Wapi nimeandika anataka kufadhili?Sawa Mkuu nitaileta yote ila hakuna sehemu aliposema yupo tayari kuifadhili Yanga,Rostam mwenyewe anapinga hilo suala yeye anasisitiza ni jukumu la wanachama kuchangia club yao!
baada ya maigizo ya mahakama ya mafisadi kufikia ukingoni, ufisadi kwenye chama changu CCM sasa umeshamiri rasmi na kwa gea kubwa kuliko awamu zote zilizotangulia.Bilionea mfanyabiashara na mwanachama wa Yanga Rostam Aziz amesema yupo Tayari kuidhani klabu ya Yanga kupitia moja ya makampuni yake lakini sio kuifadhili au kuimiliki
Akiongea na waandishi wasl habari leo ofisini kwake jijini Dar Ess Salaam Rostam amesema
ROSTAM :"Niko tayari kuidhamini Yanga kuipitia moja ya makampuni yangu, lakini napinga kabisa suala la mtu mmoja kumiliki klabu yenye mamilioni ya watu. Suala la udhamini sawa lakini si ufadhili na umiliki."
Rostam pia ameongeza yupo Tayari kuwashauri viongozi was Yanga namna Bora ya kuingoza klabu katika uongozi endelevu
Rostam" viongozi wa Yanga wakija nitawashauri namna Bora ya kuingoza klabu katika uongozi endelevu."
Rostam amedai klabu ya Yanga Ni klabu ya wanachama na nijukumu la Kila mwanachama kuchangia, Rostam Tayari ameshatoa mchango wake wa milioni 200 Kama alivyoahidiView attachment 1132601
49% zote ni za MO,hzo 51% zilizobaki sio za mtu mmoja zimegawanyika gawanyika humo ndo mana wanaona kama team kamiliki Mo
Hela ya Mo imejaa damu za watu kama Fupe akiwa Mkemia Mkuu wa serikali aliikataa ngano mbovu iliyoingizwa na MoTL. Akafa kifo cha ajabu. RIP Fupe.Habari zimwende Mo anayeta aimiliki timu huku hataki kutoa pesa
Rostam na utajiri wake hapigi kelele huyo mo ndio anatupigia kelele!!
Nyie mna nini? Hata hati hamna, hapo Mo ndo kila kituMo ni invester anamiliki 49% japo kwa nje watu wanaona Kama Kila kitu Ni Mo kitu ambacho si kweli Ni upotoshaji tu.
Unamiliki vipi klabu na 49% ?
Kiukweli timu kumilikiwa na mtu mmoja ni shida pale anapopata matatizo. Nakumbuka kipindi Mo alipokuwa ametekwa mashabiki wa Simba walikuwa kwenye pressure kubwa.Mambo aliyoongea Rostam Aziz leo.
• Nimewaita hapa ili kuongelea swala la michezo hasa klabu ya Yanga SC.
• Nimepata Simu nyingi kutoka kwa mashabiki, wanachama na waandishi wa habari wakitaka kujua hatma yangu katika kuisaidia Yanga SC.
•Mimi ni mshabiki wa Yanga SC toka nikiwa darasa la kwanza japo nimekuwa kabatini siku zote hizo mpaka hapo majuzi nilipoamua kuujulisha umma.
•Sioni sahihi kwa timu kubwa na yenye historia ndefu kumilikiwa na mtu binafsi.
•Pia sioni uhalali kwa timu kubwa kama Yanga SC kuwa na mdhamini binafsi.
• Yanga ni timu kubwa yenye mashabiki mamilioni sioni sahihi wala sio haki kwa mtu mmoja kujimilikisha.
•Njia sahihi ni wanachama wote wawe na mamlaka kuiendesha timu yao.
•Njia nzuri ni kupitia michango, wadhamini kupitia makampuni,TV rights na gate collection na kuuza bidhaa mbalimbali zenye nembo yetu.
• Unapokuwa na mdhamini mmoja unainyima yanga kupata fursa ya wadhamini wengine.
