Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
FactBoT ni Mali ya serikali. Zanzibar walitoa mtaji mkubwa kuliko bara. Hiyo familia ilichanga nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FactBoT ni Mali ya serikali. Zanzibar walitoa mtaji mkubwa kuliko bara. Hiyo familia ilichanga nini?
Acha utani sisi tupi seriousKANUNGILA ndiyo ukoo tajiri zaid dunian kwa mwaka 2018
Unajua jinsi mfumo wa dunia unavyo endeshwa? Hoja hupingwa kwa hoja!!Federal reserve Bank,aingiliani kivyovyote na Bank ya Tanzania Kaka angu ko hapo napinga hoja
FactAtleast ungesema hiyo familia inaushawishi mkubwa katika bank izo kutokana na kumiliki hisa kadhaa au kwa njia nyingine yoyote na si kwamba wao ndio wamiliki wa izo bank zote ikiwemo BOT.Hapo kidogo unaweza ukampa mtu hamu ya kuanza kufanya research juu ya jambo hilo.
FACTHakika utakua iyo story umemezeshwa nawewe ukacopy na kutupestia humu Jf pasipo kufanya research.
Chukua sample ya nchi kumi (10) kati ya izo ukianza na BOT angalia board of directors kwa kila bank uone majina ya member ya iyo familia yametokea mara ngapi.Sababu hauwezi ukawa mmiiliki wa company alafu usiwe katika board of directors wala usiwe na muwakilishi.
Na kwa jinsi ulivyowaelezea kwamba wanafikia hadi hatua ya kuoana wenyewe kwa wenyewe ili kulinda na kuendeleza mali zao basi automatically lazima position za juu katika izo bank wawe wenyewe au ndugu zao wa karibu.
Anzia hapo mkuu utagundua kua uchezewa ngumu kumeza nawewe ukameza ivo ivo.
Za kUamBiwa cHaNganya nA ZAko.
Nchi inakopa kwa sababu ya kuwa na mapato madogo kulinganisha na matumizi,na kukopa Ni katika vyanzo mbalimbali na sio bank tu ko usiclaim na sio kila mkopo unakuwa na dhamana Kama inavyodhaniwa FEDERAL FUNDS RATE inaweza kutumiwa kuepusha hiyo kitu,.Mkuu hatubishani, lakini naomba unisaidie majibu ni kwanini nchi inakopa? na kama inakopeshwa dhamana ina kuwa ni nini?
Sasa Kama Ni hivyo wewe umejuaje na hizo takwimu umezitoa wapi wakati umesema kuwa wanafanya secret,it doesn't make sense,au wewe unaonaje kuhusiana na hii hoja ambayo umeitoa,ufafanuzi please.Kweli hii familia ya Rockefeller ipo na nitajiri sana,
Rothschild sio wajinga; wanajua wanachofanya na wamefanya kazi kwa bidii sana ili kuilinda siri yao. Hakuna utawala wa siri kwa ulimwengu unaotaka jina lao lienee kila mahali; Badala yake, wanapendelea kudumisha siri zao ili kulinda takwimu zao zisiweze kuanguka wakati watu watakavyo hoji mambo yao.
Inawezekana Rockefellers inaonekana ni familia matajiri sana duniani kwasababu jina lao lina julikana zaidi duniani, lakini Rothschilds wamekuwa makini kwa kutoweka jina lao kwenye mashirika yao na wanaweza kusimamia bila kuhusishwa na mambo mengi. Nina hakika watu wengi hawajui jina la Rothschild.
FactSerekali inakopa kwa sababu expenditures zetu ni kubwa kuliko revenue, ivyo tunatatizo la deficiency budget na njia inayotumika kupunguza effects za deficiency budeget ni kuincur debits kutoka kwa outside donors kama world bank,IMF pamoja na nchi tajiri kama marekani na nyinginezo.
Tatizo letu hapa sio kukopa bali mikopo tunayoichukua tunaifanyia nini pamoja na kukosekana kwa usimamizi mzuri wa pesa zilizokopwa kwa miongoni mwa viongozi wanaopewa dhamana ya kuzisimia pesa izo pamoja na miradi iliyoanzishwa na serekali.
