Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 1,015
- 2,493
Wakikujibu unitag.Swali la msingi ni je Rostam alikuwa akisign kama nani, kama mfanyabiashara binafsi au kama mwakilishi wa serikali. Kama ni binafsi je sa100 anahusikaje? Kama ni serikali, je ana wadhfa gani serikalini?
Ni mtanzaniaRostam ni Mwarabu siyo muhindi
Nani alikuambia kuwa Rostam ni mhindi?Rostam ni tapeli haswa, kimsingi wahindi wote ni matapeli tupu
Aisee. Sawa mkuu. Kwamba sio msemaji wa serkali au wizara, yeye kama mfanyabiashara, kupitia kampuni zake halafu Tz iwe globla exporter.Nimependa wazo la kufanya tanzania kuwa food exporter japo nawaza wataendelea kufunga mipaka kuzuia grain export?
Kakopi na kupestiKichwa cha habari kiswahili, mada kiingeleza
Sasa walitaka wafanyabiashara gani aende nao huko...
Au walitaka aende na wauza vijora,
Watake wasitake RA ndy mfanyabiashara,deals za kumataifa
Mipango yote inampitia yeye
Ova
Huyo ndiye mfadhili mkuu wa Roho Tour kule MarekaniRostam ni tapeli haswa, kimsingi wahindi wote ni matapeli tupu
Wabongo wanatakiwa kuacha kulialia, kulalamika wapambane na wao wajiingize kwenye biashara kubwaHuo ndio ukweli, magufuli akiambatana nae hatukusema leo anaambatana na samia tatizo, muda mwingine waswahili ni tatizo kubwa sana chini ya hii dunia
Jangili hiliHuyo ndiye mfadhili mkuu wa Roho Tour kule Marekani
Ni ukoo wa baba ako?Nani alikuambia kuwa Rostam ni mhindi?
😂😂😂😂Whatever it is! But the truth is "hii nchi imeliwa sana" in JP's voice!
Sijuwi inakuwaje kuwaje mpaka watawala wanawaelewa sana wazee wa dili., sijuwi wazee wa dili wanakuwa na exposure zaidi kuliko watawala.., yaani daaah so sad.View attachment 2670452
Tycoon Rostam Azizi, just two weeks after trending on social media after becoming the new owner of Tigo and Zantel, has again surfaced across social media after being spotted in President Samia’s delegation to the United States of America.
Many people online seemed unclear about Rostam’s dealing in the USA, as was seen in a picture signing some documents while President Samia gazed at his right side.
At the sideline of President Samia’s visit to the US, Rostam met with the President of the Africa Development Bank (AfDB), Mr Akimwumi Adesina. Rostam has urged the AfDB to shore up adequate financing to transform Tanzanians Tsh $12 billion agriculture sector.
Rostam’s request is intended to help Tanzania become a global food exporter and assist the world in meeting its food requirements. Mr Aziz and AfDB top convened at Washington DC.
Also, while in the US, Tycoon Rostam Aziz signed several investment agreements, including a $1 billion deal between Taifa Group and an American Investment Company, Northern Feed & Company, to produce wheat and Soya.
What were Rostam's dealings in USA on President Samia's visit? Find out. - Taifa Daily
Tycoon Rostam Azizi, just two weeks after trending on social media after becoming the new owner of Tigo and Zantel, has again surfaced across social media after being spotted in President Samia’s delegation to the United States of America. Many people online seemed unclear about Rostam’s...taifadaily.com
Wamewahi kukutapeli nini?Rostam ni tapeli haswa, kimsingi wahindi wote ni matapeli tupu
Soma chini utagundua ni Kampuni yake ya Taifa na Kampuni ya Wamarekani kwenye zao ya SoyaSwali la msingi ni je Rostam alikuwa akisign kama nani, kama mfanyabiashara binafsi au kama mwakilishi wa serikali. Kama ni binafsi je sa100 anahusikaje? Kama ni serikali, je ana wadhfa gani serikalini?
Siyo Mwarabu bali MuajemiRostam ni Mwarabu siyo muhindi
Sasa hapo kosa lake liko wapiTycoon Rostam Azizi, wiki mbili tu baada ya kutrend kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuwa mmiliki mpya wa Tigo na Zantel, ameibuka tena kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuonekana kwenye ujumbe wa Rais Samia nchini Marekani.
