Rostam Aziz alifanya makubaliano haya tuache uzushi!

Rostam Aziz alifanya makubaliano haya tuache uzushi!

Kuisaidia nchi? Kupitia kampuni gani? Na Rais hapo alisimama au kukaa kwa niaba ya nani.? Hizo pesa zinalipwa na kodi gani. Katika kujitetea mtafunua mengi
ni kwanini mnakuwa wabishi wa kila jambo? mnakumbuka mlibisha mvua hazitanyesha kulijaza bwawa ya nyerere
 
Kwann Rost tamu, na asiwe Waziri wa KILIMO?

Waziri ndo alipaswa kusaini akiwa na hao wadau wakishuhudia.
hivi ni uelewa mdogo au kulazimisha kuleta maana tofauti?huyo mtu ni mfanyabiashara binafsi na anamiliki makampuni,Rais alikwenda huko kwa ajili ya ziara ya kikazi na jukumu mojawapo ni kutangaza na kutambulisha biashara na wafanyabiashara ikiwa ni pamoja na kjtangaza fursa zilizopo,huyo jamaa aliambatana kama mfanyabiashara MTanzania na kampuni yake ilipata deal so hapo alikuwa anasaini mikataba yake hivyo unaposema Waziri asaini mikataba ya watu binafsi haimake sense...hata wewe ungekuwa unamiliki kampuni na ikatokea umepata deal kubwa na ikatokea Rais yupo katika nchi hiyo sio dhambi na wala si vibaya kiongozi wako wa nchi kushuhudia utiaji saini(its proud) mambo mengine tusipendw kucomplicate na kutengeneza chuki zisizo na msingi...

Tupambane tutafute pesa ndugu chuki zitakaa pembeni automatic
 
chu
Sasa walitaka wafanyabiashara gani aende nao huko...
Au walitaka aende na wauza vijora,
Watake wasitake RA ndy mfanyabiashara,deals za kumataifa
Mipango yote inampitia yeye

Ova
chuki,chuki...mbona mambo yako wazi na hakuna baya lolote hapo....tuupigeni vita umaskini ni mbaya sana unaleta chuki na visasi visivyo na maana...badala mtu afeel proud na kupata motivation anapoona MTanzania mwenzake amefanikiwa yeye anaweka chuki...uzuri hua hajifichi mwenye chuki utamjua tu btn the lines
 
hivi ni uelewa mdogo au kulazimisha kuleta maana tofauti?huyo mtu ni mfanyabiashara binafsi na anamiliki makampuni,Rais alikwenda huko kwa ajili ya ziara ya kikazi na jukumu mojawapo ni kutangaza na kutambulisha biashara na wafanyabiashara ikiwa ni pamoja na kjtangaza fursa zilizopo,huyo jamaa aliambatana kama mfanyabiashara MTanzania na kampuni yake ilipata deal so hapo alikuwa anasaini mikataba yake hivyo unaposema Waziri asaini mikataba ya watu binafsi haimake sense...hata wewe ungekuwa unamiliki kampuni na ikatokea umepata deal kubwa na ikatokea Rais yupo katika nchi hiyo sio dhambi na wala si vibaya kiongozi wako wa nchi kushuhudia utiaji saini(its proud) mambo mengine tusipendw kucomplicate na kutengeneza chuki zisizo na msingi...

Tupambane tutafute pesa ndugu chuki zitakaa pembeni automatic
Pesa tunazo, viwango ndo vinatofautiana.

Kama Rost tamu ni mfanya biashara mkubwa kuliko wote nchini, iweje Kampuni zake zisiongoze Kwa ulipaji Kodi nchini?

Una jibu la swali Hilo?
 
Pesa tunazo, viwango ndo vinatofautiana.

Kama Rost tamu ni mfanya biashara mkubwa kuliko wote nchini, iweje Kampuni zake zisiongoze Kwa ulipaji Kodi nchini?

Una jibu la swali Hilo?
hebu tutajie orodha ya kampuni zote na viwango vyao wanavyolipa kodi
 
chu

chuki,chuki...mbona mambo yako wazi na hakuna baya lolote hapo....tuupigeni vita umaskini ni mbaya sana unaleta chuki na visasi visivyo na maana...badala mtu afeel proud na kupata motivation anapoona MTanzania mwenzake amefanikiwa yeye anaweka chuki...uzuri hua hajifichi mwenye chuki utamjua tu btn the lines
Kuna kosa Gani kuchukia RUSHWA na Wala RUSHWA?
 
Dr Slaa ana ego issues hadi anadiriki kujiita in third person. Hata mimi nimefika hadi kwao Dr Slaa, na marehemu mama yake na marehemu baba yake na mdogo wake Karatu wapo very humble people. Dollar trillioni 7 hajui thamani yake? Eti kafanya research kupitia Google, ndiyo chanzo chake cha kuja na tuhuma shallow kama alivyonukuliwa. Dr Slaa matatizo yake ya maadili siyo siri za Askofu. Akiwa bado kama Padri alikuwa anamtomba Rose Kamili ambaye baadaye Dr Slaa alimuoa na akawa mke wake. Hii siyo siri ya Askofu.
 
Back
Top Bottom