Rotimi amvisha pete ya Uchumba Vanessa Mdee

Rotimi amvisha pete ya Uchumba Vanessa Mdee

Mwanamke yeyote bila kujali nafasi yake kama hakuolewa na bikra na aliyemtoa bikra ni malaya
Muwe mnafikiria kauli kabla ya kuandika. Huna dada zako mama zako wadogo kwa wakubwa? Ifike wakati tuwe na busara kabla ya kuyaandika tunayoyawaza.
 
Hivi inakuaje Janadume zima kabisa unalikuta linashangiria kwa makelele kwa kua kuna mwanamke anavishwa pete?

Dah Wanaume wamebakia kidogo sana
 
Jux si muoaji, yule ni mwanamme wa Dar tu....anamsubiri muuza madawa mwenzake (Jacky) atoke jela huko China amfanyie party na kujibandika Instagram ili atrend.....si unajuwa wanaume wa Dar wala chips za mafuta ya transformer walivyo na akili za kijinga. Mtu yuko in his late 20s bado anawaza kutrend Instagram,
Acha gubu, yule msanii afu mnyamwezi usijicompare
 
Ila jamani rotimi anajua kupenda. Yaan anavyo mu handle vee utadhan mtoto.muda wote maneno yake ni matamu kuliko sukari.kwakweli kuna wanaume wanajua kupenda.
Afu ajabu la mwanamke sasa unakuta vee pale upo mwili tu akili yote haipo [emoji3]
 
Kavishwa pete sawa tar ya ndoa ishapangwa au ndio itafahamika.
 
Back
Top Bottom