NYANYADO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 3,804
- 2,482
Wanamsingizia, nnamfahamu Siku nyingi kabla sijahamia marekani, tumeimba group tofauti kanisa la KKKT Mjimpya Morogoro kwa Miaka 3 , Ndio Wakati huo aliondoka nakutoa Album ya kwanza ya Mteule uwe Macho!!!Na ndio kwa mara ya kwanza TZ wakamfahamu Rose!!! Ninachoweza kujua Rose anatatizo la Pumu, ambalo umsumbua mara kwa mara na uhatarisha maisha yake, hivyo kama anadawa anatumia nikwajili ya kutuliza tatizo hilo!!! Ila maswala ya Unga ni mtindo ule ule wa maisha ya watz kutokana na wivu wa maisha ndio hushugurika sana kuwachafua wenzao!!!Matatizo ya Rose yameanza kuibuka baada ya kutofautiana na Msama , Msama hayuko kufanya huduma ya kumtumikia Mungu ila umafia akijificha katika dhuria la Gospel music, Msama ni mtu wa system na ni maji marefu kwa Rose!!! Muda mrefu Rose alishaonywa kuhusu Msama !!!!
Kiasi inaleta mantiki .Kwa sababu dawa za pumu nyingi zinafanana Na madawa ya kulevya