Kabisa mkuu hata mm sitaki huo upuuzi mana nitakua sawa na kina country boy [emoji3][emoji3][emoji3] Ndio wanaojiita wanyamwezi mda ote wanalamba lamba lipsKweli ni msanii na suala la yeye kuwa Mnyemwezi sipingi maana ni mshamba kishenzi. Wewe mtu gani uko in your 30s unalilia kutrend Instagram. Wanyamwezi ni jamii ya kishamba sana na ndiyo maana sipendi kabisa mtu aniite ama kunifananisha na Mnyamwezi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahyo wanachuo ndo machuna buzz lol.Pole kukutana na wanachuo lazima uchunwe kizembe
Kuna mzee huku kitaa ni mpumbavu balaaWazee wazamani walisema ukitaka kuoa nenda kaoe kwenu manake ndo watu mnaojuana ,
Ninachokumbuka n kuwa wazee wale hawakuwa wajinga ,
Oa ,kwenu ,olewa kwenu
Hizi zingine ni drama tu
Wapuuzi sana, tunavunjiana heshima tu. Utamfananishaje mtu na jamii ya kishamba ili aonekane mjanja?Kabisa mkuu hata mm sitaki huo upuuzi mana nitakua sawa na kina country boy [emoji3][emoji3][emoji3] Ndio wanaojiita wanyamwezi mda ote wanalamba lamba lips
Mwanamuziki Rotimi amemvisha pete ya uchumba our very own Vanessa Mdee. Hongera kwao!!
View attachment 1663513
View attachment 1663512