jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,645
- 4,438
Nyamaza kwa usiyoyajua sio ujingaMtoto WA baba WA taifa amefia Dispensary alipolazwa kwa muda mrefu.
Nilimfundisha mwanae miaka ya nyuma kidogo maisha ya huyu mtoto WA Nyerere yalikuwa ya chini sana sana.
Wangepewa vyeo bado mngelalamika sana tuConclusion ninayoiona Ni kuwa Kuna kilio Cha Muda mrefu Cha watanzania kutaka familia hii ipewe heshima ya kipekee kabla hawajatoweka wote tunaasili ya ki monarch hivyo tunawatazama Kama ma Prince lakini sivyo wanavyo chukuliwa, vyeo wanalimbikiziwa watoto wa wakuja that is not Honour
Aisee wewe ni muhenga, ShkamooRIP Rosemary Nyerere, nitakukumbuka kama overall best student wa ADCA na all finalists pale IDM mwaka 1989 na later on Lecturer wa IFM.
Wametelekezwa kivipi mkuu? Kwani Sheria za nchi zinasemaje kuhusu familia za Marais wastaafu?Sad. First family hakika ni kwa nini kama imetelekezwa? Wajue tu kuwa wanayofurahia sasa ni matunda ya baba wa Taifa hili. Hivi serikali huwa haihusiki na hizi familia? Mbona wengine mnapeana mansions siku Chache zilizopita? Inaniuma mno.
Anaweza kuwa ni rafiki wa familia, lakini hana undugu na akina Nyerere. Manyerere mwenyewe nadhani ni mtu wa Mgango au wa Suguti hivi ingawa sina uhakika, lakini ninajua kuwa siyo mtu wa Butiama huyo.Manyerere na Nyerere wapi na wapi?
Naomba tu niishie hapo Mkuu. Mwenye macho haambiwi tazama. Tunao marais 4 wastaafu kati yao 2 Marehemu. Tumebakiwa na Mwinyi na Kikwete. Tofauti zipo mpaka recently😊😊😊😊Wametelekezwa kivipi mkuu? Kwani Sheria za nchi zinasemaje kuhusu familia za Marais wastaafu?
Ni kwamba watoto watatunzwa na serikali wapewe kazi, chakula na malazi? Na hata wakiolewa huyo mume nae asaidiwe kutunza familia yake?
Hebu tueleweshe tafadhali
Ongea tufahamu na uache majungu. Kwani mama nyerere hatunzwi? Ukute matibabu ya Rose ni serikali imegharamia.Naomba tu niishie hapo Mkuu. Mwenye macho haambiwi tazama. Tunao marais 4 wastaafu kati yao 2 Marehemu. Tumebakiwa na Mwinyi na Kikwete. Tofauti zipo mpaka recently[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Taja location, si inaendeshwa kwa kodi zetuhaja ipo.
tena kwa kuongezea tu, ni hospitali inayomilikiwa na taasisi ya usalama wa taifa. hivyo yaani. au unataka nitaje na location ilipo?.
Bahati mbaya hakuacha legacy, alipotoka madarakani na yote ya principle and integrity were flushed down the toilet drain.Yeye alikuwa analisha watoto wake,kuzaa taifa zima lenye watu zaidi ya milioni Thelathin si kazi ndogo.Anasema ukitembea barabarani ukakutana na mtu ana njaa ama yuko uchi inakuuma ,unasema huu Ni mzigo wangu.Kwa jinsi alivyokuwa utilitarianist asingeweza kujilimbikizia Mali.Alitaka sisi sote watoto wake tufanane,tusiwe na matabaka.
Marhaba, naweza kukuzaa kabisa kwa age yako.Aisee wewe ni muhenga, Shkamoo
Mmh hapana. 1989 nilikuwa darasa la tatu. Nimekulia IDM mzumbeMarhaba, naweza kukuzaa kabisa kwa age yako.
Ulitaka nani ajali kwa mfano? Maana unakoelekea panajulikana fungukaInasikitisha kuona hakuna hata anaye jali basi haina shida pumzika kwa amani Rose.
Ulitaka wataje kafia Gheto kwako? Kenge kweli wewe.... Baba yake tuliambiwa kafia St. Thomas Hospital... wewe ni nani kwani au ulitaka watangaze ili tuwe na maswali lukuki?Kulikuwa kuna haja gani ya kutaja Jina la Hospitali?