Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni implication kuwa Simba hawako vizuri kwenye players scouting.Sasa mishahara itakuwaje tena na GSM huwa anawasajilia wachezaji kwa mikataba ya miezi sita sita na mishahara kulipa ni Yanga! Hapo namuona Tuisila na Sarpong wakienda Simba mwakani
Kakanusha...!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji116]View attachment 1565422
Implication yangu kuwa uongozi wa Yanga bado hawajajua kuwa wachezaji wazuri wanachotaka ni hela na sio upenzi wa kijinga wa TimuHiyo ni implication kuwa Simba hawako vizuri kwenye players scouting.
Mambo ya kutaka mwanamke mrembo halafu pesa unategemea kwa mjombaImplication yangu kuwa uongozi wa Yanga bado hawajajua kuwa wachezaji wazuri wanachotaka ni hela na sio upenzi wa kijinga wa Timu
Mambo ya kutaka mwanamke mrembo halafu pesa unategemea kwa mjomba
We jamaa hiyo habari umeipata kupitia source gani?,au ndo upotoshaji umma?
Wenyewe ni wa zee wa MIBAKULI. Hahaha manyani fcYanga ina wenyewe! Huyo Yanga haiwezi! Anachungulia hela!