Labda Nyerere pits-au no 10 alamasi- Ila mpaka hawa wazungu - wameona ni bora wagawe share kufidia deni- kuliko kulipa Cash money, isije ikawa madini yamepungua, ingawa nilipata sikia soko la alamasi duniani limeshuka, Kipindi hiki Cha Corona, hata wadau wengine Kama Hilary sood, alisimama uzalishaji kwa Kipindi kirefu.Though hawawi majority shareholder lkn wanaweza kubadilisha sana biashara na uzalishaji wa huu Mgodi! Sijui kule Makamba Jeki bado kuna almasi?
Hii michezo ya wenyewe! Hii mipango ya business mafians! Diamonds hazijawahi kushuka bei na hao Mwadui hawajawahi kutangaza hasara, kiasi cha kushindwa kulipa mitambo!Anawadai petra pesa nyingi wameshindwa kumlipa ndio wamefikia kumpa hiyo share, mashine zote za kuchimbia hapo WDM ni zake Rostam ,
Makambajeki ilishakaushwa wakatoa diamonds size ya kambale wa makambajeki,Though hawawi majority shareholder lkn wanaweza kubadilisha sana biashara na uzalishaji wa huu Mgodi! Sijui kule Makamba Jeki bado kuna almasi?
Lakini hata kama asingeuziwa Rostam hizo asilimia bado hizo asilimia zingebaki kuwa za Petra sio za government ! !Hii michezo ya wenyewe! Hii mipango ya business mafians! Diamonds hazijawahi kushuka bei na hao Mwadui hawajawahi kutangaza hasara, kiasi cha kushindwa kulipa mitambo!
Nitakuwa wa mwisho kuamini Hilo, hawa walikaa mezani wakajua kabisa ndani ya miaka kadhaa tutakupa stake Kwa valid reason hii hapa! Huenda hii mipango ilisukwa tokea kipindi cha mwendakuzimu. Maana Yule angeleta tantrums! Kuzuia hili!
Sisi tunakwama wapi kuwa Kama wao au zaidi?
Duh!!Kumbe mgodi wa williamson ulishakuwa hauna thamani kabisa, yaani mgodi wote thamani yake ni kama dola milioni 48 tu kwani kama milioni 15 ni 31.5% basi 100% ni hiyo $47.5m ? Thamani hiyo ni chini kabisa ya gharama ambazo Waziri wa nishaiti anataka kutumia kukodi crane moja ya kufungulia maji bwawa la nyerere.
Na namna ya kumkwamisha anayetutetea na anayetetea Mali za nchi !!Boss Sisi Akili na Maarifa na maguvu yetu Huwa tunawekeza Kwenye center of Gravity... Tukiamka Asubuhi tupo hoi.. Akili imeisha inayobaki tunahadithiana Mechi Za ulaya na viuno vya Watoto Wa Kimanga na Wazaramo....🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kama RA ni mzalendo halisi Tanzania tunaweza kufaidika sana kama nchi maana kwa pamoja RA na serikali wana hisa nyingi kuliko Makaburu.Though hawawi majority shareholder lkn wanaweza kubadilisha sana biashara na uzalishaji wa huu Mgodi! Sijui kule Makamba Jeki bado kuna almasi?
Rostam amepamhana kweli kweli katika haya maisha. Nakumbuka miaka ya mwishoni mwa 1980's na mwanzoni mwa 1990's nilikuwa nafanya Biashara ya ngozi za wanyama (ng'ombe, mbuzi etc) na yeye ndiye alikuwa mnunuzi mkuu. Jamaa alikuwa na roho ya dhahabu.alikuwa hakubali muuzaji wake (mleta ngozi) acheleweshewe malipo yake. Ukienda na mzigo, unarudi na pesa yako. Ila itokee umeenda na mzigo, halafu bahati mbaya hukumkuta aidha kwa kusafiri au kwa sababu nyingine yoyote ile, waswahili watakuzungusha hadi uwape chochoteMzawa huyo. Hawa watu wengi wanawaona wakiwa juu ila wanapambana siku nyingi sana. Huyu na marehemu Mufuruki nilikuwa nawaona tangu niko shule ya msingi na tunajua hawa watu matajiri
Kwani nyie mmejenga makao makuu ya Chama chenu? Au mmepora?Anzeni ninyi changeni mjenge makao makuu ya Chadema
ni nani mzee ?Huyu ni mtanzania mwenzetu?
Yap..hata mi naskiaCIA's front
Na we we je?Hongera sana Mzee Rostam,huwa unatutoa kimaso maso sana wewe na Mzee Bakheresa,
Nakuombea ujitanue zaidi ikibidi nunua hata hisa za TTCL,uwe majority share holder,