Vocal Fremitus 🤣🤣🤣Mrudishe kwa mpenzi wake! Mwanamke akikupenda haijalishi amefika kileleni au la, lazima atahakikisha na wewe umeridhika.
Huyo hana hisia na wewe!
nenda nae taratibuNipo na mchumba, mwezi wa 4 sasa. Anadai yeye hapendi hard sex, akifika kileleni, analegea na kuishiwa nguvu. Hataki umguse kabisa mpaka kesho yake. Hata kama mimi sijafika, nalazimika kuvumilia na kushinda au kulala hivyo. Romance na pesa vyote nampa vizuri. Tatizo lake kuchoka na kukinai tendo just baada ya round 1 tu.
Je, mchumba huyu ana tatizo la kiafya au nini naweza kufanya ili awe na hamu wakati wote? Naomba ushauri wenu kabla sijafanya maamuzi ya kuachana naye.
Hayo ndio madhara ya kutumia pesa au ujanja ujanja kupora pisi za watu. Pisi inafikiri kuna maajabu atayakuta, anaanza kuona mapicha picha na kumkumbuka ex kihisia 😀!!!
🤣🤣🤣Cha msingi amepewa uchi apite kushoto asiforce sexHayo ndio madhara ya kutumia pesa au ujanja ujanja kupora pisi za watu. Pisi inafikiri kuna maajabu atayakuta, anaanza kuona mapicha picha na kumkumbuka ex kihisia 😀!!!
Sasa si bora huyo wako, mimi wangu ni bao 1 mpaka baada ya wiki. Kuna wakati inaweza pita hata wiki 2 yeye waala hana habari..Nipo na mchumba, mwezi wa 4 sasa. Anadai yeye hapendi hard sex, akifika kileleni, analegea na kuishiwa nguvu. Hataki umguse kabisa mpaka kesho yake. Hata kama mimi sijafika, nalazimika kuvumilia na kushinda au kulala hivyo. Romance na pesa vyote nampa vizuri. Tatizo lake kuchoka na kukinai tendo just baada ya round 1 tu.
Je, mchumba huyu ana tatizo la kiafya au nini naweza kufanya ili awe na hamu wakati wote? Naomba ushauri wenu kabla sijafanya maamuzi ya kuachana naye.
Mbona tunahamasishana asubuhi hii jmn🤣Wewe na mpenzi wako mnafanya matusi,,,, kimbia nenda sehemu utakayofanya mapenzi.... Hela unampa na hafiki???? Kimbia broo kataa utapeli....
msimseme mweka mada kweli wapo wanawake wa hivyo usipomuwahi anawahi yeye na wengine wanachelewa kijasho kitakutoka!, huyo wakwake ana high libido ni kama sie baadhi yetu wanavyowahi!.Hayo ndio madhara ya kutumia pesa au ujanja ujanja kupora pisi za watu. Pisi inafikiri kuna maajabu atayakuta, anaanza kuona mapicha picha na kumkumbuka ex kihisia 😀!!!
Wanawake wanatofautiana kama sisi tunavyotofautiana. Inategemea mwanaume wake wa kwanza alimzoeza vipi.Kuna demu pia nimetoka kuachana naye kama mwezi mmoja umepita, yeye anafanana na huyo wa kwako, yani kwanza anafika kileleni haraka, afu akifika hamu ya sex inakata kabisa,.hata ukiendelea unaona kabisa anabadilika anakua hatoi tena ushirikiano na ukiendelea zaidi anaanza kulalamika unamuumiza.
Asubuhi ni mvivu sana kutoa mzigo yani unaweza ukagombana naye,
Nlikaa nkatafari nkaona nimuache tuu mtoto wa watu coz nlikua nateseka bure.
Nahisi inaweza kua wanawake wanatofautiana au pia mambo ya masturbation na lesibian yanaweza yakachangia
Wataalam watatujuza sababu zinazopelekea mwanamke kua hivyo
Thanks. Huyu dada ana mtoto mmoja, nilikutana naye akiwa kwenye majonzi ya kuachika kwa aliyempachika mimba akagoma kumuoa. Sasa nikajipachika hapo na she is pretty girl lakini ndio hivo, mapenzi tunafanya and she is so romantic like me, lakini akifika tu, anagomea mchezo mpaka next day. Nawaza labda bado anawaza ex wake, ndiyo maana nahisi labda nimuache arudi kwa mzazi mwenzio japokuwa alimfukuza. Au nikahisi labda ni mgonjwa ili nimpeleke hospital tuishi maisha ya furaha, tufunge ndoa but kikwazo ni sex ya masharti. Cha asubuhi sijawahi kupata....Mrudishe kwa mpenzi wake! Mwanamke akikupenda haijalishi amefika kileleni au la, lazima atahakikisha na wewe umeridhika.
Huyo hana hisia na wewe!
Piga chini sio wako uyoThanks. Huyu dada ana mtoto mmoja, nilikutana naye akiwa kwenye majonzi ya kuachika kwa aliyempachika mimba akagoma kumuoa. Sasa nikajipachika hapo na she is pretty girl lakini ndio hivo, mapenzi tunafanya and she is so romantic like me, lakini akifika tu, anagomea mchezo mpaka next day. Nawaza labda bado anawaza ex wake, ndiyo maana nahisi labda nimuache arudi kwa mzazi mwenzio japokuwa alimfukuza. Au nikahisi labda ni mgonjwa ili nimpeleke hospital tuishi maisha ya furaha, tufunge ndoa but kikwazo ni sex ya masharti. Cha asubuhi sijawahi kupata....