baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
1. Rostam ndio ana Tenda za Dhahabu za Barrick, Geita Gold Mining ni ya pili kwa Ulipaji kodi Nchi hii baada ya TBL.Pesa tunazo, viwango ndo vinatofautiana.
Kama Rost tamu ni mfanya biashara mkubwa kuliko wote nchini, iweje Kampuni zake zisiongoze Kwa ulipaji Kodi nchini?
Una jibu la swali Hilo?
Uchumi ulipokuwa unadumbukia shimoni,Mambo gani yalimshinda?
Ni kama vile Rostam ndie alijigeuza Rais wa Tanganyika, akaingia makubaliano yenye tija kwa taifa huku Samia akiaa kama ndie mfanyabiashara, tuna kiongozi inept sana.Swali la msingi ni je Rostam alikuwa akisign kama nani, kama mfanyabiashara binafsi au kama mwakilishi wa serikali. Kama ni binafsi je sa100 anahusikaje? Kama ni serikali, je ana wadhfa gani serikalini?
Mi wanipe changu nihamie kwa "pisi kali" RwandaNCHII YA LAANA NA HOVYOOO HIII.
WANIPE MGAO WANGU NITIMKIE BURUNDI
kwa hiyo hapo wanasaini rushwa?Kuna kosa Gani kuchukia RUSHWA na Wala RUSHWA?
Utapeli hauna dini, rangi wala kabila.Rostam ni tapeli haswa, kimsingi wahindi wote ni matapeli tupu
Mumeo, hawa dili zote kubwa ni wahindi na waarabu kashifa zoteUtapeli hauna dini, rangi wala kabila.
Kwani humu nchini waarabu na wahindi ndio wanaongoza polisi, usalama, takukuru, RC, DC, RPC, bandari, TRA, BoT, mawizara na mashirika?Acha ujinga
Huyu mama angekuwa anajua anakopelekwa angejimwagia maji baridi azindukeView attachment 2670452
Tycoon Rostam Azizi, just two weeks after trending on social media after becoming the new owner of Tigo and Zantel, has again surfaced across social media after being spotted in President Samia’s delegation to the United States of America.
Many people online seemed unclear about Rostam’s dealing in the USA, as was seen in a picture signing some documents while President Samia gazed at his right side.
At the sideline of President Samia’s visit to the US, Rostam met with the President of the Africa Development Bank (AfDB), Mr Akimwumi Adesina. Rostam has urged the AfDB to shore up adequate financing to transform Tanzanians Tsh $12 billion agriculture sector.
Rostam’s request is intended to help Tanzania become a global food exporter and assist the world in meeting its food requirements. Mr Aziz and AfDB top convened at Washington DC.
Also, while in the US, Tycoon Rostam Aziz signed several investment agreements, including a $1 billion deal between Taifa Group and an American Investment Company, Northern Feed & Company, to produce wheat and Soya.
What were Rostam's dealings in USA on President Samia's visit? Find out. - Taifa Daily
Tycoon Rostam Azizi, just two weeks after trending on social media after becoming the new owner of Tigo and Zantel, has again surfaced across social media after being spotted in President Samia’s delegation to the United States of America. Many people online seemed unclear about Rostam’s...taifadaily.com
View attachment 2670452
Tycoon Rostam Azizi, just two weeks after trending on social media after becoming the new owner of Tigo and Zantel, has again surfaced across social media after being spotted in President Samia’s delegation to the United States of America.
Many people online seemed unclear about Rostam’s dealing in the USA, as was seen in a picture signing some documents while President Samia gazed at his right side.
At the sideline of President Samia’s visit to the US, Rostam met with the President of the Africa Development Bank (AfDB), Mr Akimwumi Adesina. Rostam has urged the AfDB to shore up adequate financing to transform Tanzanians Tsh $12 billion agriculture sector.
Rostam’s request is intended to help Tanzania become a global food exporter and assist the world in meeting its food requirements. Mr Aziz and AfDB top convened at Washington DC.
Also, while in the US, Tycoon Rostam Aziz signed several investment agreements, including a $1 billion deal between Taifa Group and an American Investment Company, Northern Feed & Company, to produce wheat and Soya.
What were Rostam's dealings in USA on President Samia's visit? Find out. - Taifa Daily
Tycoon Rostam Azizi, just two weeks after trending on social media after becoming the new owner of Tigo and Zantel, has again surfaced across social media after being spotted in President Samia’s delegation to the United States of America. Many people online seemed unclear about Rostam’s...taifadaily.com
Kama ujasoma mpaka form 4 kasome na sio kupoteza muda hapa huta elewa kituKichwa cha habari kiswahili, mada kiingeleza
Nimeiangalia picha hapo juu mara saba , baada ya kuisoma hii comment yako mkuu. Naona Samia anamuangalia tuu Rostam Aziz kwa mbali kidogo🤣🤣🤣 Haya mambo yanafikirisha sanaSwali la msingi ni je Rostam alikuwa akisign kama nani, kama mfanyabiashara binafsi au kama mwakilishi wa serikali. Kama ni binafsi je sa100 anahusikaje? Kama ni serikali, je ana wadhfa gani serikalini?
Wanamzushia tuu wakati wanashau kwamba Ziara za Marais Huwa zinabeba wafanyabiashara ambao hukutana na wenzio na kusaini deals kazaa za biashara
Tycoon Rostam Azizi, just two weeks after trending on social media after becoming the new owner of Tigo and Zantel, has again surfaced across social media after being spotted in President Samia’s delegation to the United States of America.
Many people online seemed unclear about Rostam’s dealing in the USA, as was seen in a picture signing some documents while President Samia gazed at his right side.
At the sideline of President Samia’s visit to the US, Rostam met with the President of the Africa Development Bank (AfDB), Mr Akimwumi Adesina. Rostam has urged the AfDB to shore up adequate financing to transform Tanzanians Tsh $12 billion agriculture sector.
Rostam’s request is intended to help Tanzania become a global food exporter and assist the world in meeting its food requirements. Mr Aziz and AfDB top convened at Washington DC.
Also, while in the US, Tycoon Rostam Aziz signed several investment agreements, including a $1 billion deal between Taifa Group and an American Investment Company, Northern Feed & Company, to produce wheat and Soya.
What were Rostam's dealings in USA on President Samia's visit? Find out. - Taifa Daily
Tycoon Rostam Azizi, just two weeks after trending on social media after becoming the new owner of Tigo and Zantel, has again surfaced across social media after being spotted in President Samia’s delegation to the United States of America. Many people online seemed unclear about Rostam’s...taifadaily.com
Waziri wa Kilimo Bashe, kijana wake alikuwa anasimamia magazeti yake pale sinza kijiweni kabla ajagombea ubunge kule Tabora...Kwann Rost tamu, na asiwe Waziri wa KILIMO?
Waziri ndo alipaswa kusaini akiwa na hao wadau wakishuhudia.
Bora ila siyo kwa kumdhalilisha nembo yetu ya Taifa, anakodoa macho tuWatanzania wengi tuna wivu na matajiri