kwa hiyo kwa Tanzania tajiri wa kwanza ni
27.Rostam (1)
34. Mengi (2)
38. Dewji (3)
38. Bakhresa (4)
Bakhresa kaka jipange,Mengi ongeza mtonyo ufike juu,K-lyn askuchune sanaRostam,kaka dai chenji zako za DOWANS uongeze mkwanja ufike on top 10.Mo Dewji,ongeza ubora wa bidhaa zako kaka..Lowassa kumbe walikuwa wanakuonea bure."Mrithi namba Moko" sijaona jitihada zako mbona?"Nlikuwepo"
(5) Bepari Mingoi
LOWASA VP? maana tunaskia ameliibia sana taifa au za kwake nyingi zimefichwa ughaibuni hivyo hazijulikani?
nisingetarajia kumwona mtanzania kuwemo kwenye list ya matajiri kwan tz ni nchi maskini, nashangaa kuwaona watanzania kwenye hiyo
kwa hiyo kwa Tanzania tajiri wa kwanza ni
27.Rostam (1)
34. Mengi (2)
38. Dewji (3)
38. Bakhresa (4)