Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
Hate the GAME not the PLAYA!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh,mazee kumbe umekopy na kupaste from newspaper.
you know there different between KNOWING WHAT YOU ARE TALKING AND JUST TALKING.
I mean lyke parrot..realy ticks me off ..is this east africa newspaper our knew costitution now in which we must follow?
Make do with some CONCRETE EVIDENCE guys instead of yapping,whinning lyke a bloody parrot.
Every accused person is innocent until proved otherwise and it is not for the accused to prove his/her inoccense but it is up to the accuser to prove without leaving any doubt
ccm ndio jina la mchezo, na mchezaji ni rostam aziz![]()
hate the game not the playa!
Nilipenda makala iliyoandikwa na THE EAST AFRICAN kuhusu ROSTAM
Good that you have seen that cause i thought that i was the only one ambaye ameona such a postIngekuwa vizuri kama kungekuwa na IQ test kabla mtu hajaruhusiwa kuwa member wa JF, maana huwezi kudhania kama mtu anaweza kuandika utumbo kama huu wakati watu wanajadili serious issues of very high national interest.
CCM bila Rostam Aziz Haiwezekani, Haipo, Ni Mfu...
At the moment Rostam Aziz is the Ruling Party and the proxy President Of the United Republic Of Tanzania ...
Rostam Aziz akijitoa ndani ya CCM na ndani ya Serikali, hii nchi haitakalika (Trust me Mwanakijiji)!
![]()
Hate the GAME not the PLAYA!
Mkuu mbu sugu ngoja nijaribu kuangaliza kama nitapata muda wa kuiscan na kuiweka hapa lakini nafikiri kuna mtu amefanya hivyo ngoja niitafute hiyo thread nikiipata nitakuweka link yake ili uweze kuisomaWeka hapa hiyo article na sisi tusome
AND WHAT THEORIES DOES THE GAME APPLY? OR DO WE HAVE ANY GAME THEORY... :msela:
Never knew our lives are just a game!
Sawa Kaka lakini angalia kilichotokea kenya na kinachoendelea hivi sasa. mamabo yamebaki kuwa palepale wakati tayari watu wengine walishapoteza ndugu zao. Nadhani ukomavu wa kisiasa ndo utaleta mabadiliko yanayofaa kuliko kutumia wachache kupoteza maisha ili mradi tu mtu apate mkate.Kama anashindwa kuondolewa kwanini tusiwaondoe wanaomuweka na kumjaza kiburi?, October tuliweza kuwang'oa kwa kura lakini wakachakachua matokeo na kubaki madarakani kwangu hii haina tofauti yeyote na kinachoendelea Ivory Coast.,I wish watanzania tungekuwa na uwezo wa kufanya maamuzi magumu kama wananchi wa Algeria na Misri lakini bahati mbaya sisi ni kama kondoo vile kila kitu "Khewala" hata kwa yale yanayotuumiza na kudhalilisha utaifa wetu. Yatupasa tuamke toka kwenye huu usingizi wa pono tuliolazwa na hawa tunaowaita "viongozi wetu" na kufuta udhalimu na aibu inayotandama kwa zaidi ya miaka 30 sasa.
TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA, CCM BILA ROSTAM INAWEZEKANA......nawasilisha.
Tatizo CCM Ni Je? Nani ataanza kumnyooshea kidole mwenzake? Mwizi anamwambia mwizi mwenzake astaafu kuiba uliishaona wapihata mimi bado naishangaa ccm,kwani huyu mtu anafamika kuwa ni mmiliki halali wa dowans na ndiye atakaye kwapuwa hayo mabilioni ya pesa ambayo yatasababisha nchi hii kuteteleka na ccm wanalijuwa hilo chakushangaza bado wanamng'ang'ania kwanini,ana nini hasa huyu mtu ndani ya ccm?
Huyu ni muhujumu uchumi na hatakiwi kuwepo hapo alipo
ccm mwelezeni rostam atoke tumechoka
mapinduziiiiii daimaaaaaaaa:clap2:😛opcorn:
Mkuu mbu sugu ngoja nijaribu kuangaliza kama nitapata muda wa kuiscan na kuiweka hapa lakini nafikiri kuna mtu amefanya hivyo ngoja niitafute hiyo thread nikiipata nitakuweka link yake ili uweze kuisoma
:clap2::clap2:thanx ......nina kiu kubwa ya kuiona na kuisoma
Ooh,mazee kumbe umekopy na kupaste from newspaper.
you know there different between KNOWING WHAT YOU ARE TALKING AND JUST TALKING.
I mean lyke parrot..realy ticks me off ..is this east africa newspaper our knew costitution now in which we must follow?
Make do with some CONCRETE EVIDENCE guys instead of yapping,whinning lyke a bloody parrot.
Every accused person is innocent until proved otherwise and it is not for the accused to prove his/her inoccense but it is up to the accuser to prove without leaving any doubt