Aisee hadi BOT
inawezekana bro kama wana control system from the scratch its possible kuicontrol bot, ukiuliza Bot imejengwa kwa pesa zipi, possibly ni misaada, je nani anacontrol hiyo misaada?, then utasikia tumesamehewa madeni then jiulize how can that be simple? there so many things we do not knowAisee hadi BOT
Serekali inakopa kwa sababu expenditures zetu ni kubwa kuliko revenue, ivyo tunatatizo la deficiency budget na njia inayotumika kupunguza effects za deficiency budeget ni kuincur debits kutoka kwa outside donors kama world bank,IMF pamoja na nchi tajiri kama marekani na nyinginezo.
Tatizo letu hapa sio kukopa bali mikopo tunayoichukua tunaifanyia nini pamoja na kukosekana kwa usimamizi mzuri wa pesa zilizokopwa kwa miongoni mwa viongozi wanaopewa dhamana ya kuzisimia pesa izo pamoja na miradi iliyoanzishwa na serekali.
Je kuna documents au takwimu zozote zinazoonesha BOT ipo chini ya umiliki wa hao Rothschild?
Je kuna mkopo wowote ambao Tanzania imewahi kuchukua katika familia ya Rothschild?
Je inawezekana kumiliki bank kuu za asilimia kubwa ya mataifa yaliyopo duniani alafu utajiri wako usiingie top ten katika world record.?ikumbukwe kwamba utajiri kupitia mabank ni utajiri halali na takwimu zake za mapato hazifichiki.
Ikumbukwe pia Rothschild ni familia au ukoo kabisa na sio single individual hivyo kinachopatikana kinagawanywa kwa members wote
Kitu kingine izo takwimu za 500 trillion net worth ni za mashaka sababu source nyingi zimekanusha ikiwemo Forbes na hata wewe mwenyewe umethibitisha kwamba wanaficha utajiri wao sasa kama wanaficha wewe iyo net worth ya 500 trill unaitoa wapi.
Serekali inakopa kwa sababu expenditures zetu ni kubwa kuliko revenue, ivyo tunatatizo la deficiency budget na njia inayotumika kupunguza effects za deficiency budeget ni kuincur debits kutoka kwa outside donors kama world bank,IMF pamoja na nchi tajiri kama marekani na nyinginezo.
Tatizo letu hapa sio kukopa bali mikopo tunayoichukua tunaifanyia nini pamoja na kukosekana kwa usimamizi mzuri wa pesa zilizokopwa kwa miongoni mwa viongozi wanaopewa dhamana ya kuzisimia pesa izo pamoja na miradi iliyoanzishwa na serekali.
Je kuna documents au takwimu zozote zinazoonesha BOT ipo chini ya umiliki wa hao Rothschild?
Je kuna mkopo wowote ambao Tanzania imewahi kuchukua katika familia ya Rothschild?
Je inawezekana kumiliki bank kuu za asilimia kubwa ya mataifa yaliyopo duniani alafu utajiri wako usiingie top ten katika world record.?ikumbukwe kwamba utajiri kupitia mabank ni utajiri halali na takwimu zake za mapato hazifichiki.
Ikumbukwe pia Rothschild ni familia au ukoo kabisa na sio single individual hivyo kinachopatikana kinagawanywa kwa members wote
Kitu kingine izo takwimu za 500 trillion net worth ni za mashaka sababu source nyingi zimekanusha ikiwemo Forbes na hata wewe mwenyewe umethibitisha kwamba wanaficha utajiri wao sasa kama wanaficha wewe iyo net worth ya 500 trill unaitoa wapi.
Hizi ninyakati za kufungua bongo zetu inafaa zaidi kujua tunapo endaits
inawezekana bro kama wana control system from the scratch its possible kuicontrol bot, ukiuliza Bot imejengwa kwa pesa zipi, possibly ni misaada, je nani anacontrol hiyo misaada?, then utasikia tumesamehewa madeni then jiulize how can that be simple? there so many things we do not know
tunawaza kuinvest kwenye boda boda akati watu wameinvest kwenye world's system kwa ujumlaHizi ninyakati za kufungua bongo zetu inafaa zaidi kujua tunapo enda
Haahaha kama kikosi cha usalama barabarani kilivyo invest kwenye bodaboda kuwa chanzo chao chamapatotunawaza kuinvest kwenye boda boda akati watu wameinvest kwenye world's system kwa ujumla
Sawa mkuu urudi salamaRothschild iliwekwa na mfalme wa giz miaka ming.duh kun vitu vimenitoka kidogo....heb nitarudi baadaye nikupe nondo kuhusu familia hiyo imetokea wap
Hakika utakua iyo story umemezeshwa nawewe ukacopy na kutupestia humu Jf pasipo kufanya research.
Chukua sample ya nchi kumi (10) kati ya izo ukianza na BOT angalia board of directors kwa kila bank uone majina ya member ya iyo familia yametokea mara ngapi.Sababu hauwezi ukawa mmiiliki wa company alafu usiwe katika board of directors wala usiwe na muwakilishi.
Na kwa jinsi ulivyowaelezea kwamba wanafikia hadi hatua ya kuoana wenyewe kwa wenyewe ili kulinda na kuendeleza mali zao basi automatically lazima position za juu katika izo bank wawe wenyewe au ndugu zao wa karibu.
Anzia hapo mkuu utagundua kua uchezewa ngumu kumeza nawewe ukameza ivo ivo.
Za kUamBiwa cHaNganya nA ZAko.
Aisee hadi BOT
Usi shangae mambo ndivyo yalivyoMhh..mi nimebaki nashangaa shangaa na siamini macho yangu nachokisoma...ndo kilivyo ?? Na kila napojaribu ku imagine nachokisoma ndo kilivyo ki uhalisia basi basi sio waafrika tu wanaosindikiza wenzao ktk hii Dunia bali walimwengu wote wanawasindikiza hiyo familia..
Inakatisha tamaa hata kuishi kwa kweli...kumbe watu wote Dunia tunategemea hii familia ku survive in terms of basic needsUsi shangae mambo ndivyo yalivyo
Hata mimi nataka kujua maana najua bot ya kwetu.Huo umiliki wao kwenye Bank of Tanzania...ukoje...?Tuanzie hapo
Mhh..mi nimebaki nashangaa shangaa na siamini macho yangu nachokisoma...ndo kilivyo ?? Na kila napojaribu ku imagine nachokisoma ndo kilivyo ki uhalisia basi basi sio waafrika tu wanaosindikiza wenzao ktk hii Dunia bali walimwengu wote wanawasindikiza hiyo familia..
The Protocols of The Learning Elders of Zion katika Protocol namba 20 inazungumzia mambo haya:Atleast ungesema hiyo familia inaushawishi mkubwa katika bank izo kutokana na kumiliki hisa kadhaa au kwa njia nyingine yoyote na si kwamba wao ndio wamiliki wa izo bank zote ikiwemo BOT.Hapo kidogo unaweza ukampa mtu hamu ya kuanza kufanya research juu ya jambo hilo.