Watu wengi mtandaoni walionekana kutoelewa kuhusu biashara ya Rostam nchini Marekani, kama inavyoonekana kwenye picha akisaini baadhi ya nyaraka huku Rais Samia akimtazama upande wake wa kulia.
Kando ya ziara ya Rais Samia nchini Marekani, Rostam alikutana na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Bw Akimwumi Adesina. Rostam ameitaka AfDB kutafuta fedha za kutosha ili kuleta mabadiliko katika sekta ya kilimo ya Watanzania yenye thamani ya shilingi bilioni 12.
Ombi la Rostam limekusudiwa kuisaidia Tanzania kuwa muuzaji chakula nje ya nchi na kusaidia ulimwengu katika kukidhi mahitaji yake ya chakula. Bw Aziz na wakuu wa AfDB walikutana Washington DC.
Pia, akiwa Marekani, Tycoon Rostam Aziz alisaini mikataba kadhaa ya uwekezaji, ikiwa ni pamoja na mkataba wa dola bilioni 1 kati ya Taifa Group na Kampuni ya Uwekezaji ya Marekani, Northern Feed & Company, kuzalisha ngano na Soya.
......intended to help...... 'There is no such a thing as HELP'View attachment 2670452
Tycoon Rostam Azizi, just two weeks after trending on social media after becoming the new owner of Tigo and Zantel, has again surfaced across social media after being spotted in President Samia’s delegation to the United States of America.
Many people online seemed unclear about Rostam’s dealing in the USA, as was seen in a picture signing some documents while President Samia gazed at his right side.
At the sideline of President Samia’s visit to the US, Rostam met with the President of the Africa Development Bank (AfDB), Mr Akimwumi Adesina. Rostam has urged the AfDB to shore up adequate financing to transform Tanzanians Tsh $12 billion agriculture sector.
Rostam’s request is intended to help Tanzania become a global food exporter and assist the world in meeting its food requirements. Mr Aziz and AfDB top convened at Washington DC.
Also, while in the US, Tycoon Rostam Aziz signed several investment agreements, including a $1 billion deal between Taifa Group and an American Investment Company, Northern Feed & Company, to produce wheat and Soya.
What were Rostam's dealings in USA on President Samia's visit? Find out. - Taifa Daily
Tycoon Rostam Azizi, just two weeks after trending on social media after becoming the new owner of Tigo and Zantel, has again surfaced across social media after being spotted in President Samia’s delegation to the United States of America. Many people online seemed unclear about Rostam’s...taifadaily.com
Kwa hiyo sa100 ni share holder kwenye biashara za RostamSoma chini utagundua ni Kampuni yake ya Taifa na Kampuni ya Wamarekani kwenye zao ya Soya
Kuisaidia nchi? Kupitia kampuni gani? Na Rais hapo alisimama au kukaa kwa niaba ya nani.? Hizo pesa zinalipwa na kodi gani. Katika kujitetea mtafunua mengiTycoon Rostam Azizi, wiki mbili tu baada ya kutrend kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuwa mmiliki mpya wa Tigo na Zantel, ameibuka tena kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuonekana kwenye ujumbe wa Rais Samia nchini Marekani.
Watu wengi mtandaoni walionekana kutoelewa kuhusu biashara ya Rostam nchini Marekani, kama inavyoonekana kwenye picha akisaini baadhi ya nyaraka huku Rais Samia akimtazama upande wake wa kulia.
Kando ya ziara ya Rais Samia nchini Marekani, Rostam alikutana na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Bw Akimwumi Adesina. Rostam ameitaka AfDB kutafuta fedha za kutosha ili kuleta mabadiliko katika sekta ya kilimo ya Watanzania yenye thamani ya shilingi bilioni 12.
Ombi la Rostam limekusudiwa kuisaidia Tanzania kuwa muuzaji chakula nje ya nchi na kusaidia ulimwengu katika kukidhi mahitaji yake ya chakula. Bw Aziz na wakuu wa AfDB walikutana Washington DC.
Pia, akiwa Marekani, Tycoon Rostam Aziz alisaini mikataba kadhaa ya uwekezaji, ikiwa ni pamoja na mkataba wa dola bilioni 1 kati ya Taifa Group na Kampuni ya Uwekezaji ya Marekani, Northern Feed & Company, kuzalisha ngano na Soya.