Wakenya wanastahili pongezi katika hili wamwomyesha utu sana, si rose tu waliemsapoti lakini pia tuliwaona wakimsapoti munalove, wakati akiwa na matatizo, watanzania tujifunze sio kutoa mipasho tu watu wakipitia magumu...
Hongereni Kenya, MK 254 umeniwahi nilikwambia nitaleta thread ya kuwapongeza kwa kujali utu japo maeneo mengine nyie manyang'au mnazingua sana.
Hata Matonya aliyeimba wimbo wa Anita Watanzania walimpiga chini bila huruma yoyote ikabidi atorokee huku Kenya. Tukamkubali na kuishi naye. Hata T.V na redio zetu zikampa interview kibao ili atangaze muziki wake. Halafu Mr Nice wakati alitaka kuanza tena muziki ilibidi aje Kenya maana Wakenya wanapenda muziki wake. Kwanza mimi nakumbuka ile yake ya "kuku kapanda baiskeli".
Hawa watu hawana huruma na watu wao hata kidogo. Ndio maana pia hawana huruma na majirani zao. Pengine inachangiwa na hali ngumu ya maisha wanayoishi inayowafanya wawe wakatili.
Kwao hawana zaidi ya kukwamishana, angalia hata wasanii wao wakubwa, wote wamefaulu baada ya soko la Kenya kuwapokea, ila wangeendelea Bongo wangesota kupita maelezo. Jamaa wana roho ngumu sana...
Kwao hawana zaidi ya kukwamishana, angalia hata wasanii wao wakubwa, wote wamefaulu baada ya soko la Kenya kuwapokea, ila wangeendelea Bongo wangesota kupita maelezo. Jamaa wana roho ngumu sana...
Wakenya wanastahili pongezi katika hili wamwomyesha utu sana, si rose tu waliemsapoti lakini pia tuliwaona wakimsapoti munalove, wakati akiwa na matatizo, watanzania tujifunze sio kutoa mipasho tu watu wakipitia magumu...
Hongereni Kenya, MK 254 umeniwahi nilikwambia nitaleta thread ya kuwapongeza kwa kujali utu japo maeneo mengine nyie manyang'au mnazingua sana.
Wakenya wanawafahamu wasanii karibia wote wa Tanzania wakati wasanii wenu hawazidi hata 10 wanaofahamika huku,
Hata ukipitia comment za kwenye post za wasanii wenu utakuta mkiwatukana, kuwakashfu, kuwazodoa, kuwakatisha tamaa, hamview videos zao youtube nk [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu dada sijui kipi alfanyiwa kule Tanzania, maana kwa kweli alikua ameshushwa hadi sakafuni, ila Wakenya tulimpa hifadhi haswa kipindi alikua anaumwa na kumsaidia kwa kila hali.
Enzi zake alikua anaimba nyimbo zilizokua zinanikosha kweli, haswa ule wake wa 'nipe uvumilivu' ulisababisha wengi wetu tukatokwa machozi.
Ametoa kibao kinachomsifia rais Uhuru na kuwashukuru Wakenya na taifa la Kenya kwa kumsaidia kurejea upya.
Wakenya tuendelee na moyo huu huu, baraka zitazidi kumiminika kwenye taifa hili, watatushangaa wengi kwanini pamoja na ukame wote lakini tunanawiri.
Mama Muhando tumepokea shukrani zako na natumai rais alipo atafikishiwa na kukualika siku moja umtembelee.
Swali fikirishi kwa Watanzania, hivi mbona mkimuangusha mtu huwa mnambamiza na kumsakama kabisa asipate hata pakupumulia wala pakutokea.
Endeared Tanzanian gospel musician, Rose Muhando, poured her heart out to President Uhuru Kenyatta, heaping praise on the head of state and Kenya for their warm welcome and accepting her when she was at her weakest point.
The musician composed a song which was posted on YouTube by her friend and Kenyan gospel musician, Stephen Kasolo, on Tuesday, September 24.
"Thank you, Kenyatta and all the Kenyans for the love you showed me in Kenya during my sickness.
"Now am safe and ready to work for the Lord," Muhando wrote.
Stephen Kasolo with Rose Muhando appearing in a past music video. She prayed for President Uhuru Kenyatta and Kenya in her new song of gratitude for the hospitality she was given.