Je kuna documents au takwimu zozote zinazoonesha BOT ipo chini ya umiliki wa hao Rothschild?
Je kuna mkopo wowote ambao Tanzania imewahi kuchukua katika familia ya Rothschild?
Je inawezekana kumiliki bank kuu za asilimia kubwa ya mataifa yaliyopo duniani alafu utajiri wako usiingie top ten katika world record.?ikumbukwe kwamba utajiri kupitia mabank ni utajiri halali na takwimu zake za mapato hazifichiki.
Ikumbukwe pia Rothschild ni familia au ukoo kabisa na sio single individual hivyo kinachopatikana kinagawanywa kwa members wote
Kitu kingine izo takwimu za 500 trillion net worth ni za mashaka sababu source nyingi zimekanusha ikiwemo Forbes na hata wewe mwenyewe umethibitisha kwamba wanaficha utajiri wao sasa kama wanaficha wewe iyo net worth ya 500 trill unaitoa wapi.
![]()
![]()
Fatilia usifuate mkumbo kamanda,unajua maana ya BOT?Unafikiri huwa wananyongwa kirahisi? Inashangaza kuwa bado umelala na siku ukiambiwa uhame nchi usiwe na swali maana hujui kitu chochote. Kwani BOT ni nini? mbona wanamiliki benk ya USA sembuse na hii benk yetu.
Dah! Mambo hayapo kama unavyo dhani! Jiulize sana nini kiliiporomosha shilingi yetu!Uchumi aujashuka kiuharisia ukifuatilia takwimu kwa makini international monetary fund(IMF).
NajuaUnajua kama zipo familia 13 zenye ushawishi mkubwa kabisa katika dunia hii?
Ni plan ya kuingia katika mifumo wa ki capitalism,na kuuacha mfumo wa ki socialism kwa ku adapt SAP's conditionalities under IMF&WB via IBRDDah! Mambo hayapo kama unavyo dhani! Jiulize sana nini kiliiporomosha shilingi yetu!
Hichi ambacho watu wanakijua kuhusu familia hii bado ni kidogo sana, pia jua dunia haina siri siku zote ukweli ni ukweli tu! Hata kama ni ukweli mdogo bado unatosha kwa anaehitaji kuona.Sasa Kama Ni hivyo wewe umejuaje na hizo takwimu umezitoa wapi wakati umesema kuwa wanafanya secret,it doesn't make sense,au wewe unaonaje kuhusiana na hii hoja ambayo umeitoa,ufafanuzi please.
Hiyo haikutokea bahati mbaya ulikuwa mpango madhubuti kutuporomosha.Ni plan ya kuingia katika mifumo wa ki capitalism,na kuuacha mfumo wa ki socialism kwa ku adapt SAP's conditionalities under IMF&WB via IBRD
Katika hizo familia ni ipi iliyo best?Najua
Mkuu endelea kuwa ndani ya boksi siku ukitoka humo pengine unaweza kuelewa mambo jinsi ya livyo.Nchi inakopa kwa sababu ya kuwa na mapato madogo kulinganisha na matumizi,na kukopa Ni katika vyanzo mbalimbali na sio bank tu ko usiclaim na sio kila mkopo unakuwa na dhamana Kama inavyodhaniwa FEDERAL FUNDS RATE inaweza kutumiwa kuepusha hiyo kitu,.
kama katika Familia tajiri 25 wa hapa Duniani hawa Rothchild leo hawapo itakuwaje wamiliki hizo 475trilioni zilizobakiThe Rothschilds, while immensely rich, do not have, nor control $500 trillion. To give you an idea as to how outrageous this claim is, the global wealth is somewhere close to $241 trillion, and there is no way a single family can control a sum anywhere near that.
Now that we have that out of the way, as others have already mentioned, some Rothschilds do feature on the Forbes list, although not prominently. For example, Jeff Rothschild ($2.2B) and Benjamin de Rothschild ($1.66B) and probably a few more with marital ties to the family. However,