pole sana kwaoHii familia ya Odinga Mungu awasaidie.
First the loss of Fidel Odinga and now Rosemary Odinga suffered a stroke and lost her eyesight.
God give Raila and Ida the strength to keep going.
Rosemary Odinga adjusting to new life after losing eyesight
politicising each and every thing.........Kifo cha Fidel ni mkono wa Jubilee! Hata inawezekana inside work!
Fidel inajulikana he was poisoned! BTW haya majanga yanawatokea Watoto wa RAO pale tu wanapoanza kujihusisha na siasa?politicising each and every thing.........
we jamaa ni mpumbavu sana, unadhan kila mtu ana roho km ya baba yako jiwe?.........
mpumbafu kabisa wewe, tambia za kijinga hivi watanzania hatuna
I feel sorry for her. Hata hivyo ungeweka picha ingependeza zaidi, siyo wote tunamjua Rosemary...Hii familia ya Odinga Mungu awasaidie.
First the loss of Fidel Odinga and now Rosemary Odinga suffered a stroke and lost her eyesight.
God give Raila and Ida the strength to keep going.
Rosemary Odinga adjusting to new life after losing eyesight
She has a meningiomaWhat was the cause of a stroke at her age? Was she suffering from hypertension?
I feel sorry for her. Hata hivyo ungeweka picha ingependeza zaidi, siyo wote tunamjua Rosemary...
what if he was sacrificed by his father for power, wee unakuanga fala sana, fidel was a junkie and everyone knws thatKifo cha Fidel ni mkono wa Jubilee! Hata hii inawezekana ikawa inside work!
kwa ufupi wakenya ni wauaji wa kiasili wanazo zana za kila aina za kuondoa uhai wa mtu kuanzia uchawi,siraha za jadi na za kisasa,sumu za kiasili na za kibiolojia .Ila kiukweli nawakubali ukifanikiwa kuwa gavana unatafuna sana keki ya taifaNa anayebisha zaidi akamuulize tundu lissu.
Lol. Umewahi kusikia mkenya yeyote anayetafuna nyama ya binadamu? Chunga unachoandika bintikwa ufupi wakenya ni wauaji wa kiasili wanazo zana za kila aina za kuondoa uhai wa mtu kuanzia uchawi,siraha za jadi na za kisasa,sumu za kiasili na za kibiolojia .Ila kiukweli nawakubali ukifanikiwa kuwa gavana unatafuna sana keki ya taifa
siasa za Kenya ziliasisiwa na shetani mwenyewe ynakumbuka mwaka 2007 kuna wabunge wawili waliuliwa eti ili kubalance idadi yao bungeni.Ila nawakubali askari wa Kenya huwa wana shabaha hatari wakikulenga hawakukosiGoing through coments, siasa za kenya ni kama kuzimu, I feel sorry for Rosemary, she was so confident lady!
binti eti Mr.changaaLol. Umewahi kusikia mkenya yeyote anayetafuna nyama ya binadamu? Chunga unachoandika binti