ROMAN REIGNS
Member
- Apr 24, 2015
- 30
- 3
Wadau,
Siku hizi Rose Muhando haonekani katika matamasha kama ilivyokuwa zamani na inasadikika hali yake ni mbaya kiafya. Wapo wanaodai anaumwa kwa sababu ya madawa ya kulevya (unga) na wapo wanaosema ana mimba kubwa hivyo huenda yupo kwenye maandalizi ya kujifungua au yupo maternity leave!
Ukweli ni hupi maana sisi mashabiki wake tunam-miss sana!
Siku hizi Rose Muhando haonekani katika matamasha kama ilivyokuwa zamani na inasadikika hali yake ni mbaya kiafya. Wapo wanaodai anaumwa kwa sababu ya madawa ya kulevya (unga) na wapo wanaosema ana mimba kubwa hivyo huenda yupo kwenye maandalizi ya kujifungua au yupo maternity leave!
Ukweli ni hupi maana sisi mashabiki wake tunam-miss sana!