Kwani kosa hasa la Rostam ni nini? Kaiba? Kama kaiba, basi kaiba nini? Kaua? Kama kaua, kaua nani? Mpaka sasa mimi sijaona kosa la mtu huyu, mchukueni wenyewe mkamhukumu kwa sheria yenu. Leteni mashitaka halali kama mnataka hukumu. Kila siku RA, RA, RA, he, hakuna mambo ya kitaifa ya kufanya zaidi ya kuandika RA na Mengi? Mengi kataja mafisadi papa, mambo yapo mahakamani, mengine ya RA yapo PCCB, sisi tuchape kazi, tuache kupiga domo. Ohoo, Watanzania! Tutumie nguvu hizi kuwasaidia wa Mbagala etc.