kinjekitile70
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 1,072
- 1,424
Uwoo...... Uwoo... Uwoo
Yelele yeleleeeeeee
Yelele yeleleeeeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utapeli haukubaliki, hata historia ya maisha yako inaonesha wewe ni mzinzi itakuwA vizuri uache ukristo kwani unauchafua![]()
Rose Mhando amesema hana furaha katika maisha ya Ukristo tofauti na alivyokuwa akielezwa wakati akihubiriwa kuokoka. Pia Rose aliwaponda baadhi ya wachungaji kwa kumhukumu kwa maneno ya walimwengu bila kutumia hekima za kidini.
"Wakati nahubiriwa kuokoka, niliambiwa nitakutana na upendo lakini matokeo yake nimekuwa mtu wa ‘kupigwa mashuti’ tu. Mfano, mtu anakualika kwenye tamasha, kwa bahati mbaya unashindwa kufika na unampa taarifa lakini kesho yake unasikia umetapeli, wameshindwa kuona hata jema moja kwangu? Nafikiria kurudi kwenye dini yangu, naamini nitapata faraja,” alisema Rose. Source: GPL
Una lipi la kumwambia Rose katika hilo?
Utapeli haukubaliki, hata historia ya maisha yako inaonesha wewe ni mzinzi itakuwA vizuri uache ukristo kwani unauchafua
Sent using Jamii Forums mobile app