Rostam Aziz akubaliana na Yanga kununua hisa 29%

Status
Not open for further replies.
Yanga Ni Mzigo Mkubwa
Haieleweki Ipo Ipo
 

Uto mumeiga kwa Simba bhana
 
Mkuu hebu tuwekee Rostam atalipa bilioni ngapi ili kupata 29% ya umiliki na GSM hiyo 20% yao watalipa bilioni ngapi?

 
Uto mumeiga kwa Simba bhana
Hujui kitu umekariri kuiga tu kuna kitu gani kipya ambacho simba mnakifanya na hakijawahi kufanyika sehemu nyingine yoyote duniani.
Nyie ni wabinafsi sana kama ni kuiga kwa nini ilianzishwa hiyo timu yako si mngeacha kwa kuhofia kuwaiga Yanga kwa kuwa ndiyo ilitangulia kuanzishwa .
Kweli itawagharimu miaka mingi mkiwa mbumbumbu.
 
Sheria za uwekezaji ni sawa lakini simba ilipoanza huo mfumo mlikuwa mnalalamika nini
 
Kwa maneno mengine share moja thamani yake ni karibu na billion. Sidhani kama thamani ya Simba na Yanga zinatofautiana sana. Kama ndiyo hivyo basi MO kailalia Simba kwa kupata 49% ya umiliki kwa 20 billions ambazo pia hazijalipwa.

Rostam kasema yeye atalipa 29% ambayo bil 30
 

Utopolo mumeiga kutoka kwa Simba bhana
 
Sheria za uwekezaji ni sawa lakini simba ilipoanza huo mfumo mlikuwa mnalalamika nini
Waliokuwa wanalalamika ni wale ambao huwa wanalalamika tu bila kutafuta ukweli wa jambo bila shaka ni mbumbumbu wenzenu .
 
Simba ni viaz....%50 kwa billion 20 wakat Yanga %49 kwa billion 50.
Na simba lazima mkwame sababu sheria inataka % 49 kwa shareholders watatu na nyie Mo anataka apige zote peke yake,ngoma bado mbichi upande wa Simba.
Kwa kifup Yanga wanaweza nunua Simba ikaifanya Yanga princess.
 
yanga haiigi WANAWAKE.
Mentality ya kudharau wanawake ni ya kishamba. Ni kweli huenda ulikulia katika wanawake (mama zako, dada zako, shangazi zako) ambao walikuwa chini kwenye kila kitu, lakini I tell you, things change very rapid in this world!
 
kama sikosei suala la uwekezaji liliasisiwa na Otopolo FC ila sisi tuliwahi kulitekeleza.
Yeah, Yanga walishindwa kabisa kulitekeleza na badala yake lilileta mgawanyiko mkubwa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…