kujali utu japo maeneo mengine nyie manyang'au mnazingua sana.
Hawana madini kichwani, ukitoa Nameless aliyeimba Sinzia hakuna mwenye akili ya mzikiSasa mbona wasanii wenu hawafaulu?
Tandale Utailinganisha na E33, Kariobangi South ama KorogochoHawafaulu kwa kipimo gani unatumia, maana wewe hauwezi kujua ufaulu wao ukiwa huko Tandale.
Unaona vile Muhando amekuwa mrembo na mnene? Anapendeza sanaHawana madini kichwani, ukitoa Nameless aliyeimba Sinzia hakuna mwenye akili ya mziki
Hawafaulu kwa kipimo gani unatumia, maana wewe hauwezi kujua ufaulu wao ukiwa huko Tandale.
BILA SHAKA umejifunza kitu kutoka Tz kupitia kwa Rose M,, sie ni wakarimu sanaHuyu dada sijui kipi alfanyiwa kule Tanzania, maana kwa kweli alikua ameshushwa hadi sakafuni, ila Wakenya tulimpa hifadhi haswa kipindi alikua anaumwa na kumsaidia kwa kila hali.
Enzi zake alikua anaimba nyimbo zilizokua zinanikosha kweli, haswa ule wake wa 'nipe uvumilivu' ulisababisha wengi wetu tukatokwa machozi.
Ametoa kibao kinachomsifia rais Uhuru na kuwashukuru Wakenya na taifa la Kenya kwa kumsaidia kurejea upya.
Wakenya tuendelee na moyo huu huu, baraka zitazidi kumiminika kwenye taifa hili, watatushangaa wengi kwanini pamoja na ukame wote lakini tunanawiri.
Mama Muhando tumepokea shukrani zako na natumai rais alipo atafikishiwa na kukualika siku moja umtembelee.
Swali fikirishi kwa Watanzania, hivi mbona mkimuangusha mtu huwa mnambamiza na kumsakama kabisa asipate hata pakupumulia wala pakutokea.
Endeared Tanzanian gospel musician, Rose Muhando, poured her heart out to President Uhuru Kenyatta, heaping praise on the head of state and Kenya for their warm welcome and accepting her when she was at her weakest point.
The musician composed a song which was posted on YouTube by her friend and Kenyan gospel musician, Stephen Kasolo, on Tuesday, September 24.
"Thank you, Kenyatta and all the Kenyans for the love you showed me in Kenya during my sickness.
"Now am safe and ready to work for the Lord," Muhando wrote.
Stephen Kasolo with Rose Muhando appearing in a past music video. She prayed for President Uhuru Kenyatta and Kenya in her new song of gratitude for the hospitality she was given.
In the song, the veteran musician prays to God to open doors and make ways for President Kenyatta.
"Kenyatta. Let your hands and your house be blessed. Let the open heavens profess blessings to you," she sings.
She also asked Kenya to be protected forever and her borders be secured.
"You opened your arms wide and accepted me. Be blessed Kenya and all your current and future generations. I do not have anything worthy to repay you," the lyrics to her Swahili song read.
The gospel artist found shelter in Kenya throughout her ailment. She was residing at Kenyan gospel artist, Anastacia Mukabwa's, house.
This is her second song after featuring controversial gospel musician Ringtone Apoko in another song dubbed 'Walionicheka' (Those who mocked me).
In November 2018, she was urged by Tanzanians to go back home after she was prayed for by city pastor, James Ng'ang'a. The preacher allegedly cast out demons from her.
President Uhuru Kenyatta. Tanzanian musician Rose Muhando's latest song says a prayer for him and country in gratitude for the hospitality she received in Kenya during her ailment.
Rose Muhando Pours Heart Out to Uhuru [VIDEO]
Endeared Tanzanian gospel musician, Rose Muhando, poured her heart out to President Uhuru Kenyatta, heaping...www.kenyans.co.ke
Wakenya wanawafahamu wasanii karibia wote wa Tanzania wakati wasanii wenu hawazidi hata 10 wanaofahamika huku,
Hata ukipitia comment za kwenye post za wasanii wenu utakuta mkiwatukana, kuwakashfu, kuwazodoa, kuwakatisha tamaa, hamview videos zao youtube nk [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio maana nikasema inategemea wewe wa wapi, maana ukweli Watanzania wengi hampo exposed, mfumo wa ujamaa uliwalemaza kiasi cha kudumaa sehemu moja, mkimwagika huwa mnamwagwa wote kwenye kifurushi kimoja. Huwa hamna uwezo wa diversity.
Aisee!Yeah kisa cha munalove kilinifanya niamini mna roho mbaya kweli.
kwa kweli hongera nyingi kwaoπππππWakenya wanastahili pongezi katika hili wamwomyesha utu sana, si rose tu waliemsapoti lakini pia tuliwaona wakimsapoti munalove, wakati akiwa na matatizo, watanzania tujifunze sio kutoa mipasho tu watu wakipitia magumu...
Hongereni Kenya, MK 254 umeniwahi nilikwambia nitaleta thread ya kuwapongeza kwa kujali utu japo maeneo mengine nyie manyang'au mnazingua sana.
Inategemea wewe wa wapi, kwanini mnashoboka na wasanii wa nchi zingine huku mkiwasahau kuwapa support wasanii wenu,
Mmejazana kwenye video's za kibongo youtube "WAPI LIKES ZA WAKENYA" unakata mkenya akisema kuliko nisikilize nyimbo ya fulani.....
ubepari umewalemaza hamna utu kazi ni chuki tu na ukabila [emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiwa exposed unapata uwezo wa kitu tunaita 'taste', lakini kama umedumaa huawezi kuona zaidi ya pua lako.
Yaani huwa mpo mpo tu majibu yenu huendana na mlivyo
Mumempiga ya kutosha. Wacha akae Kenya apumzike. Hamna haja ya yeye kuturudi huko TZ.Lakini sasa aje afikie suluhu na wanaodai alichukua advance zao halafu hakutokea kupiga shoo, ili asafishe jina lake asionekane tapeli