brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Bilionea mfanyabiashara na mwanachama wa Yanga Rostam Aziz amesema yupo Tayari kuidhani klabu ya Yanga kupitia moja ya makampuni yake lakini sio kuifadhili au kuimiliki
Akiongea na waandishi wasl habari leo ofisini kwake jijini Dar Ess Salaam Rostam amesema
ROSTAM :"Niko tayari kuidhamini Yanga kuipitia moja ya makampuni yangu, lakini napinga kabisa suala la mtu mmoja kumiliki klabu yenye mamilioni ya watu. Suala la udhamini sawa lakini si ufadhili na umiliki."
Rostam pia ameongeza yupo Tayari kuwashauri viongozi was Yanga namna Bora ya kuingoza klabu katika uongozi endelevu
Rostam" viongozi wa Yanga wakija nitawashauri namna Bora ya kuingoza klabu katika uongozi endelevu."
Rostam amedai klabu ya Yanga Ni klabu ya wanachama na nijukumu la Kila mwanachama kuchangia, Rostam Tayari ameshatoa mchango wake wa milioni 200 Kama alivyoahidi
Akiongea na waandishi wasl habari leo ofisini kwake jijini Dar Ess Salaam Rostam amesema
ROSTAM :"Niko tayari kuidhamini Yanga kuipitia moja ya makampuni yangu, lakini napinga kabisa suala la mtu mmoja kumiliki klabu yenye mamilioni ya watu. Suala la udhamini sawa lakini si ufadhili na umiliki."
Rostam pia ameongeza yupo Tayari kuwashauri viongozi was Yanga namna Bora ya kuingoza klabu katika uongozi endelevu
Rostam" viongozi wa Yanga wakija nitawashauri namna Bora ya kuingoza klabu katika uongozi endelevu."
Rostam amedai klabu ya Yanga Ni klabu ya wanachama na nijukumu la Kila mwanachama kuchangia, Rostam Tayari ameshatoa mchango wake wa milioni 200 Kama alivyoahidi