akilimtindi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2008
- 421
- 83
Mwanahalisi usiogope, huyo Rostam tumbo la kuhara linamkabili maana alianza kampeni ya kujisafisha na sasa matokeo yake yanamwelemea maana nguvu za wanaompinga ni kubwa kupita kiasi. Asipokuwa mjanja ataanguka mapema, wewe kazi uzi Kamanda wetu, sisi tuko nyuma yako. Kwa namna yeyote atakayojaribu kujitetea kwa nguvu atakuwa amekoleza moto na kuongeza mafuta anayoyagharamia mwenyewe. Na kwa jinsi nimjuavyo huyo mjinga kutumia pesa kuvuruga mambo si tatizo, lakini kwa sasa uwezo wa kugeuza mambo ni kama kuongelea kugeuza bahari juu chini, ni NGUMU.