•Nipo tayari kuendelea kuichangia timu yangu.
•Nipo tayari kuwapeleka nje viongozi wa Yanga SC ili wakapate mafunzo kutoka kwa wataalamu namna ya kuendesha klabu pia wakihitaji ntawaleta hapa hapa wataalamu.
•Tiba ya hili ni kutafuta njia endelevu ya kuendesha timu.
•Napenda kuona Yanga inafanikiwa kupitia umaarufu na idadi kubwa ya wanachama iliyonayo , kutomilikiwa na mtu mmoja kutatoa fursa kwa makampuni mengine mengi kuidhamini.
•Nami ntaangalia kupitia moja ya makampuni Yangu kutangaza bidhaa zake kupitia Yanga, pia nakaribisha makampuni mengine kufanya hivo.
•Ntaonana na viongozi wa Yanga SC ntawashauri mambo kadha wa kadha watakayochukua sawa na watakayoona hayafai pia sawa.
Yeah nikweli,mfano ugomvi wa manji na mengi nikila mmoja akitaka kuidhamini yangaKiukweli timu kumilikiwa na mtu mmoja ni shida pale anapopata matatizo. Nakumbuka kipindi Mo alipokuwa ametekwa mashabiki wa Simba walikuwa kwenye pressure kubwa.
Huyu jamaa naye anzingua tu na siasa uchwaraDaaaaahhhh hizi siasa zinatupeleka pabaya
Hizi firigisu wanazotengeneza zikifanikiwa sitaki kusikia Simba wala Yanga.
Mkuu hizi timu ulizotaja ni za wanachama? Au timu zilizonunuliwa na matajiri?Huyu jamaa naye anzingua tu na siasa uchwara
mbona Chelsea, man city na ma u zinamilikiwa na mtu mmoja lakn zina mamilioni ya mashabiki dunia nzima
ni za wanachama na mashabikiMkuu hizi timu ulizotaja ni za wanachama? Au timu zilizonunuliwa na matajiri?
Timu ipi hapo kati ya ulizotaja ni ya wanachama?ni za wanachama na mashabiki
Mshaambiwa mseme hizo asilimia zenu 51% mlizonazo zina thamani gani?toeni Hati tujue thamani yenu.Mo ni invester anamiliki 49% japo kwa nje watu wanaona Kama Kila kitu Ni Mo kitu ambacho si kweli Ni upotoshaji tu.
Unamiliki vipi klabu na 49% ?
MikiaKwani Mo anamiliki klabu gani?
Utasikia Singida United Mo atakapoifufua upyaDaaaaahhhh hizi siasa zinatupeleka pabaya
Hizi firigisu wanazotengeneza zikifanikiwa sitaki kusikia Simba wala Yanga.
Mdhamini tangu lini akataka kukaa na Hati ya Club?Haya majitu ya yanga bure kabisa. Wanadhani kumchonganisha mo na wanachama kwamba anamiliki timu kutawafaidia kitu gani?
hivi wanajua maana ya uwekezaji au kununua hisa? Hau wana bwabwajatu?
pia nampongeza ndugu rasul kwa kuonyesha nia yakutaka kuisaidia timu ya yanga.
nijambo zuri kwa maendeleo ya soka letu. Mimi ni mwana simba ila sina akili za watu wa yanga ambao wanadhani simba ikiwa hoi ndio wao wataendelea wanashindwa kujua hakuna simba imara kama yanga ni dhaifu.
ipa bw rasul ajue bila kuweka mfumo kama wa simba wa kununua hisa namwakikishia pesa zake zitatafunwa na wajanja.
Acha uongo.. MO hajatoa 20B tulizo kubaliana.. atapataje hiyo 49%Mo ni invester anamiliki 49% japo kwa nje watu wanaona Kama Kila kitu Ni Mo kitu ambacho si kweli Ni upotoshaji tu.
Unamiliki vipi klabu na 49% ?