Rostam Aziz: Nimekuwa Kwenye Biashara kwa miaka 32 Sasa, kuchelewa Mradi wa Gesi Asilia ilikuwa ni kupata Mkataba Bora na Kuepuka Laana ya Rasilimali!

Rostam Aziz: Nimekuwa Kwenye Biashara kwa miaka 32 Sasa, kuchelewa Mradi wa Gesi Asilia ilikuwa ni kupata Mkataba Bora na Kuepuka Laana ya Rasilimali!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
KADA Maarufu wa CCM na mfanyabiashara aliyeahidiwa Ubunge Jimbo la Morogoro Mjini na Shujaa Magufuli ndugu yetu Rostam Aziz amesema Uwekezaji umeendelea kuimarika kutoka Viwango vidogo hadi vikubwa katika vipindi vyote vya Utawala.

Aziz amesema amekuwa kwenye biashara kwa miaka 32 Sasa na kwamba Kwa muda wote Uchumi umekuwa ukiendelea kukua.

Kuhusu Gesi Asilia Aziz amesema ucheleweshaji ulisababishwa na Juhudi za Serikali kupata makubaliano mazuri zaidi Ili Kuepuka Laana ya Rasilimali.

Soma Pia: LNG Project: Njooni tujadili unadhani kwanini mradi wa gesi ya LNG unachelewa na nini chakufanya ili utekelezwe kwa wakati


Na kuhusu DP World mfanyabiashara huyu Rafiki kipenzi Cha Shujaa Magufuli na sasa akimsaidia kwa karibu Mpendwa Wetu Mh Rais Samia amesema Wanafanya vizuri na hakunaga uchelewesho wa Meli tena.

Source Mwananchi
 
KADA Maarufu wa CCM na mfanyabiashara aliyeahidiwa Ubunge Jimbo la Morogoro Mjini na Shujaa Magufuli ndugu yetu Rostam Aziz amesema Uwekezaji umeendelea kuimarika kutoka Viwango vidogo hadi vikubwa katika vipindi vyote vya Utawala.

Aziz amesema amekuwa kwenye biashara kwa miaka 32 Sasa na kwamba Kwa muda wote Uchumi umekuwa ukiendelea kukua.

Kuhusu Gesi Asilia Aziz amesema ucheleweshaji ulisababishwa na Juhudi za Serikali kupata makubaliano mazuri zaidi Ili Kuepuka Laana ya Rasilimali.

Soma Pia: LNG Project: Njooni tujadili unadhani kwanini mradi wa gesi ya LNG unachelewa na nini chakufanya ili utekelezwe kwa wakati

Na kuhusu DP World mfanyabiashara huyu Rafiki kipenzi Cha Shujaa Magufuli na sasa akimsaidia kwa karibu Mpendwa Wetu Mh Rais Samia amesema Wanafanya vizuri na hakunaga uchelewesho wa Meli tena.

Source Mwananchi
Huyo ndiyo jasusi mbobezi wacha yule aliyehamia Act wazalendo!
 
Na kuhusu DP World mfanyabiashara huyu Rafiki kipenzi Cha Shujaa Magufuli na sasa akimsaidia kwa karibu Mpendwa Wetu Mh Rais Samia amesema Wanafanya vizuri na hakunaga uchelewesho wa Meli tena.
Kila mtu anajua kuwa DP World ni ya Rostam na Abdul.
 
KADA Maarufu wa CCM na mfanyabiashara aliyeahidiwa Ubunge Jimbo la Morogoro Mjini na Shujaa Magufuli ndugu yetu Rostam Aziz amesema Uwekezaji umeendelea kuimarika kutoka Viwango vidogo hadi vikubwa katika vipindi vyote vya Utawala.

Aziz amesema amekuwa kwenye biashara kwa miaka 32 Sasa na kwamba Kwa muda wote Uchumi umekuwa ukiendelea kukua.

Kuhusu Gesi Asilia Aziz amesema ucheleweshaji ulisababishwa na Juhudi za Serikali kupata makubaliano mazuri zaidi Ili Kuepuka Laana ya Rasilimali.

Soma Pia: LNG Project: Njooni tujadili unadhani kwanini mradi wa gesi ya LNG unachelewa na nini chakufanya ili utekelezwe kwa wakati


Na kuhusu DP World mfanyabiashara huyu Rafiki kipenzi Cha Shujaa Magufuli na sasa akimsaidia kwa karibu Mpendwa Wetu Mh Rais Samia amesema Wanafanya vizuri na hakunaga uchelewesho wa Meli tena.

Source Mwananchi
🐸🐸🐸 kaz kwl kwl
 
KADA Maarufu wa CCM na mfanyabiashara aliyeahidiwa Ubunge Jimbo la Morogoro Mjini na Shujaa Magufuli ndugu yetu Rostam Aziz amesema Uwekezaji umeendelea kuimarika kutoka Viwango vidogo hadi vikubwa katika vipindi vyote vya Utawala.

