Sio mtu wa makandokando? Nafikiri wakati wa scandal ya EPA wewe ulikuwa hujazaliwa.Ana hela ana hela halafu ana hela tena. Siyo mtu wa makando kando, siyo mtu wa madili japo ilitumika nguvu kubwa kumchafua.
Aziz ni akili kubwa sana, tayari ashanunua shirika lenye ndege nyingi zaidi TZ. Nani mwingine ana jeuri hiyo?
Jamaa ni smart sana, kimavazi na upstairs.
Vijana wa TZ tuna la kujifunza hapa.
Ukiona Mwanamume unatajwatajwa hivi jua Kazi yako ya 'Kumbandua' huyo anayekutaja kila mara imetukuka.
katumiwa posa, kikao cha wanandugu wanapanga mahari sasa inabidi wapate clue ya kiwango gani wamchanje RAWewe utajiri wa Rostam Aziz unakuhusu nini?.
Ni mpambanaji makini safi sana rostamUtajiri.. u will never know whats behind the scene mwana ni mpiga dili tu mwenye konektion za kimataifa... ni mafia kuliko unavyodhani...
Yes mpumbavu mjibu kulingana na upumbavu wake asije jiona mwelevu[emoji16]Ndo ninakoelekea
aliwahi kukusaidia ngapi mkuuHalafu ana roho smart ukipambana ukapata connection nae suala la kukusaidia milliono 100 ni jambo la kawaida sana kwake tena anakwambia nisamehe kwa hichi kidogo nilichojaaliwa ndugu yangu
Wazee wa gahawa[emoji1787]Haya sasa story za vijiweni.
Nakubari kakaBinafsi unani motivate kufika level hizo,unapokimbia usipojua umbali unaotakiwa kwenda
hautokusanya pumzi zako ipasavyo,haya maisha usipokua na mtu unaemuangalia kama
kioo chako,hautofika popote,maisha yetu watafutaji yanahitaji sana kuwaskia skia hawa
watu,kina Mo,Diamond na wengineo wengi wengi,Huwezi ona Faida ya utajiri wake kama
hauna lengo la kufika alipo yeye,unahisi mafanikio ya YANGA team ya SIMBA inajiskiaje?
Usajili bora wa SIMBA yanga unawafaidisha nini? Fine,unaweza sema natolea mifano isiyo relate na mada, ila ukweli ni kwamba
Tunahitaji (hasa mimi) nahitaji sana sana kujua utajiri wa vijana waliopo Tanzania ili nijue natakiwa kimbia au tembea.
Wengine tuna ma Future Plan ya kuwaeka BENCHI wote hao wanaoitwa mabilionea wa leo,lakini hatutoweza kama hutojua ni yupi unatakiwa umfukuzie.
ROSTAM ni nyoko na NUSU acha kabisa yule kiumbe. Halafu sasa ROSTAM ananinufaisha sana hili jamaa ndio boss la TAIFA/MIHAN GAS
Maisha yangu leo hii yanamtegemea sana ROSTAM akifunga tu kiwanda ya MIHAN/TAIFA GAS narudi kupambana na migambo ya jiji shubaaamit.
Kwa sasa ROSTAM ananiweka mjini asee,maana katika gas nauza zinatoka ni Mihan/taifa gas na zinatoka kwasababu jamaa ana bei ya chini sana kulinganisha na kina ORYX.
wazee ROSTAM nasema tena ni NYOKO robo tatu,apewe sifa zake haina choyo wala nini.
NaamHaya yanaitwa mawazo ya kujikatia Tamaa,Mkuu katika maisha yangu huwa najiitaga "Record Breaker" hii ni Nick name yangu, na kama sio kutumia ID ya CONTROLA basi ningejiita "Record Breaker"
Siwezi na Sijawahi na haitokaa itokee mimi kujikatia tamaa au kuji underrate kiasi hiki mkuu,Fred Vunjabei ana pesa za kawaida,nini FREDY anayo yakuiweka katika DREAMS kwa upande wangu?
Mkuu siwazi kuja kufungua maduka kama fredy,siwazi kuja kuuza kuku kama MR KUKU, tumetofautiana sana malengo na namna tunavyofikiri.
Ma role model wangu ni watu kama Kina ROSTAM na DANGOTE siku zote ndoto za maskini huonekana kama upumbavu machoni pa wengi, lakini nikwambie kitu Mkuu.
Diamond Platnumz ananunua CHOPPER na itakuja,ulishawahi waza kuna msanii Tanzania hii atamiliki CHOPPER? kwa mziki huu huu? Mkuu Sijilinganishi na yeyote chini ya JUA
mimi ni CONTROLA na siku 1 nitafahamika na hizi Comment zangu zitafukuliwa,Mungu aniachie uhai na viungo vyangu hivi hivi.
YOTE YANAWEZEKANA.
Akili kichwani mtu wangu, tumia uwezo wako wote kupata mafanikio awa jamaa awaishi kujifunza kwa namna mbalimbali bila kusahau usomaji wa vitabu,Mimi nafanyeje ili niwe mafia kama Rostam? Muongozo!
mzee wa za ndanindani humfahamu huyu jamaa,kweli huyu mwamba mafiosoHuyu mwamba simjuwi kwa ndani
Ila hakunaga tajiri atakupa vitu vya burebure bila kumfanyia jambo fulani au yeye kufaidika na wewe
Ova
huyo Dos simfahamDos Santos
Kama wewe ni chawa wake sema tu ijulikane,unajua kampuni yake ya Caspian inavyo nyanyasa wafanyakazi wake usingekuja na ngonjera hapa,nenda mwadui pale ujionee unae msifia anavyo watesa wanyakazi wake.Ana hela ana hela halafu ana hela tena. Siyo mtu wa makando kando, siyo mtu wa madili japo ilitumika nguvu kubwa kumchafua.
Aziz ni akili kubwa sana, tayari ashanunua shirika lenye ndege nyingi zaidi TZ. Nani mwingine ana jeuri hiyo?
Jamaa ni smart sana, kimavazi na upstairs.
Vijana wa TZ tuna la kujifunza hapa.
Nje kabisa ya mada;
Mwanamke akishakupa hili jibu ndugu yangu jua kabisa hiyo imeshakula kwako hamna utakachoambulia hapo 😆
luchelele mzungukoaliwahi kukusaidia ngapi mkuu
Hana baya mwanetuHalafu ana roho smart ukipambana ukapata connection nae suala la kukusaidia milliono 100 ni jambo la kawaida sana kwake tena anakwambia nisamehe kwa hichi kidogo nilichojaaliwa ndugu yangu