Hee hee hee heee heee heee,
Rostam kapatikana na ufisadi mwingine? Lazima hapa kutakuwa na sababu ya msingi kabisa ya kumtetea Rostam. Fundi Mchundo atasema kuwa kuna typo error hapo (na hizo pesa sio nyingi kiasi hicho au ..) huku companero akisema kuwa huyo CAG ni mfuasi wa Mwanakijiji.
Mnajua hapa mnamfanya Kubenea kuwa ni Mungu na kila analosema ni kweli,mimi nakwambieni kuwa Rostam hajawahi kufanya kazi ya kuuza mahindi,tena hio kampuni wala haijapata kuwa na jina lake......lakini kwa kuwa wamedanganya kuwa ripoti ya CIG imesema hivyo kabla ya kuchangia hapa wngapi mnaweza kusema mmeiona ripoti hio au mnamsikiliza tu kubenea wenu kilaza namba moja
Mnajua hapa mnamfanya Kubenea kuwa ni Mungu na kila analosema ni kweli,mimi nakwambieni kuwa Rostam hajawahi kufanya kazi ya kuuza mahindi,tena hio kampuni wala haijapata kuwa na jina lake......lakini kwa kuwa wamedanganya kuwa ripoti ya CIG imesema hivyo kabla ya kuchangia hapa wngapi mnaweza kusema mmeiona ripoti hio au mnamsikiliza tu kubenea wenu kilaza namba moja
...mimi nakwambieni kuwa Rostam hajawahi kufanya kazi ya kuuza mahindi,tena hio kampuni wala haijapata kuwa na jina lake......kwa kuwa wamedanganya kuwa ripoti ya CIG imesema hivyo
Hivi hizi ripoti za CIG ziko ngapi? Ile iliyowasilishwa bungeni April 27 mbona mambo haya ya Rostam haina? Wala hiyo kampuni ya Tanzania Packages haimo, wala habari ya kuagiza mahindi. Kuna ripoti ngapi zaidi ya hii:
Mnajua hapa mnamfanya Kubenea kuwa ni Mungu na kila analosema ni kweli,mimi nakwambieni kuwa Rostam hajawahi kufanya kazi ya kuuza mahindi,tena hio kampuni wala haijapata kuwa na jina lake.....
.lakini kwa kuwa wamedanganya kuwa ripoti ya CIG imesema hivyo kabla ya kuchangia hapa wngapi mnaweza kusema mmeiona ripoti hio au mnamsikiliza tu kubenea wenu kilaza namba moja
Je jamii forum huyu mtu anayeitwa RA hamchoki kusoma habari zake ?Kila kukicha lazima tusome habari zake.Sasa tumechoka naye kwanini mtu mmoja asijitoe muhanga achukue yale yaliyobakia pale mbagala amsogezee kwenye gari lake ili tubadilishe discussion yake.Kwani wale ndugu zetu waliokufa pale na yale mabomu wanatofauti gani nayeye anatakiwa atafutiwe ajali.Mtu mmoja hawezi akawanyo na kuwadharau watu hiyo ndio ushauri wangu .
Masahihisho
Mtu mmoja hawezi kuwanyonya na kuwadharau watu million 40 huo ni upuuzi.
Ni Upuuzi zaidi pale inapokuwa wazi kabisa kwamba hatuwezi kufanya lolote zaidi ya kupiga domo...Haiwezekani kabisa,lazima tutakuwa tuna matatizo serious ambayo wala haiitaji mzungu wala mwarabu kutuambia,Nyani Ngabu tu anatosha,sema na yeye yumo ndani ya tope hilo hilo.NO WAY OUT!
Ndio maana nikatoa ushauri kuwa watanzania wajikite kwanza kwenye mambo rahisi kabisa ambayo wameshindwa kuyafanya kwa miaka nenda rudi,mambo ambayo ukiyashughulikia basi unapendwa na hata kura unapata na wananchi kusahahu kila kitu,kuhakikisha Taifa Stars inashinda na Yanga na Simba zinanyakua kombe la klabu bingwa ya Afrika.
Akili ya maendeleo bado sana tu.
Ndugu wange fanya yote hayo kama wangekua na nia ya kweli na wananchi. Wao shida yao biashara, wafanye yote hayo wakati shida yao waingie tu na waibe.
HAWAIBI WAPATE KURA WANATAFUTA KURA WAPATE KUIBA
Taifa letu ni taifa lenye utamaduni wa kupiga soga. Hapo we are the BEST.
Kama ni utumwa wa kifikra unaopelekea umasikini,njaa na maradhi, ni wazi tumeuchagua wenyewe,kama kuna wananchi masikini kabisa hawajui lolote kuhusu utajiri wa nchi yao na ufisadi unavyosababisha umasikini wao,halafu plus wana JF wenye upeo mkubwa wakiendelea kuwatetea hao mnaowaita maadui wa Taifa hapa hapa JF,TENA KWA NGUVU! Watashindwa vipi kupata wanachokitaka!
Utakuwa vipi omba omba na bado kudai uko HURU? How come? Yani uniombe nikusaidie halafu unipangie cha kufanya? Kwa utaratibu tunaoufuata si kila mtu keshapigwa bei kuanzia viongozi wakuu?
Hata hayo yote hawayafanyi kwa manufaa ya wananchi bali kwa maslahi ya kibiashara pamoja na kuendelea kutawala kwa upuuzi wa ushabiki wa mambo yasiyokuwa ya msingi kama vile mpira wa miguu nk.
Na ndiyo maana nikasema kama watanzania wanaamini kuwa hayo ndiyo maendeleo,basi acha wapate wanachokitaka.
Huwezi kuwalazimisha watanzania waone kuwa kuumaliza ufisadi ni maendeleo zaidi ya Stars kushinda ama Simba na Yanga.
Huo ni ukweli kizazi hiki ni bure na tusijisumbue. Ntabadili mawazo baada ya 2010,kwani sina imani na watanzania walio wengi.