Aziz amesema amekuwa kwenye biashara kwa miaka 32 Sasa na kwamba Kwa muda wote Uchumi umekuwa ukiendelea kukua.

Kuhusu Gesi Asilia Aziz amesema ucheleweshaji ulisababishwa na Juhudi za Serikali kupata makubaliano mazuri zaidi Ili Kuepuka Laana ya Rasilimali.

Soma Pia: LNG Project: Njooni tujadili unadhani kwanini mradi wa gesi ya LNG unachelewa na nini chakufanya ili utekelezwe kwa wakati

Na kuhusu DP World mfanyabiashara huyu Rafiki kipenzi Cha Shujaa Magufuli na sasa akimsaidia kwa karibu Mpendwa Wetu Mh Rais Samia amesema Wanafanya vizuri na hakunaga uchelewesho wa Meli tena.

Source Mwananchi
Ni rahisi sana kwa ngamia kupenya ktk tundu la sindano kuliko tajiirii kuingia katika ufalme wa Mungu.

Tajiirii Anaongea huku anatung'ong'a..!
 
KADA Maarufu wa CCM na mfanyabiashara aliyeahidiwa Ubunge Jimbo la Morogoro Mjini na Shujaa Magufuli ndugu yetu Rostam Aziz amesema Uwekezaji umeendelea kuimarika kutoka Viwango vidogo hadi vikubwa katika vipindi vyote vya Utawala.

Aziz amesema amekuwa kwenye biashara kwa miaka 32 Sasa na kwamba Kwa muda wote Uchumi umekuwa ukiendelea kukua.

Kuhusu Gesi Asilia Aziz amesema ucheleweshaji ulisababishwa na Juhudi za Serikali kupata makubaliano mazuri zaidi Ili Kuepuka Laana ya Rasilimali.

Soma Pia: LNG Project: Njooni tujadili unadhani kwanini mradi wa gesi ya LNG unachelewa na nini chakufanya ili utekelezwe kwa wakati

Na kuhusu DP World mfanyabiashara huyu Rafiki kipenzi Cha Shujaa Magufuli na sasa akimsaidia kwa karibu Mpendwa Wetu Mh Rais Samia amesema Wanafanya vizuri na hakunaga uchelewesho wa Meli tena.

Source Mwananchi
Aliahidiwa ubunge moro mjini huku abood akiwa bado wa moto??
Hii sikuisikia ilinipita.
 
Biashara yetu ya gesi nchini Kenya iko salama? Maana Raila ana exclusive rights za gesi huko, ulipomuunga mkono Rutto akakuruhusu ufungue biashara ya gesi nchini Kenya.. Kenyatta alizuia usiweke tawi la Taifa Gas
Huyo ni wakumwogopa kama ukoma, Bash Tea alimwambia aondoke nchini
 
Aliahidiwa ubunge moro mjini huku abood akiwa bado wa moto??
Hii sikuisikia ilinipita.
Magu akikasirika Aboud badala kujenga viwanda alinunua kama 5 vyote kakopea kavifunga ananunua ma bus....akamsifu RA kajenga kiwanda kukoboa mchele Moro kamwambia anafaa kuwa Mbunge wa Moro atajenga viwanda vingi ajira tele......alitaka kutoa umiliki wa Moro kwa Aboud....aliwachonganisha wale jamaa 2.....
 
KADA Maarufu wa CCM na mfanyabiashara aliyeahidiwa Ubunge Jimbo la Morogoro Mjini na Shujaa Magufuli ndugu yetu Rostam Aziz amesema Uwekezaji umeendelea kuimarika kutoka Viwango vidogo hadi vikubwa katika vipindi vyote vya Utawala.

Aziz amesema amekuwa kwenye biashara kwa miaka 32 Sasa na kwamba Kwa muda wote Uchumi umekuwa ukiendelea kukua.

Kuhusu Gesi Asilia Aziz amesema ucheleweshaji ulisababishwa na Juhudi za Serikali kupata makubaliano mazuri zaidi Ili Kuepuka Laana ya Rasilimali.

Soma Pia: LNG Project: Njooni tujadili unadhani kwanini mradi wa gesi ya LNG unachelewa na nini chakufanya ili utekelezwe kwa wakati

Na kuhusu DP World mfanyabiashara huyu Rafiki kipenzi Cha Shujaa Magufuli na sasa akimsaidia kwa karibu Mpendwa Wetu Mh Rais Samia amesema Wanafanya vizuri na hakunaga uchelewesho wa Meli tena.

Source Mwananchi
Magufuli alipomrudisha Rostam kundini nikajua "yametimia" na kweli haikuchukua muda.....
 
Back
Top Bottom