Rostam Aziz: Nimekuwa Kwenye Biashara kwa miaka 32 Sasa, kuchelewa Mradi wa Gesi Asilia ilikuwa ni kupata Mkataba Bora na Kuepuka Laana ya Rasilimali!

Eti kipenzi cha magufuli? Shenzi kabisa. Huyu mwizi na mpigaji mkubwa nchini kwetu unasema kipenzi cha magufuli? Mtu usiwe kibaraka kupromote watu hatari kwa nchi. Hakuna kashfa kubwa za hujuma na upigaji mkubwa nchi hii jina la Rostam Aziz halitajwi. Mtoa hoja kua makini kuna wawekezaji wansleta mtaji nvhini ambao ndio taifa linawahitaji na kuna wapigaji ambao lengo lao ni kuiba rasmali za umma. Watu hao taifa linapaswa kujihadhari nao.
 
Jamaa kapiga bingo sasa anajipongezaπŸ˜…πŸ˜…
 
Ata ukasirike ndo ukweli magufuli alimwita rostam ikulu huku anacheka mpaka gego la mwisho linaonekana
 
Rostam ni dalali wa mali za umma
 
Tuendelee kutumia gesi ya kupikia hii ndio nishati safi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…