Mnajua hapa mnamfanya Kubenea kuwa ni Mungu na kila analosema ni kweli,mimi nakwambieni kuwa Rostam hajawahi kufanya kazi ya kuuza mahindi,tena hio kampuni wala haijapata kuwa na jina lake......lakini kwa kuwa wamedanganya kuwa ripoti ya CIG imesema hivyo kabla ya kuchangia hapa wngapi mnaweza kusema mmeiona ripoti hio au mnamsikiliza tu kubenea wenu kilaza namba moja
Fisadi Mtoto,muda umeshapita sana tu toka uzaliwe,na ni wazi kwamba sasa umeshakuwa na Mafisadi wakubwa wanaweza kukutuma,wanasema kua utumwe.
Nani ailkwambia kuwa wanaotoa tenda wanaangalia eti kama anafanya biashara ya mahindi? Kuna biashara fisadi asiyofanya? Angalia...Utaanza kusema ooh hafanyi biashara ya ngozi na viuongo vya Albinos kwasababu hana historia ya kuuza viungo hivyo.
Hii mijadala hapa inachosha,sijui ni kwasababu kiswahili bado ni lugha inayokua ama ni lugha ngumu,sijui. Ila kwasababu ya lugha hii hii,bado tunaweza kuona common sense inazidiwa nguvu na porojo.
Kwamba kampuni haina jina la RA,hilo bado linatoa nguvu kubwa sana hapa na fursa kwa wale wenye mwelekeo wa kifisadi pamoja na viongozi wenye kuwalinda.
Na kwasababu tumezoea kuomba omba,basi tusisahahu kuomba Mungu ili at least hata ale ambayo tunayajua sana kama mpira wa miguu na kusafiri ili tuweze kupata maendeleo.
Tuweke mshikamano kwenye Taifa Stars na uvccm ili tuweze kupata maendeleo kama vile kupata wachezaji wa kulipwa,Yanga ama Simba zitwae makombe ya Afrika na pia tuweze kushiriki kombe la dunia,Ni rais ama kiongozi ama fisadi gani atakayewahakikishia watanzania hayo mambo na asipendwe?
Akili kumkichwa,ukila na kipofu usimshike mkono na mijinga ndiyo iliwayo.
Hivyo Fisadi Mtoto,uwanja wako....Sisi tutaandika Historia na kuwasimulia tu ili wajukuu zetu nao wasipitwe na historia hii muhimu.