Rose Muhando amshukuru rais Uhuru, Wakenya na taifa la Kenya kwa usaidizi aliopata

Rose Muhando amshukuru rais Uhuru, Wakenya na taifa la Kenya kwa usaidizi aliopata

Labda anashirikiana na Mh Kenyata kuuza sembe!!
Huyu dada sijui kipi alfanyiwa kule Tanzania, maana kwa kweli alikua ameshushwa hadi sakafuni, ila Wakenya tulimpa hifadhi haswa kipindi alikua anaumwa na kumsaidia kwa kila hali.
Enzi zake alikua anaimba nyimbo zilizokua zinanikosha kweli, haswa ule wake wa 'nipe uvumilivu' ulisababisha wengi wetu tukatokwa machozi.

Ametoa kibao kinachomsifia rais Uhuru na kuwashukuru Wakenya na taifa la Kenya kwa kumsaidia kurejea upya.
Wakenya tuendelee na moyo huu huu, baraka zitazidi kumiminika kwenye taifa hili, watatushangaa wengi kwanini pamoja na ukame wote lakini tunanawiri.
Mama Muhando tumepokea shukrani zako na natumai rais alipo atafikishiwa na kukualika siku moja umtembelee.

Swali fikirishi kwa Watanzania, hivi mbona mkimuangusha mtu huwa mnambamiza na kumsakama kabisa asipate hata pakupumulia wala pakutokea.



Endeared Tanzanian gospel musician, Rose Muhando, poured her heart out to President Uhuru Kenyatta, heaping praise on the head of state and Kenya for their warm welcome and accepting her when she was at her weakest point.

The musician composed a song which was posted on YouTube by her friend and Kenyan gospel musician, Stephen Kasolo, on Tuesday, September 24.

"Thank you, Kenyatta and all the Kenyans for the love you showed me in Kenya during my sickness.

"Now am safe and ready to work for the Lord," Muhando wrote.



Stephen Kasolo with Rose Muhando in a past video song. She prayed for President Uhuru Kenyatta and Kenya in her new song
Stephen Kasolo with Rose Muhando appearing in a past music video. She prayed for President Uhuru Kenyatta and Kenya in her new song of gratitude for the hospitality she was given.



In the song, the veteran musician prays to God to open doors and make ways for President Kenyatta.

"Kenyatta. Let your hands and your house be blessed. Let the open heavens profess blessings to you," she sings.

She also asked Kenya to be protected forever and her borders be secured.

"You opened your arms wide and accepted me. Be blessed Kenya and all your current and future generations. I do not have anything worthy to repay you," the lyrics to her Swahili song read.

The gospel artist found shelter in Kenya throughout her ailment. She was residing at Kenyan gospel artist, Anastacia Mukabwa's, house.

This is her second song after featuring controversial gospel musician Ringtone Apoko in another song dubbed 'Walionicheka' (Those who mocked me).

In November 2018, she was urged by Tanzanians to go back home after she was prayed for by city pastor, James Ng'ang'a. The preacher allegedly cast out demons from her.



President Uhuru Kenyatta. He was blessed by Tanzanian musician Rose Muhando
President Uhuru Kenyatta. Tanzanian musician Rose Muhando's latest song says a prayer for him and country in gratitude for the hospitality she received in Kenya during her ailment.


 
Hawa jirani zetu wana roho ngumu kupitiliza. Faustine Munishi yupo Kenya kwa miaka 19 sasa. Ana shamba lake na amejenga kule Oloolua, gatuzi la Kajiado, yaani ameisahau nchi yake kabisa. Miaka yote hiyo hawajawaza kusahau na kumsamehe huyu ndugu yao ambaye alikuwa mashuhuri sana.
Mumempiga ya kutosha. Wacha akae Kenya apumzike. Hamna haja ya yeye kuturudi huko TZ.
 
Hawa jirani zetu wana roho ngumu kupitiliza. Faustine Munishi yupo Kenya kwa miaka 19 sasa. Ana shamba lake na amejenga kule Oloolua, gatuzi la Kajiado, yaani ameisahau nchi yake kabisa. Miaka yote hiyo hawajawaza kusahau na kumsamehe huyu ndugu yao ambaye alikuwa mashuhuri sana.

That is sad. I didn't know that. They are savages.
 
