Rostam atingisha mkutano wa hadhara igunga

Rostam atingisha mkutano wa hadhara igunga

hata kama sio yeye papa ni wapambe wake wale wa gazeti fisadi la mtanzania. Kuna mmoja kasema alikuwa katikati ya mkutano, ndio hao wamelipiwa kila kitu na mkuu wao wa kazi. Jf tuwe makini na mabishano kuna watu wanatuchota akili.
visa mnavyo hapa kama hamtutaki mseme maana kosa liilikuwa kuwaletea taarifa hii mapema japo ku na watu walidai hapa kuwa mimi ni muongo.hio habari haipo
 
Mkuu,
Kwa sisi tunaotembelea Tanzania nzima tunajua mengi.Huko Igunga kunamaendeleo mengi sana ukilinganisha na Jimboni kwa Akina Kilango na wenzake.

- Sasa kwa nini mwokozi wako Rostam hakuenda Busanda, eti unaweza kuwalinganisha Mama Kilango na Rostam, vipi mkuu are you okay?

- Mama kilango atazitoa wapi hela kama za Rostam? Yaani na wewe unashanglia kumpokea Rostam kwa kishindo,au?

FMEs!
 

- Sasa kwa nini mwokozi wako Rostam hakuenda Busanda, eti unaweza kuwalinganisha Mama Kilango na Rostam, vipi mkuu are you okay?

- Mama kilango atazitoa wapi hela kama za Rostam? Yaani na wewe unashanglia kumpokea Rostam kwa kishindo,au?

FMEs!

FMES,

Rostam hakupangiwa kwenda Busanada hivyo siyo jambo la kumlaumu kwa sasa,amekuwa Mwokozi??he he he

Hivi zile pesa zilizoibiwa na gogo pale Morogoro ,mama kilango alizitoa wapi?zile za kampeni ya Urais?
 
nilipoleta taarifa kuwa kubenea kashindwa kesi mliniambai nimetunga lakini mlipokua ni kweli hamkuniomba msamaha.sasa now unasema hapa si kweli,huu ni ukweli na ndio ilivyo,magazeti mengi hayajapata nimeongea na msaki leo hajui.mimi nimesikia hutuba nzima na aziza mbunge wa viti maalumu alikuwepo akishangila japo huwa anazunguka na Mengi kumbe anamchora,na baskeli mia tatu alizogawa tabora kapewa na mengi kwa habari ambazo sijathibitisha

Huyu Aziza mbunge wa viti maalum hana msimamo; mara yuko na Mengi anakomba baiskeli ,mara utamuona anadandia kwa spika Sitta ,mara yuko na mzee wa vijisenti Chenge na sasa ametishiwa na RA na kwa vile hana msimamo bali ni bendera kufuata upepo ndio atachanganyikiwa kabisa!! Nadhani mkoa wa Tabora wana wakinamama ambao ni more solid kuliko huyu, inafaa atoswe!
 
Kwani kosa hasa la Rostam ni nini? Kaiba? Kama kaiba, basi kaiba nini? Kaua? Kama kaua, kaua nani? Mpaka sasa mimi sijaona kosa la mtu huyu, mchukueni wenyewe mkamhukumu kwa sheria yenu. Leteni mashitaka halali kama mnataka hukumu. Kila siku RA, RA, RA, he, hakuna mambo ya kitaifa ya kufanya zaidi ya kuandika RA na Mengi? Mengi kataja mafisadi papa, mambo yapo mahakamani, mengine ya RA yapo PCCB, sisi tuchape kazi, tuache kupiga domo. Ohoo, Watanzania! Tutumie nguvu hizi kuwasaidia wa Mbagala etc.

Typical boot-licker!
 
Duh, kama ya Mh Chenge baada ya kutuhumiwa kuwa na vijisenti alikimbilia kwao BAriadi na kupokelewa na maelfu ya wapiga kura wake. Ni kama vile Lowasa baada ya kuvulwa Uwaziri Mkuu; alikimbilia kwao Monduli na kupokelewa na maelfu.

Ni style ya Wezi wa Mali za Uma a.k.a mafisadi kutaka kuusadikisha umma kwamba ni wasafi kumbe ni kinyume chake. Wote hawa ni the same.....Lowasa, Chenge, Mkapa na hatimaye kinara wao Papaaa Rostam Aziz a.k.a Msukuma wa Iran.
 
Back
Top Bottom