troiker
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 1,551
- 2,573
Ndio aliyeua?Magufuli alipomrudisha Rostam kundini nikajua "yametimia" na kweli haikuchukua muda.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio aliyeua?Magufuli alipomrudisha Rostam kundini nikajua "yametimia" na kweli haikuchukua muda.....
Ulimsikia nani anasema hivyo?Ndio aliyeua?
Eti kipenzi cha magufuli? Shenzi kabisa. Huyu mwizi na mpigaji mkubwa nchini kwetu unasema kipenzi cha magufuli? Mtu usiwe kibaraka kupromote watu hatari kwa nchi. Hakuna kashfa kubwa za hujuma na upigaji mkubwa nchi hii jina la Rostam Aziz halitajwi. Mtoa hoja kua makini kuna wawekezaji wansleta mtaji nvhini ambao ndio taifa linawahitaji na kuna wapigaji ambao lengo lao ni kuiba rasmali za umma. Watu hao taifa linapaswa kujihadhari nao.KADA Maarufu wa CCM na mfanyabiashara aliyeahidiwa Ubunge Jimbo la Morogoro Mjini na Shujaa Magufuli ndugu yetu Rostam Aziz amesema Uwekezaji umeendelea kuimarika kutoka Viwango vidogo hadi vikubwa katika vipindi vyote vya Utawala.
Aziz amesema amekuwa kwenye biashara kwa miaka 32 Sasa na kwamba Kwa muda wote Uchumi umekuwa ukiendelea kukua.
Kuhusu Gesi Asilia Aziz amesema ucheleweshaji ulisababishwa na Juhudi za Serikali kupata makubaliano mazuri zaidi Ili Kuepuka Laana ya Rasilimali.
Soma Pia: LNG Project: Njooni tujadili unadhani kwanini mradi wa gesi ya LNG unachelewa na nini chakufanya ili utekelezwe kwa wakati
Na kuhusu DP World mfanyabiashara huyu Rafiki kipenzi Cha Shujaa Magufuli na sasa akimsaidia kwa karibu Mpendwa Wetu Mh Rais Samia amesema Wanafanya vizuri na hakunaga uchelewesho wa Meli tena.
Source Mwananchi
Ulikuwa ni Mkutano wa mwisho wa kisiasa wa shujaa Magufuli Mjini Morogoro 😄Aliahidiwa ubunge moro mjini huku abood akiwa bado wa moto??
Hii sikuisikia ilinipita.
KADA Maarufu wa CCM na mfanyabiashara aliyeahidiwa Ubunge Jimbo la Morogoro Mjini na Shujaa Magufuli ndugu yetu Rostam Aziz amesema Uwekezaji umeendelea kuimarika kutoka Viwango vidogo hadi vikubwa katika vipindi vyote vya Utawala.
Aziz amesema amekuwa kwenye biashara kwa miaka 32 Sasa na kwamba Kwa muda wote Uchumi umekuwa ukiendelea kukua.
Kuhusu Gesi Asilia Aziz amesema ucheleweshaji ulisababishwa na Juhudi za Serikali kupata makubaliano mazuri zaidi Ili Kuepuka Laana ya Rasilimali.
Soma Pia: LNG Project: Njooni tujadili unadhani kwanini mradi wa gesi ya LNG unachelewa na nini chakufanya ili utekelezwe kwa wakati
Na kuhusu DP World mfanyabiashara huyu Rafiki kipenzi Cha Shujaa Magufuli na sasa akimsaidia kwa karibu Mpendwa Wetu Mh Rais Samia amesema Wanafanya vizuri na hakunaga uchelewesho wa Meli tena.
Source Mwananchi
Aziz, Shabiby na Mo wametoka mbali 😂Jamaa kapiga bingo sasa anajipongeza😅😅
Ata ukasirike ndo ukweli magufuli alimwita rostam ikulu huku anacheka mpaka gego la mwisho linaonekanaEti kipenzi cha magufuli? Shenzi kabisa. Huyu mwizi na mpigaji mkubwa nchini kwetu unasema kipenzi cha magufuli? Mtu usiwe kibaraka kupromote watu hatari kwa nchi. Hakuna kashfa kubwa za hujuma na upigaji mkubwa nchi hii jina la Rostam Aziz halitajwi. Mtoa hoja kua makini kuna wawekeza ambao ndio taifa linawahitaji na kuna wapigaji ambao lengo lao ni kuiba rasmali za umma. Watu hao taifa linapaswa kujihadhari nao.
Rostam ni dalali wa mali za ummaKADA Maarufu wa CCM na mfanyabiashara aliyeahidiwa Ubunge Jimbo la Morogoro Mjini na Shujaa Magufuli ndugu yetu Rostam Aziz amesema Uwekezaji umeendelea kuimarika kutoka Viwango vidogo hadi vikubwa katika vipindi vyote vya Utawala.
Aziz amesema amekuwa kwenye biashara kwa miaka 32 Sasa na kwamba Kwa muda wote Uchumi umekuwa ukiendelea kukua.
Kuhusu Gesi Asilia Aziz amesema ucheleweshaji ulisababishwa na Juhudi za Serikali kupata makubaliano mazuri zaidi Ili Kuepuka Laana ya Rasilimali.
Soma Pia: LNG Project: Njooni tujadili unadhani kwanini mradi wa gesi ya LNG unachelewa na nini chakufanya ili utekelezwe kwa wakati
Na kuhusu DP World mfanyabiashara huyu Rafiki kipenzi Cha Shujaa Magufuli na sasa akimsaidia kwa karibu Mpendwa Wetu Mh Rais Samia amesema Wanafanya vizuri na hakunaga uchelewesho wa Meli tena.
Source Mwananchi
Aziz ni Boss wa TAL na Sugu wawapo Unyamwezini 😂😂😂Rostam ni dalali wa mali za umma
Siyo kweliAziz ni Boss wa TAL na Sugu wawapo Unyamwezini 😂😂😂
Sidhani kama utaelewa 🐼
Haya 😂😂😂😂😂Siyo kweli
Tuliza mshonoHaya 😂😂😂😂😂
Unadhani TAL nauli huwa anapewa na nani? 😂😂😂Tuliza mshono
Lisu ana akili kuliko CCM wote pamoja na kifungashio cha ACTUnadhani TAL nauli huwa anapewa na nani? 😂😂😂
Tuendelee kutumia gesi ya kupikia hii ndio nishati safi.KADA Maarufu wa CCM na mfanyabiashara aliyeahidiwa Ubunge Jimbo la Morogoro Mjini na Shujaa Magufuli ndugu yetu Rostam Aziz amesema Uwekezaji umeendelea kuimarika kutoka Viwango vidogo hadi vikubwa katika vipindi vyote vya Utawala.
Aziz amesema amekuwa kwenye biashara kwa miaka 32 Sasa na kwamba Kwa muda wote Uchumi umekuwa ukiendelea kukua.
Kuhusu Gesi Asilia Aziz amesema ucheleweshaji ulisababishwa na Juhudi za Serikali kupata makubaliano mazuri zaidi Ili Kuepuka Laana ya Rasilimali.
Soma Pia: LNG Project: Njooni tujadili unadhani kwanini mradi wa gesi ya LNG unachelewa na nini chakufanya ili utekelezwe kwa wakati
Na kuhusu DP World mfanyabiashara huyu Rafiki kipenzi Cha Shujaa Magufuli na sasa akimsaidia kwa karibu Mpendwa Wetu Mh Rais Samia amesema Wanafanya vizuri na hakunaga uchelewesho wa Meli tena.
Source Mwananchi
campuscitymall.com