That is sad. I didn't know that. They are savages.
CCM walitaka kupita na shingo lake kwasababu alitoa album ya kuwakashifu na kueleza watz wasiwapigie kura. 19 years ago! Nadhani huu wimbo ndio ulileta utata. Mpende adui yako- Faustine Munishi.
 
Hawa jirani zetu wana roho ngumu kupitiliza. Faustine Munishi yupo Kenya kwa miaka 19 sasa. Ana shamba lake na amejenga kule Oloolua, gatuzi la Kajiado, yaani ameisahau nchi yake kabisa. Miaka yote hiyo hawajawaza kusahau na kumsamehe huyu ndugu yao ambaye alikuwa mashuhuri sana.


Dah! Umenikumbusha mbali sana, huyu Munishi yaani nilipenda nyimbo zake tangu nikiwa mdogo.....
Wakenya tulimpokea huyu akawa kama mzawa kabisa, jamaa wa roho ngumu wana mengi ya kujifunza kutoka kwetu.
 
CCM walitaka kupita na shingo lake kwasababu alitoa album ya kuwakashifu na kueleza watz wasiwapigie kura. 19 years ago! Nadhani huu wimbo ndio ulileta utata. Mpende adui yako- Faustine Munishi.


Hapa hawawezi kumsamehe, alikua anaimba ukweli wenyewe.
 
Mumchukue tu awe mkenya hatumtaki kwenye nchi yetu ya ahadi
 
Dah! Umenikumbusha mbali sana, huyu Munishi yaani nilipenda nyimbo zake tangu nikiwa mdogo.....
Wakenya tulimpokea huyu akawa kama mzawa kabisa, jamaa wa roho ngumu wana mengi ya kujifunza kutoka kwetu.
Munishi bado yupo, watu wa Rongai na Kiserian, Kajiado County wanamfahamu vizuri sana, yaani alishakuwa mwenyeji zamani sana. Nakumbuka enzi zake hizo nikiwa mdogo sana. Kila kitu kilikuwa 'black and white' back then. Kijana akianza kuvuta sigara na kunywa pombe, automaticaly anakuwa 'Malebo', mtu ambaye amepotea njia. Hahaa! 😀
 
Wakenya wanastahili pongezi katika hili wamwomyesha utu sana, si rose tu waliemsapoti lakini pia tuliwaona wakimsapoti munalove, wakati akiwa na matatizo, watanzania tujifunze sio kutoa mipasho tu watu wakipitia magumu...
Hongereni Kenya, MK 254 umeniwahi nilikwambia nitaleta thread ya kuwapongeza kwa kujali utu japo maeneo mengine nyie manyang'au mnazingua sana.
Kenya wapo vzr kwenye UTU huo ndo ukweli japo waTZ wengi tutapinga, hawana roho ya kisasi kama tulivyo sisi.....
1. Tulichoma vifaranga vyao
2. Tukauza ng'ombe zao
3. Nk.....

Rais wao anaupendo ulopita Upeo...naye angekuwa hovyo hovyo kama "jamaa" Leo hii nchi hizi mbili zingekuwa ziko kwenye mapigano !!

Hongera Hon. Uhuru Kenyatta, endelea na moyo huo huo.....
 
Vile vifaranga ni vya Mtanzania alivinunua kenya na kuviingiza Tanzania kimagendo wakati sheria inakataza kuingiza wanyama jamii ya ndege kutoka nchi nyingine,
Ila sababu mnapenda story za vijiweni siwalaumu,
Kwanini uingize wanyama nchi ya watu bila kibali,
Nenda leo kenya ukaone utu wao.
Kenya wapo vzr kwenye UTU huo ndo ukweli japo waTZ wengi tutapinga, hawana roho ya kisasi kama tulivyo sisi.....
1. Tulichoma vifaranga vyao
2. Tukauza ng'ombe zao
3. Nk.....

Rais wao anaupendo ulopita Upeo...naye angekuwa hovyo hovyo kama "jamaa" Leo hii nchi hizi mbili zingekuwa ziko kwenye mapigano !!

Hongera Hon. Uhuru Kenyatta, endelea na moyo huo huo.....
 
Hiyo “ malango” Rose muhando anataja kwenye hiyo wimbo ni Kiswahili sanifu??? I thought it should be milango?? MK254 saidia.....
 
