Rostam Aziz ana pesa, ni tajiri namba 1 Bongo, tuache wivu

Rostam Aziz ana pesa, ni tajiri namba 1 Bongo, tuache wivu

Binafsi unani motivate kufika level hizo,unapokimbia usipojua umbali unaotakiwa kwenda

hautokusanya pumzi zako ipasavyo,haya maisha usipokua na mtu unaemuangalia kama

kioo chako,hautofika popote,maisha yetu watafutaji yanahitaji sana kuwaskia skia hawa

watu,kina Mo,Diamond na wengineo wengi wengi,Huwezi ona Faida ya utajiri wake kama

hauna lengo la kufika alipo yeye,unahisi mafanikio ya YANGA team ya SIMBA inajiskiaje?

Usajili bora wa SIMBA yanga unawafaidisha nini? Fine,unaweza sema natolea mifano isiyo relate na mada, ila ukweli ni kwamba

Tunahitaji (hasa mimi) nahitaji sana sana kujua utajiri wa vijana waliopo Tanzania ili nijue natakiwa kimbia au tembea.

Wengine tuna ma Future Plan ya kuwaeka BENCHI wote hao wanaoitwa mabilionea wa leo,lakini hatutoweza kama hutojua ni yupi unatakiwa umfukuzie.

ROSTAM ni nyoko na NUSU acha kabisa yule kiumbe. Halafu sasa ROSTAM ananinufaisha sana hili jamaa ndio boss la TAIFA/MIHAN GAS

Maisha yangu leo hii yanamtegemea sana ROSTAM akifunga tu kiwanda ya MIHAN/TAIFA GAS narudi kupambana na migambo ya jiji shubaaamit.

Kwa sasa ROSTAM ananiweka mjini asee,maana katika gas nauza zinatoka ni Mihan/taifa gas na zinatoka kwasababu jamaa ana bei ya chini sana kulinganisha na kina ORYX.

wazee ROSTAM nasema tena ni NYOKO robo tatu,apewe sifa zake haina choyo wala nini.
Huyu jamaa ni tajiri kama yule marehemu Dos Santos wa Angola!?
 
Ujachelewa,jisogeze karibu na chama na serikali conection zipo huko.asikwambie mtu mkuu conection za madili ya pesa ndefu zipo huko.amini amini nakwambia pesa zipo huko.Rostam,Bakhresa,GSM n,k madili na pesa ndefu wamepata huko kwenye chama na serikali.
Na hii ndio inachangia wafanyabiashara matajiri wa Afrika kutoheshimiwa kwani tenda nyingi wanapewa kwa mlango wa nyuma na viongozi wa serikali ambao nao wana asilimia kadhaa wanakula humo humo. Mfano Manji alikuwa na tenda ya jeshi. Je, aliipata kwa haki!?
 
Ana hela ana hela halafu ana hela tena. Siyo mtu wa makando kando, siyo mtu wa madili japo ilitumika nguvu kubwa kumchafua.

Aziz ni akili kubwa sana, tayari ashanunua shirika lenye ndege nyingi zaidi TZ. Nani mwingine ana jeuri hiyo?

Jamaa ni smart sana, kimavazi na upstairs.

Vijana wa TZ tuna la kujifunza hapa.
Wewe utajiri wa Rostam Aziz unakuhusu nini?.
 
Ujachelewa,jisogeze karibu na chama na serikali conection zipo huko.asikwambie mtu mkuu conection za madili ya pesa ndefu zipo huko.amini amini nakwambia pesa zipo huko.Rostam,Bakhresa,GSM n,k madili na pesa ndefu wamepata huko kwenye chama na serikali.
Kwa hiyo ile kujisogeza tu tayari nina 10% za kuwa mafia?
 
Amenunu kampuni ya Coastal travel, ni vile vindege vicharter vinaenda Zanzibar, Mafia, na viwanja vya mbugani, au ukitaka kukodi binafsi dollar 4000 unakodi ndege inakupeleka unakotaka.
Dolar 4000 ni 8M net! Yaani ulipe 8M ukodi ndege kutoka Dar kwenda Songea?[emoji23] ni kwa muda gani baada ya kulipa hiyo hela utapata huduma za usafiri kwenye ndege zao?
 
Naona waliompa kandarasi nao walifaidi kweli 10%. Hasa wale vijana waliokuwa wanajiita "Boyz II Men". Yaani JMK na ENL.
Boyz 2 Men, nimeipenda hii. Yaani JK akiwa na miaka 45+ muda ambao ni mzee na ametoka jeshini anajiita Boyz 2 Men?[emoji23] ila JK anapenda sana mambo ya ujana
 
Ana hela ana hela halafu ana hela tena. Siyo mtu wa makando kando, siyo mtu wa madili japo ilitumika nguvu kubwa kumchafua.

Aziz ni akili kubwa sana, tayari ashanunua shirika lenye ndege nyingi zaidi TZ. Nani mwingine ana jeuri hiyo?

Jamaa ni smart sana, kimavazi na upstairs.

Vijana wa TZ tuna la kujifunza hapa.
MWANAUME ANAPOFANYA KAZI YA KUMSIFIA MWANAMME MWENZAKE,inatia mashaka
 
Ana hela ana hela halafu ana hela tena. Siyo mtu wa makando kando, siyo mtu wa madili japo ilitumika nguvu kubwa kumchafua.

Aziz ni akili kubwa sana, tayari ashanunua shirika lenye ndege nyingi zaidi TZ. Nani mwingine ana jeuri hiyo?

Jamaa ni smart sana, kimavazi na upstairs.

Vijana wa TZ tuna la kujifunza hapa.
Uchawa ni hatari sana!
tafuta zako wewe kenge, sasa unatupa za rostam ili iweje?
 
Back
Top Bottom