Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
siunajua chadema ni vichwa majiSasa hapo kosa lake liko wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siunajua chadema ni vichwa majiSasa hapo kosa lake liko wapi
ni kwanini mnakuwa wabishi wa kila jambo? mnakumbuka mlibisha mvua hazitanyesha kulijaza bwawa ya nyerereKuisaidia nchi? Kupitia kampuni gani? Na Rais hapo alisimama au kukaa kwa niaba ya nani.? Hizo pesa zinalipwa na kodi gani. Katika kujitetea mtafunua mengi
Kumpeleka Rais wetu uchochoroni hatutatkini kwanini mnakuwa wabishi wa kila jambo? mnakumbuka mlibisha mvua hazitanyesha kulijaza bwawa ya nyerere
porojoKumpeleka Rais wetu uchochoroni hatutatki
Si swala la uchadema wala uccmsiunajua chadema ni vichwa maji
Acha kuongea pumba.Ni ukoo wa baba ako?
hivi ni uelewa mdogo au kulazimisha kuleta maana tofauti?huyo mtu ni mfanyabiashara binafsi na anamiliki makampuni,Rais alikwenda huko kwa ajili ya ziara ya kikazi na jukumu mojawapo ni kutangaza na kutambulisha biashara na wafanyabiashara ikiwa ni pamoja na kjtangaza fursa zilizopo,huyo jamaa aliambatana kama mfanyabiashara MTanzania na kampuni yake ilipata deal so hapo alikuwa anasaini mikataba yake hivyo unaposema Waziri asaini mikataba ya watu binafsi haimake sense...hata wewe ungekuwa unamiliki kampuni na ikatokea umepata deal kubwa na ikatokea Rais yupo katika nchi hiyo sio dhambi na wala si vibaya kiongozi wako wa nchi kushuhudia utiaji saini(its proud) mambo mengine tusipendw kucomplicate na kutengeneza chuki zisizo na msingi...Kwann Rost tamu, na asiwe Waziri wa KILIMO?
Waziri ndo alipaswa kusaini akiwa na hao wadau wakishuhudia.
chuki,chuki...mbona mambo yako wazi na hakuna baya lolote hapo....tuupigeni vita umaskini ni mbaya sana unaleta chuki na visasi visivyo na maana...badala mtu afeel proud na kupata motivation anapoona MTanzania mwenzake amefanikiwa yeye anaweka chuki...uzuri hua hajifichi mwenye chuki utamjua tu btn the linesSasa walitaka wafanyabiashara gani aende nao huko...
Au walitaka aende na wauza vijora,
Watake wasitake RA ndy mfanyabiashara,deals za kumataifa
Mipango yote inampitia yeye
Ova
Pesa tunazo, viwango ndo vinatofautiana.hivi ni uelewa mdogo au kulazimisha kuleta maana tofauti?huyo mtu ni mfanyabiashara binafsi na anamiliki makampuni,Rais alikwenda huko kwa ajili ya ziara ya kikazi na jukumu mojawapo ni kutangaza na kutambulisha biashara na wafanyabiashara ikiwa ni pamoja na kjtangaza fursa zilizopo,huyo jamaa aliambatana kama mfanyabiashara MTanzania na kampuni yake ilipata deal so hapo alikuwa anasaini mikataba yake hivyo unaposema Waziri asaini mikataba ya watu binafsi haimake sense...hata wewe ungekuwa unamiliki kampuni na ikatokea umepata deal kubwa na ikatokea Rais yupo katika nchi hiyo sio dhambi na wala si vibaya kiongozi wako wa nchi kushuhudia utiaji saini(its proud) mambo mengine tusipendw kucomplicate na kutengeneza chuki zisizo na msingi...
Tupambane tutafute pesa ndugu chuki zitakaa pembeni automatic
sio mwarabu ni ana asili ya UajemiRostam ni Mwarabu siyo muhindi
hebu tutajie orodha ya kampuni zote na viwango vyao wanavyolipa kodiPesa tunazo, viwango ndo vinatofautiana.
Kama Rost tamu ni mfanya biashara mkubwa kuliko wote nchini, iweje Kampuni zake zisiongoze Kwa ulipaji Kodi nchini?
Una jibu la swali Hilo?
Nakuuliza wewe, Rost tamu ni mlipa Kodi mkubwa kuliko wote nchini Hadi apendelewe kiasi hicho?hebu tutajie orodha ya kampuni zote na viwango vyao wanavyolipa kodi
Magufuli mambo yalipomshinda alimuita huyo huyo Rostam aje kumsaidia. Ndio Taifa Gas ikaanzishwa.nioneshe mahali ambapo magufuli yupo pembeni anakodoa macho huku watu wanasaini kama ilivyo hiyo picha
Kuna kosa Gani kuchukia RUSHWA na Wala RUSHWA?chu
chuki,chuki...mbona mambo yako wazi na hakuna baya lolote hapo....tuupigeni vita umaskini ni mbaya sana unaleta chuki na visasi visivyo na maana...badala mtu afeel proud na kupata motivation anapoona MTanzania mwenzake amefanikiwa yeye anaweka chuki...uzuri hua hajifichi mwenye chuki utamjua tu btn the lines
Mambo gani yalimshinda?Magufuli mambo yalipomshinda alimuita huyo huyo Rostam aje kumsaidia. Ndio Taifa Gas ikaanzishwa.
Ni muiranRostam ni Mwarabu siyo muhindi
Nani Kaila ?Whatever it is! But the truth is "hii nchi imeliwa sana" in JP's voice!
Nimepata picha kwanini Bashe anasimamia kilimo.Rostam’s request is intended to help Tanzania become a global food exporter and assist the world in meeting its food requirements. Mr Aziz and AfDB top convened at Washington DC.