Rose Muhando asimulia jinsi Yesu alivyomtokea live

Rose Muhando asimulia jinsi Yesu alivyomtokea live

She's a crackhead,no one dares to give a damn to her illusions.
I think to this rate,she should visit a psychiatrist for psychotherapy.She must be having a mental lapset.
 
 
Yeye kajuaje kwamba huyo ndiye yesu ili hali sura ya yesu haijui??
Africa tumekua fooled miaka mingi sana na yule yesu wa kwenye movie na weng wanaamin ndo yeye mana mpaka kanisani wamebandika mapicha yake kwahiyo rose inawezekana ni halucinations zilizompelekea kuota na kuona katokewa na yesu mana aliaminishwa yesu ni yule wa kwenye movie
 
Back
Top Bottom