Rose Muhando asimulia jinsi Yesu alivyomtokea live

Labda ndio maana alisema ameonja utamu wa yesu.
 
Hadi wakristo wenzie wanapinga, kuna tatizo sehemu.
 
Rose muhando yule wa toleo la kwanza sijui alipatwa na nini

Nakumbuka wimbo wake wa yerusalem, nipishe nipite, kweli mambo hubadilika
 
kuna kipindi wasanii wasipofikisha malengo wanakuwa na stress na kujiona wapo stage ile ile waliyopo zamani. ndio maana kila kukicha maongezi yao kabisa ya uchuzi.
*chid benzi
*q chiller
*dudu baya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…