Sidhani amemtaja kibahati bahati. Labda ali'intervene' kwenye matibabu yake kimya kimya, you never know. Alafu mimi binafsi huwa naona mbinu hiyo ikiwa ya maana zaidi, sio zile za kumsaidia mtu alafu unakimbia kuanika kwenye mitandao.
Uko sahihi Mkuu...
Mfano SIZONJE ndo tabia yake
 
Sidhani amemtaja kibahati bahati. Labda ali'intervene' kwenye matibabu yake kimya kimya, you never know. Alafu mimi binafsi huwa naona mbinu hiyo ikiwa ya maana zaidi, sio zile za kumsaidia mtu alafu unakimbia kuanika kwenye mitandao.
Hata mi hua nawashuku wale watu hua anasaidia mtu alafu anabandika mapicha mtandaooni.. Ukitenda wema fanya kwasababu unataka kusaidia mtu, usitende kwasababu unataka uonekane una roho nzuri
 
Hata mi hua nawashuku wale watu hua anasaidia mtu alafu anabandika mapicha mtandaooni.. Ukitenda wema fanya kwasababu unataka kusaidia mtu, usitende kwasababu unataka uonekane una roho nzuri
Nakumbuka kuna wakati kulikuwa na fundraising ya Shiro wa GP ,kipindi hicho Uhuru alikuwa nje ya nchi, aliporejea na kufahamishwa alipeana milioni moja na hakuposti. Watu ndio walimsifia. Huyu jamaa ana UTU sana.
 
Huyu dada sijui kipi alfanyiwa kule Tanzania, maana kwa kweli alikua ameshushwa hadi sakafuni, ila Wakenya tulimpa hifadhi haswa kipindi alikua anaumwa na kumsaidia kwa kila hali.
Enzi zake alikua anaimba nyimbo zilizokua zinanikosha kweli, haswa ule wake wa 'nipe uvumilivu' ulisababisha wengi wetu tukatokwa machozi.

Ametoa kibao kinachomsifia rais Uhuru na kuwashukuru Wakenya na taifa la Kenya kwa kumsaidia kurejea upya.
Wakenya tuendelee na moyo huu huu, baraka zitazidi kumiminika kwenye taifa hili, watatushangaa wengi kwanini pamoja na ukame wote lakini tunanawiri.
Mama Muhando tumepokea shukrani zako na natumai rais alipo atafikishiwa na kukualika siku moja umtembelee.

Swali fikirishi kwa Watanzania, hivi mbona mkimuangusha mtu huwa mnambamiza na kumsakama kabisa asipate hata pakupumulia wala pakutokea.



Endeared Tanzanian gospel musician, Rose Muhando, poured her heart out to President Uhuru Kenyatta, heaping praise on the head of state and Kenya for their warm welcome and accepting her when she was at her weakest point.

The musician composed a song which was posted on YouTube by her friend and Kenyan gospel musician, Stephen Kasolo, on Tuesday, September 24.

"Thank you, Kenyatta and all the Kenyans for the love you showed me in Kenya during my sickness.

"Now am safe and ready to work for the Lord," Muhando wrote.



Stephen Kasolo with Rose Muhando in a past video song. She prayed for President Uhuru Kenyatta and Kenya in her new song
Stephen Kasolo with Rose Muhando appearing in a past music video. She prayed for President Uhuru Kenyatta and Kenya in her new song of gratitude for the hospitality she was given.



In the song, the veteran musician prays to God to open doors and make ways for President Kenyatta.

"Kenyatta. Let your hands and your house be blessed. Let the open heavens profess blessings to you," she sings.

She also asked Kenya to be protected forever and her borders be secured.

"You opened your arms wide and accepted me. Be blessed Kenya and all your current and future generations. I do not have anything worthy to repay you," the lyrics to her Swahili song read.

The gospel artist found shelter in Kenya throughout her ailment. She was residing at Kenyan gospel artist, Anastacia Mukabwa's, house.

This is her second song after featuring controversial gospel musician Ringtone Apoko in another song dubbed 'Walionicheka' (Those who mocked me).

In November 2018, she was urged by Tanzanians to go back home after she was prayed for by city pastor, James Ng'ang'a. The preacher allegedly cast out demons from her.



President Uhuru Kenyatta. He was blessed by Tanzanian musician Rose Muhando
President Uhuru Kenyatta. Tanzanian musician Rose Muhando's latest song says a prayer for him and country in gratitude for the hospitality she received in Kenya during her ailment.


Kwaiyo huyo ombaomba mmemkubali wale wa barabarani mnawatukana
 
Back
Top Bottom