Rostam kuingia kwenye biashara ya anga Shirika letu litapona?

Rostam kuingia kwenye biashara ya anga Shirika letu litapona?

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
thecitizentz~p~CituIMeorE5~1.jpg


Kwa mjibu wa gazeti la The Citizen tajiri Rostam Aziz amenunua hisa nyingi za Coastal ambayo ni Kampuni inayojishughulisha na usafiri wa anga.

Kwa umafia wa kibiashara wa Rostam Aziz Air Tanzania itapona kweli?!

======

Mfanyabiashara Rostam Aziz ameingia kwenye sekta ya usafiri wa anga baada ya kununua hisa za kampuni ya Coastal Travels Company Limited, hatua ambayo inatajwa kuleta ushindani kwenye sekta hiyo.

Kupitia Kampuni yake ya Taifa Aviation, Rostam amenunua 51% ya hisa za Coastal Travels kutoka kwa mwekezaji wa Kiitaliano Carolina Colangelo na kumfanya kuwa mwanahisa na mwekezaji mkuu wa Shirika hilo la Ndege.

Takwimu za Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) zinaonesha Coastal Travels inachukua 3% ya Usafiri wa Anga ikishika nafasi ya 4 huku AirTanzania ikiongoza sokoni kwa 52.9%, Precision Air na Auric Air zikishika nafasi ya pili na 3 kwa asilimia 22.8 na 10.3, As Salaam Air nafasi ya 5 kwa 2.8% na mashirika mengine yakigawana 8.6% ya soko.
 
View attachment 2362432

Kwa mjibu wa gazeti la The Citizen tajiri Rostam Aziz amenunua hisa nyingi za Coastal ambayo ni Kampuni inayojishughulisha na usafiri wa anga.

Kwa umafia wa kibiashara wa Rostam Aziz Air Tanzania itapona kweli?!
ATC ife mara mbili?.Sema anakuja kulitia shirika hilo kwenye jeneza kisha kulizika kwa Kaburi la handaki
 
Safii Rostam, sasa Coastal Aviation itakuwa kubwa zaidi sbb baada ya mmiliki wake Mr. Nicola kufa iliyumba sana, though Coastal Aviation ina ndege za watu binafsi nyingi
 
View attachment 2362432

Kwa mjibu wa gazeti la The Citizen tajiri Rostam Aziz amenunua hisa nyingi za Coastal ambayo ni Kampuni inayojishughulisha na usafiri wa anga.

Kwa umafia wa kibiashara wa Rostam Aziz Air Tanzania itapona kweli?!
Tangu lini Serikali ikamwogopa mwananchi mmoja?! Unatamani yale ya Fastnet yaendelee?!
 
Safi Kwa rostam. Kuhusu shirika letu la ndege. Baada ya DIKTETA MAGUFULI kununua ndege. Aikuchuka miezi mitano shirika lilikuwa tayari limesha kufa. Tena kifo cha mende
Acha ujinga na mama kaagiza na kulipia Tano na zimeshapokelewa baadhi uwe na taarifa
 
View attachment 2362432

Kwa mjibu wa gazeti la The Citizen tajiri Rostam Aziz amenunua hisa nyingi za Coastal ambayo ni Kampuni inayojishughulisha na usafiri wa anga.

Kwa umafia wa kibiashara wa Rostam Aziz Air Tanzania itapona kweli?!

======

Mfanyabiashara Rostam Aziz ameingia kwenye sekta ya usafiri wa anga baada ya kununua hisa za kampuni ya Coastal Travels Company Limited, hatua ambayo inatajwa kuleta ushindani kwenye sekta hiyo.

Kupitia Kampuni yake ya Taifa Aviation, Rostam amenunua 51% ya hisa za Coastal Travels kutoka kwa mwekezaji wa Kiitaliano Carolina Colangelo na kumfanya kuwa mwanahisa na mwekezaji mkuu wa Shirika hilo la Ndege.

Takwimu za Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) zinaonesha Coastal Travels inachukua 3% ya Usafiri wa Anga ikishika nafasi ya 4 huku AirTanzania ikiongoza sokoni kwa 52.9%, Precision Air na Auric Air zikishika nafasi ya pili na 3 kwa asilimia 22.8 na 10.3, As Salaam Air nafasi ya 5 kwa 2.8% na mashirika mengine yakigawana 8.6% ya soko.
kuna watu ni mafia!
 
Huyu jamaa kila kitu anataka akimiliki.

Tamaa ilimponza fisi.

Mobutu pamoja na kujibinafsishia DRC ila kaacha kila kitu.

Watajimilikisha mali wee lakini hawataondoka na chochote.

Ipo siku mali zote hizo zitarudi kwa wamiliki halisi ambao ni watanzania.
 
Back
Top Bottom