akilimtindi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2008
- 421
- 83
Ndio nasema hilo haliwezekani Ni kazi ya serikali kutengeneza mazingira mwafaka kwa sekta binafsi na wafanyabiashara kufanya biashara zao na wakati huohuo kuhakikisha kwamba inaziba mianya yoyote, kwa njia ya sheria, kanuni, n.k., ya kuliingiza hasara taifa na kupoteza mapato halali kwa njia ya kodi. Inavyoonekana ni kama vile tulitaka Rostam asitumie mianya iliyokuwepo na ambayo ipo ya kumfanya apate faida haraka na kubwa, I bet hili haliwezekani kwa mfanyabiashara yeyote, simply because hiyo sio kazi yake!
CCM walipoamua kuwakumbatia wafanyabiashara waliamua pia kukumbatia utapeli na ujanjaujanja wa wafanyabiashara kama akina Rostam. Rostam anasema wazazi wake walianza biashara tangu 1852, sasa cha kujiuliza ni kwa nini yeye amejulikana kuanzia kipindi cha wakati wa Mwinyi na kushamirisha biashara zake kipindi cha kampeni za urais wa 2005? Ni kwamba huko nyuma hapakuwa na loop holes za kijinga kama zilivyo sasa.
Tuache kuwa simplistic because simplicity is the enemy of truth. Hatuwezi kuishinda vita ya ufisadi kwa kuwashambulia mawakala wa ufisadi; ifike mahala tuamue ama kuwashambulia wazalisha ufisadi CCM au kama, hatuwawezi, tukae kimya na tukubaliane kwamba hayo ndiyo maisha yetu!
Hivi Rostam alizaliwa wapi na wazazi wake wako wapi?
Hakuna anaejua vitu vya ndani vya watu kama hivyo Tanzania.
Wakati ule umezuka mtafaruku wa uraia wa Rostam, mpaka uhamiaji wakaulizwa wakasema wataangalia, you would think the press would dig deeper and follow up. Lakini hakuna.
Sasa just imagine Mbunge wa Jamhuri hakuna anaejua anatoka wapi.
Website ya Bunge sehemu ya background, Rostam, kama Wabunge wengi, kaacha blank sehemu karibu zote.
Unagombea Ubunge halafu hakuna kiumbe kwenye press kinakuuliza we kwenu wapi.
Hamna anaejua kitu kuhusu mtu yeyote hapa.
Huyu Mtikila huyu, ambae kila siku yuko mahakamani kutangua masheria makubwa makubwa ya Katiba, hakuna anaejua kama kasoma sheria na kasomea wapi. Kuna kigazeti kiliwahi kiliandika ni mwanasheria. Lakini hakuna mwenye uhakika.
Hatuna press. Hakuna press hapa kwetu hapa. Tanzania.
Ingekuwepo tungejua au kungekuwa na inquiry kuhusu background ya Mbunge wa Jamhuri!
Sio press tu....hakuna mengi!! Tulichonancho ni ujinga wa hali ya juu na ufisadi uliokithiri.....hivi ndivyo vipo.....
Nyani Ngabu, I am not conceding, or hinting at agreeing whatsoever, to your underlying belief that our wretched state of poverty, disease, despair, death and disaster is due to inherent mental handicap.
If we are wantonly stupid it is because of nurture, not nature. Pursuant to the science of genetics.
Press ndio inanisumbua zaidi kwa sababu kufundishana hii taalam haihitaji maendeleo kama ya Nuclear Technology au biomedical advancement. Ni kiasi cha kuangalia kusoma New York Times au kuangalia Watangazaji wa BBC tu unajifunza wengine wanavyofanya hii kazi. Hii taaluma haitakiwei kutushinda jamani.
Disclaimer of clarity:
Nyani Ngabu, I am not conceding, or hinting at agreeing whatsoever, to your underlying belief that our wretched state of poverty, disease, despair, death and disaster is due to inherent mental handicap.
If we are wantonly stupid it is because of nurture, not nature. Pursuant to the science of genetics.
Yes, I have made that declaration!
Na anayempa ukumbi wa kufanya uozo anaoufanya ndani ya nchi yetu ni Kikwete.
Mbona hakuna mwenye ushahidi, au kende, za kumpeleka mahakamani ?
Bubu,
Ni kwanini Kikwete anayaruhusu haya?
Unamtetea? au ni kuleta kwako mizani?
Ukweli ni kuwa kama hata vyombo vya usalama na sheria vimenunuliwa na vinafanya kazi kwa matakwa yake, unatarajia ni vipi ushahidi na kende zitafanya kazi?
Bubu,
Ni kwanini Kikwete anayaruhusu haya?