In the song, the veteran musician prays to God to open doors and make ways for President Kenyatta.
"Kenyatta. Let your hands and your house be blessed. Let the open heavens profess blessings to you," she sings.
She also asked Kenya to be protected forever and her borders be secured.
"You opened your arms wide and accepted me. Be blessed Kenya and all your current and future generations. I do not have anything worthy to repay you," the lyrics to her Swahili song read.
The gospel artist found shelter in Kenya throughout her ailment. She was residing at Kenyan gospel artist, Anastacia Mukabwa's, house.
This is her second song after featuring controversial gospel musicianRingtone Apoko in another song dubbed 'Walionicheka' (Those who mocked me).
In November 2018, she was urged by Tanzanians to go back home after she was prayed for by city pastor, James Ng'ang'a. The preacher allegedly cast out demons from her.
President Uhuru Kenyatta. Tanzanian musician Rose Muhando's latest song says a prayer for him and country in gratitude for the hospitality she received in Kenya during her ailment.
Wakenya wanawafahamu wasanii karibia wote wa Tanzania wakati wasanii wenu hawazidi hata 10 wanaofahamika huku,
Hata ukipitia comment za kwenye post za wasanii wenu utakuta mkiwatukana, kuwakashfu, kuwazodoa, kuwakatisha tamaa, hamview videos zao youtube nk [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio maana nikasema inategemea wewe wa wapi, maana ukweli Watanzania wengi hampo exposed, mfumo wa ujamaa uliwalemaza kiasi cha kudumaa sehemu moja, mkimwagika huwa mnamwagwa wote kwenye kifurushi kimoja. Huwa hamna uwezo wa diversity.
Inategemea wewe wa wapi, kwanini mnashoboka na wasanii wa nchi zingine huku mkiwasahau kuwapa support wasanii wenu,
Mmejazana kwenye video's za kibongo youtube "WAPI LIKES ZA WAKENYA" unakata mkenya akisema kuliko nisikilize nyimbo ya fulani.....
ubepari umewalemaza hamna utu kazi ni chuki tu na ukabila [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio maana nikasema inategemea wewe wa wapi, maana ukweli Watanzania wengi hampo exposed, mfumo wa ujamaa uliwalemaza kiasi cha kudumaa sehemu moja, mkimwagika huwa mnamwagwa wote kwenye kifurushi kimoja. Huwa hamna uwezo wa diversity.
Ila kusema ukweli Watanzania tunapenda sana maanguko ya watu. Huyu dada alichekwa na kukejeliwa kila kona, niliumia na hata kutokwa machozi juu yake kwa aliyokuwa akipitia.
Hivyo kitendo cha Wakenya kumpokea na kumthamini kuliko sisi ndugu zake huku ni aibu kubwa, ifike wakati tubadilike sasa.
Yaliyomkuta Rose Muhando ndiyo wengine wanaomba Harmonize yamkute hayohayo na pengine kuzidi hata Rose, chuki hii mpaka lini?
Wakenya wanastahili pongezi katika hili wamwomyesha utu sana, si rose tu waliemsapoti lakini pia tuliwaona wakimsapoti munalove, wakati akiwa na matatizo, watanzania tujifunze sio kutoa mipasho tu watu wakipitia magumu...
Hongereni Kenya, MK 254 umeniwahi nilikwambia nitaleta thread ya kuwapongeza kwa kujali utu japo maeneo mengine nyie manyang'au mnazingua sana.
Inategemea wewe wa wapi, kwanini mnashoboka na wasanii wa nchi zingine huku mkiwasahau kuwapa support wasanii wenu,
Mmejazana kwenye video's za kibongo youtube "WAPI LIKES ZA WAKENYA" unakata mkenya akisema kuliko nisikilize nyimbo ya fulani.....
ubepari umewalemaza hamna utu kazi ni chuki tu na ukabila [emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiwa exposed unapata uwezo wa kitu tunaita 'taste', lakini kama umedumaa huawezi kuona zaidi ya pua lako.
Yaani huwa mpo mpo tu majibu yenu huendana na mlivyo
Ukiwa exposed unapata uwezo wa kitu tunaita 'taste', lakini kama umedumaa huawezi kuona zaidi ya pua lako.
Yaani huwa mpo mpo tu majibu yenu huendana na mlivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.